Pre GE2025 Haya ndio maisha ya walimu waliomchangia Rais Samia Fomu ya Urais 2025

Pre GE2025 Haya ndio maisha ya walimu waliomchangia Rais Samia Fomu ya Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kazi ya ualimu na halmashauri ni laana
Ualimu ni blessings, ni kazi nzuri sana ukiifanya kwa Moyo , walimu ndio wanajenga taifa , viongozi wote duniani unaowajua mawazo yao kwa kujua ama bila kujua yameathiriwa na walimu wao…Mimi ukiniambia niache ualimu sijui kama kuna kazi nyingine “I will be this much happier”
 
Ualimu ni blessings, ni kazi nzuri sana ukiifanya kwa Moyo , walimu ndio wanajenga taifa , viongozi wote duniani unaowajua mawazo yao kwa kujua ama bila kujua yameathiriwa na walimu wao…Mimi ukiniambia niache ualimu sijui kama kuna kazi nyingine “I will be this much happier”
Sifa za kijinga
 
Nchi hii wajinga ni wengi sana. Changamoto kama hizi serikali haijui?

Ila ukilima bangi hata robo heka popote lazima wajue, upuuzi mkubwa!

Halafu hao walimu waliomchagia Rais Samia form ya Urais hiyo pesa kwanini isingepelekwa huku kuwasaidia walimu wenzao?

Au zile millioni kumi kumi za magoli ya Simba na Yanga huwa zinasaidia nini kwenye jamii tofauti na kutapanywa tu?

Masikitiko makubwa ni kwamba, hata Rais mwenyewe alipokea hiyo hela kutoka kwa watu wasiojielwa wanajipendekeza bure.

View attachment 2904572
My take wake walimu waliochangia hela ya fomu ya mama, ni watu wamfumo wanalinda maslahi yao, haiwezekani walimu walio taabani wakafurahia ccm,

Wafanyakazi wengi wa umma serikali inawashinikiza kwenye mambo mengine kinyume na matakwa ya hao wafanyakazi
 
Watawapa allowance? Maana sheria za kazi ni masaa 8 na nusu tu
Masaa mawili yanayoongezeka hayana shida.. kumbuka UALIMU ni wito. Pia hata kazi yao sio kama wanafundisha full time/non stop unakuta kwa siku kazi active kbs atafanya 2 hrs / 4 hrs. Muda unaobaki wote anakuwa anafanya shughuli zingine za msingi na zisizo za msingi kama umbea etc wakiwa ofisin mwao.
 
Kifupi ni kwamba kazi hii ya ualimu kwa hapa kwetu ni kazi ya kujitolea mazingira ya kazi sio Rafiki kabisa mazingira ni magumu mno ila ukweli hauanikwi Kuna shule walimu wakike hawawezi kabisa kukaa kutokana na miundombinu mibovu,ila lawama na matusi mixa kashfa za Kila Rangi zimekua zikimuandama Mwalimu na Serikali haijawahi kulisemea hili mtandaoni nimpongeze sana Huyo mkuu wa wilaya kwa kukubali uovu huu uanikwe Serikali tafadhali fanyeni jambo sio poa tunavyofanyiana
 
Nchi hii wajinga ni wengi sana. Changamoto kama hizi serikali haijui?

Ila ukilima bangi hata robo heka popote lazima wajue, upuuzi mkubwa!

Halafu hao walimu waliomchagia Rais Samia form ya Urais hiyo pesa kwanini isingepelekwa huku kuwasaidia walimu wenzao?

Au zile millioni kumi kumi za magoli ya Simba na Yanga huwa zinasaidia nini kwenye jamii tofauti na kutapanywa tu?

Masikitiko makubwa ni kwamba, hata Rais mwenyewe alipokea hiyo hela kutoka kwa watu wasiojielwa wanajipendekeza bure.

View attachment 2904572
kupanga ni kuchagua 🐒

walimu kwa wakati huu wamechagua kwenda na Mama Dr.SSH hadi 2030,

amewafanyia wepesi mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na hao wachache unao waonea huruma wewe....

na huo ni mwanzo tu, bado mataasisi na mashirika mbalimbali ya umma, ya kijamii na kidini yanapanga kufanya hivyo pia wakati muafaka 🐒

kama hili la walimu limekuchefua nadhani yajayo yatakufurahisha zaid...

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
kupanga ni kuchagua 🐒

walimu kwa wakati huu wamechagua kwenda na Mama Dr.SSH hadi 2030,

amewafanyia wepesi mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na hao wachache unao waonea huruma wewe....

na huo ni mwanzo tu, bado mataasisi na mashirika mbalimbali ya umma, ya kijamii na kidini yanapanga kufanya hivyo pia wakati muafaka 🐒

kama hili la walimu limekuchefua nadhani yajayo yatakufurahisha zaid...

R.I.P Laigwanan comrade ENL
Takataka
 
Tema mate chini mkuu... Nje ya mada kuna mbunge ametoa pendekezo bungeni jana kwamba ili tuachane na ujenzi wa madarasa ambao hauna mwisho, wanafunzi wawe wanasoma kwa shift, yaani wengine waje J3, wengine J4, wengine asubuhi wengine mchana, toa maoni yako mkuu..
Hii haitosaidia chochote zaidi ya ku increase ongezeko la failures tu mashuleni,,
 
Back
Top Bottom