Haya ndio maswali yanayokwaza wakati wa usaili

Haya ndio maswali yanayokwaza wakati wa usaili

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau..!
Je ni maswali gani ww binafsi yanakukera sana wakati wa usahili??

Binafsi sipendi maswali haya
1.Je unatarajia kupata mshahara kiasi gani?

Ma HR mnaboa sana hivi kwa nini msiulize maswali ya msingi.🙄🙄🙄

nashauri mnapotangaza kazi wawe wanaweka na mshahara kabisa,ili wasiwe wanauliza maswali yasiyo na maana
 
Habari wadau..!
Je ni maswali gani ww binafsi yanakukera sana wakati wa usahili??

Binafsi sipendi maswali haya
1.Je unatarajia kupata mshahara kiasi gani?

Ma HR mnaboa sana hivi kwa nini msiulize maswali ya msingi.🙄🙄🙄

nashauri mnapotangaza kazi wawe wanaweka na mshahara kabisa,ili wasiwe wanauliza maswali yasiyo na maana
Hayo maswali wanaulizwa experts we maVC yao tena hapo unataka kumuiba kutoka taasisi nyingine

sio beginners
 
Habari wadau..!
Je ni maswali gani ww binafsi yanakukera sana wakati wa usahili??

Binafsi sipendi maswali haya
1.Je unatarajia kupata mshahara kiasi gani?

Ma HR mnaboa sana hivi kwa nini msiulize maswali ya msingi.[emoji849][emoji849][emoji849]

nashauri mnapotangaza kazi wawe wanaweka na mshahara kabisa,ili wasiwe wanauliza maswali yasiyo na maana
[emoji23][emoji23][emoji23]
images%20(17).jpg
 
Back
Top Bottom