Haya ndio makabila yenye kuongoza kwa kuwa na Wanawake wenye viburi hapa Tanzania

Haya ndio makabila yenye kuongoza kwa kuwa na Wanawake wenye viburi hapa Tanzania

Umetaja makabila makubwa tu, zipo sababu zinafanya makabila hayo yawe hivyo.

Tafiti yako ingekua halali ungetaja makabila madogo pia, yapo makabila si makubwa hivyo sifa zake si rahisi kufahamika so ungeyataja ningejua umefanya kweli utafiti
 
Kuna kautafiti kasiko rasmi nimekafanya kuhusu makabila yenye wanawake wenye viburi hapa Tanzania.
1. Wachaga
2. Wakurya
3. Wanyakyusa
4. Wahaya
5. Wapare
6. Wasukuma
7. Wameru
8. Wajaluo
Yani hawa watu unaweza kupiga mtu makofi kila siku na bado asikuelewe.
Wajita?
 
Dada zangu wanyakyusa wote wapo nyumbani saizi hawaeleweki sijui wameachika au wamepumzika ila hawa mashemeji lawama zao zinafanana
Wanyakyusa badilikeni dada zangu
Hata pesa haiwasumbui hawa watu [emoji1] ni namba 1. apo kwenye list
[emoji1787]
 
Kuna kautafiti kasiko rasmi nimekafanya kuhusu makabila yenye wanawake wenye viburi hapa Tanzania.
1. Wachaga
2. Wakurya
3. Wanyakyusa
4. Wahaya
5. Wapare
6. Wasukuma
7. Wameru
8. Wajaluo
Yani hawa watu unaweza kupiga mtu makofi kila siku na bado asikuelewe.
Wasukuma umewaonea.....
 
Back
Top Bottom