Haya ndio ya makundi ya watu wa JF na tabia zao

Haya ndio ya makundi ya watu wa JF na tabia zao

Basi wewe ndio kiongozi wa kundi namba tatu, unavuruga mada kabisa, sasa hii uliyoandika ni nje ya mada kabisa halafu my PM is locked, unataka tu kufurahisha jamvi
Hapo unethibitisha bila mashaka kuwa mimi ni monitor wa kundi namba 9. Nimeshaongea na spika wangu wanipe mitano tena.... yani nitake nisitake...

Jibu PM yangu basi tuyajenge... unajua kila nikiona avatar yako na mwandiko wako najisikia kama nimeteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Daslam...
 
Hapo unethibitisha bila mashaka kuwa mimi ni monitor wa kundi namba 9. Nimeshaongea na spika wangu wanipe mitano tena.... yani nitake nisitake...

Jibu PM yangu basi tuyajenge... unajua kila nikiona avatar yako na mwandiko wako najisikia kama nimeteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Daslam...
😅😅😅 subiri mama bado anateua, kuhusu PM, utakua umejichanganya, PM yangu imefungwa
 
Back
Top Bottom