Bushmaster
JF-Expert Member
- Jan 18, 2022
- 583
- 1,265
Wachaga wakae namba 1 hadi 3,kiburi pro max
kuna jamaa yangu alikua anakaa na mke wake wa kichaga wilaya x, ndio walipokutana hapo, baada ya mambo kua magumu alihama kwenda mkoa wa jirani akamuacha mke wake kwenye hiyo wilaya, mana mke alikua anataka total control ya everything.. baada ya muda kupita mke akamfuata jamaa huko alipohamia, haikupita hata miezi 5,jamaa akahama tena kwenda mkoa mwingine yani ni full shida, jamaa anasema isingekua ndoa angeshamuacha
kuna jamaa yangu alikua anakaa na mke wake wa kichaga wilaya x, ndio walipokutana hapo, baada ya mambo kua magumu alihama kwenda mkoa wa jirani akamuacha mke wake kwenye hiyo wilaya, mana mke alikua anataka total control ya everything.. baada ya muda kupita mke akamfuata jamaa huko alipohamia, haikupita hata miezi 5,jamaa akahama tena kwenda mkoa mwingine yani ni full shida, jamaa anasema isingekua ndoa angeshamuacha