BAKIIF Islamic
JF-Expert Member
- Jul 11, 2021
- 600
- 1,843
- Thread starter
-
- #21
Mkuu umewahi ku-Experience kitu kinachoitwa sayari ya MARS? lakini si unaamini tu kwa kusoma na nadharia ulizopewa na umekubali kua MARS ipo japo hujaiyona. Ni hivyo hivyo unakubali na kukiri kuwa Jesus yupo japo hujawahi kumuona wala kumu-experience.Experience yako ya kufa ni ya muda gani mkuu? Na katika mazingira gani tofauti tofauti?
Mkuu umewahi ku-Experience kitu kinachoitwa sayari ya MARS? lakini si unaamini tu kwa kusoma na nadharia ulizopewa na umekubali kua MARS ipo japo hujaiyona. Ni hivyo hivyo unakubali na kukiri kuwa Jesus yupo japo hujawahi kumuona wala kumu-experience.Watu na experience za kufa asante
Hata mwanao wa kumzaa kamwe huwezi kumuacha aishi anavyoona yeye, utatumia gharama nyingi kumlinda, kumfundisha, kumtunza na kumuongoza kwa namna unavyoona wewe inafaa, tena utamfungia ndani ya geti kuepuka madhila ya binaadamu. Iweje MUNGU akuumbe halafu akuache hivi hivi ufanye unavyoona wewe ilihali anajua nje kuna shetani wa kukupoteza?Hakuna hadithi za kijinga kama za dini mkuu , yote ya yote kila mtu aishi anavyoona.
Hata polisi hutishia watu ili watii sheria. Lakini MUNGU hana vitisho ndio maana katuhabarisha.Dah! Huu uzi umejaa vitisho mpaka basi.
Hakuna ajuaye kuhusu siri ya kifo. Wewe umeileta hiyo siri,l siyo yeye, inamaana wewe unaijua, atataka umthibitishie nje ya imani.Yeye anathibitisha vipi kama sio kweli?
Mkuu hizo hadithi zako naona kwangu hazina faida Acha tu nijikatae .Hata mwanao wa kumzaa kamwe huwezi kumuacha aishi anavyoona yeye, utatumia gharama nyingi kumlinda, kumfundisha, kumtunza na kumuongoza kwa namna unavyoona wewe inafaa, tena utamfungia ndani ya geti kuepuka madhila ya binaadamu. Iweje MUNGU akuumbe halafu akuache hivi hivi ufanye unavyoona wewe ilihali anajua nje kuna shetani wa kukupoteza?
Mars inaonekana,wewe tuambie uko experience lini maumivu ya kifo?Mkuu umewahi ku-Experience kitu kinachoitwa sayari ya MARS? lakini si unaamini tu kwa kusoma na nadharia ulizopewa na umekubali kua MARS ipo japo hujaiyona. Ni hivyo hivyo unakubali na kukiri kuwa Jesus yupo japo hujawahi kumuona wala kumu-experience.
Endelea Kuamrisha Haki na Kukataza Mabaya. Kuwa mwepesi katika kutenda matendo mema. Mwisho kabisa jitahidi kukubali uwepo wake aliyekuumba.Mkuu hizo hadithi zako naona kwangu hazina faida Acha tu nijikatae .
Ukitumia technology binoculars kubwa kubwa unaiona Mars na sayari zingine, sasa wewe ulifika lini kwenye ulimwengu wa kifo ushawahi kufa?Mkuu umewahi ku-Experience kitu kinachoitwa sayari ya MARS? lakini si unaamini tu kwa kusoma na nadharia ulizopewa na umekubali kua MARS ipo japo hujaiyona. Ni hivyo hivyo unakubali na kukiri kuwa Jesus yupo japo hujawahi kumuona wala kumu-experience.
Watu wengine wanahisi huru kujichagulia dini, au kukataa kabisa dini kama sehemu ya utambulisho wao.Aisee nachoka kabisaaaaa, wekaaaa bariaaa
Ukweli uko wapi, lete ukweliUwongo uwongo huo
Acha kuongopaMars inaonekana,wewe tuambie uko experience lini maumivu ya kifo?
Hamna anaejua au mwenye experience ya kifoUkweli uko wapi, lete ukweli
Wewe umewahi kufanya hivyo vitu na ukashuhudia au ume-hadithiwa na kukaririshwa maandishi tu?Ukitumia technology binoculars kubwa kubwa unaiona Mars na sayari zingine, sasa wewe ulifika lini kwenye ulimwengu wa kifo ushawahi kufa?
Unathibitisha vipi kwamba hakuna anyejua?Hamna anaejua au mwenye experience ya kifo
Wewe Mzee wa Elimu ya dini huwezielewa haya 🤪😆Acha kuongopa