Haya ndio Maneno ya Mwisho ya Baba wa Taifa Hili Mwalimu Nyerere Kuhusu Muungano!!

Kwani Nyerere ndio nani mpaka maneno yake yachukuliwe kua ni ya kinabii au ya kimungu? kuna ubaya gani watu wakigawana mbao?
 
Kila alichokibuni Nyerere kime fail, the man is a failure.

Ujamaa ali fail.
Uchumi ali fail.
Kuendesha nchi ali fail.
Muungano wake ume fail.

Nashangaa mnaomshabikia failure.
 
Hivi mtoto akizaliwa tukiwa na Tanganyika atakuwa Mtanzania,mtanganyika au mshirikisho.,,,,,hahaha,na uraia wake utakua tofauti na wazazi,,,,hahahahaha,Rest in Peace warioba umezeeka vibaya
 
ccm mnamdhihaki na kunajisi mwalimu katika kila jambo

CCM Woooote mazuzu. inamaana hadi leo hawajui kwamba zanzibar walishavunja muungano au munaziba masikio kwa bendeji mkizuga hamskii? aibu sana hii kwa maccm
 

Mwalimu ndo kaleta haya maneno hapa!?
 
- Kaka toa hoja kuhusiana na maneno ya Mwalimu kama ulitaka maoni yangu hapa hayapo so far wewe deal na maneno ya Mwalimu kama huyawezi tuliza boli kaka waachie wengine wanaoweza kujibizana na Mwalimu.

Le Mutuz

ha ha ha ha ha haaaaaaaah! Yaani umeleta maneno ya mfu halafu watu walio hai wajibizane, mi nilijua umeyaleta kama reference kujenga hoja yako!
Teh teh teh teh teh teh teeeeeh, something is wrong inside your coconut! Sorry bro! Got em!?
 
muungano aliousema nyrere ulishavunjwa na ccm kwa kuongeza mambo ya muungano na ccm zanzibar kwa kusimamia katiba ya zanzibar kubariki kuingiza mambo ambayo ni dhahiri kuwa yaliuvunja muungano ambao nyerere aliuacha.
NA MIMI NASEMA HII DHAMBI CCM IWATAFUNE MNISAMEHE NA IWATAFUNE TU.
 

Mkuu, huyu jamaa yenu le mutuz huenda hata hotuba ya Warioba hakuisikiliza ama hakuielewa
 

Vipi na hii kauli ya Warioba hapa chini unaizungumziaje? je ni kweli au uongo na baada ya kuitafakari kauli hii ya Warioba rejea tena kwenye hicho ulichokiwasilisha.

(Waasisi walituachia muungano wa nchi moja yenye serikali mbili na siyo nchi mbili zenye serikali mbili) - Jaji Warioba
 

Leo kwa mara ya kwanza nakupongeza kwa kujivua GAMBA kwa muda na kuangalia maslahi ya Taifa kwa upana Tofauti na viongozi wako akina Nape, Mbunge wenu Olesendeka na huyu mchumia Tumbo Le Mutuz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…