Haya ndiyo Hamas waliyokubali ili vita visimame.Na kama Israel itayakataa basi bora vita viendelee

Haya ndiyo Hamas waliyokubali ili vita visimame.Na kama Israel itayakataa basi bora vita viendelee

Aliye kuambia hi habari ni nani? Hakuna kitu kama hicho.

Kuna step 3 lazima jeshi la Israel kila stage lina ondoka sehemu walizo zishika.

Kuna sehemu wambiwa wabaki kwenye mipaka.

Kuna sehemu wambia waondoke ili wa Palestine warudi.

Ndege za kivita ziwe zina stop kupiga kwa masaa 10 mpaa 12.

Misada iingie kama kawaida.

Hi vita Israel hawezi kushinda hata siku moja na kila ikiendelea ni bora kuvunja economy ya Israel wa Israel wengi wameisha kimbia na wengine watakimbia nchi haina amani tena
Hivi unajielewa wewe, israel ilishashinda vita wakiwa na askari mia tatu na jeshi la adui wapo laki 1 na 85+ Hakuna nchi inayoweza kusisimama mbele ya taifa la israel. Subiri uone MWISHO wa vita nani atakayeshinda
 
Mayahudi siku zote ni washenzi tu hawana ukweli
mlishangilia ujinga wa Hamas , sasa hv mnawaita watu washenz , tulieni dawa iwaingie , Israel sio msumbiji kwamba muchinje watu halaf mkaliwe kimya
 
Hivi unajielewa wewe, israel ilishashinda vita wakiwa na askari mia tatu na jeshi la adui wapo laki 1 na 85+ Hakuna nchi inayoweza kusisimama mbele ya taifa la israel. Subiri uone MWISHO wa vita nani atakayeshinda
Ilimshinda nani hizo ni story za uwongo kama mnavyo danganywa sasa hivi eti anapigana na Hamasi, kumbe nyuma ya pazia yuko USA, Europe, India, South Korea na badhi ya nchi za kiarabu😄
 
Mkuu hivi sasa hivi unaona tena hata vile vi clips vyao walikua wanarusha makombora kwa kuvizia IDF?
IDF ina control zaidi ya 70% ya Gaza now

Sasa hivi wamebakiza Rafah tu ili wapalestina wote wakajilundike sehemu moja kwenye mahema

Baada ya hapo utatengenezwa utaratibu mpya wa kuifanya Gaza ikalike chini ya matakwa yao ili ujinga wa oct 7 usijirudie
Wewe upo dunia gani? Israel hakuna anacho fanya Gaza, zaidi ya kuwauwa watoto na wanawake wasio na hatia, usiku wa kuamkia leo, Israel kakiri kuna raia wake kaumia huko Israel kutokana na Missiles zinazo rushwa toka Gaza.

We jidanganye tu, Israel wanajeshi wake wanebaki kutumia drugs ili waondoe hofu wanayo ishi nayo

Yani mpaa watoke Gaza hakuna mwanajeshi atabaki na akili sawa sawa.

Tutaona mwisho wa hi vita kama Israel ataifuta Hamasi kama anavyo sema Netanyahu 😄


View: https://youtu.be/PIozkzVfaGs?si=f8p9iqD2Adeh_G7u

Hizi Missiles kabla ya masaa matano yalio pita zimerushwa kuelekea Israel kutokea Gaza.
 
Msemaji wa Hamas,Osama bin Hamdan alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mjini Beirut jana Jumanne, amesema iwapo Israel itaendelea kutoyazingatia mambo hayo na kuendelea na kuivamia Rafah basi hakuna namna nyengine ila ni kuendeleza vita.

Walichokubali Hamas ni :

1 .Kuwepo usitishwaji wa vita kwa muda wa wiki sita yaani mwezi moja unusu.

2 .Katika kipindi hicho misaada ya chakula na mahitaji mengine muhimu yaruhusiwe kuingia bila vikwazo vyovyote

3 Katika kipindi hicho Hamas wataachia na kuirudishia Israel wamteka 33 wakiwa hai au maiti.

4 .Kwa kila mateka mmoja atakayeachiwa basi waachiwe wapalestina 30 walio kwenye magereza ya Israel hasa watoto na akinamama.

Katika mapendekezo yake Hamas wameondoa sharti lao kubwa ambalo Israel mara zote walikataa kulitekeleza ambalo ni kuondosha vikosi vyake Gaza.
hapo kwenye mateka wakiwa hai au wamekufa ndio chukizo.
 
Jua hakuna wa kumshinda Allah. Yaan ashindwe na binadamu aliemuumba? Huo ni ukichaaa Rehema ya Mwenyezi Mungu ipo kwa kila kiumbe hata awe jambazi au mzinzi au muuaji Allah anajua yeye hekma yake dhidi ya mtu huyo hivyo hili suala atalimaliza kwa njia yake anavyoona inafaa sio kwa mapendekezo yako wewe
Allah hana chochote anachojua ni kiarabu tu!
 
Wewe upo dunia gani? Israel hakuna anacho fanya Gaza, zaidi ya kuwauwa watoto na wanawake wasio na hatia, usiku wa kuamkia leo, Israel kakiri kuna raia wake kaumia huko Israel kutokana na Missiles zinazo rushwa toka Gaza.

We jidanganye tu, Israel wanajeshi wake wanebaki kutumia drugs ili waondoe hofu wanayo ishi nayo

Yani mpaa watoke Gaza hakuna mwanajeshi atabaki na akili sawa sawa.

Tutaona mwisho wa hi vita kama Israel ataifuta Hamasi kama anavyo sema Netanyahu 😄


View: https://youtu.be/PIozkzVfaGs?si=f8p9iqD2Adeh_G7u

Hizi Missiles kabla ya masaa matano yalio pita zimerushwa kuelekea Israel kutokea Gaza.

Hizi kombora zilizorushwa na kwa umbali ambao Hamas wamekimbilia zina madhara madogo sana
Na muda wowote bila kujali kombora liliruka kutokea msikitini au kanisani, shuleni au hospitalini, nyumbani au kambini IDF watavuruga kwa mabomu

zilianza ngonjera za IDF haiwezi kutia mguu Gaza watachinjwa kama kuku but now on wanakalia zaidi ya 80% ya Gaza na wanaokufa kama kuku ni hamas na human shields wao
Mpaka sasa Hamas karata yao pekee waliyo baki nayo ni mateka tu
Kinacholeta ukinza kwa IDF pale Gaza sio Hamas ni kelele za kimataifa kutaka IDF isitishe operation yake

Muda utaongea mkuu
 

Attachments

  • 5666074C-0F69-4823-A464-858622E99AE1.jpeg
    5666074C-0F69-4823-A464-858622E99AE1.jpeg
    170.3 KB · Views: 2
  • FE223D89-65AA-4FF5-B1CF-58C1F602C2BC.jpeg
    FE223D89-65AA-4FF5-B1CF-58C1F602C2BC.jpeg
    237.8 KB · Views: 2
Hizi kombora zilizorushwa na kwa umbali ambao Hamas wamekimbilia zina madhara madogo sana
Na muda wowote bila kujali kombora liliruka kutokea msikitini au kanisani, shuleni au hospitalini, nyumbani au kambini IDF watavuruga kwa mabomu

zilianza ngonjera za IDF haiwezi kutia mguu Gaza watachinjwa kama kuku but now on wanakalia zaidi ya 80% ya Gaza na wanaokufa kama kuku ni hamas na human shields wao
Mpaka sasa Hamas karata yao pekee waliyo baki nayo ni mateka tu
Kinacholeta ukinza kwa IDF pale Gaza sio Hamas ni kelele za kimataifa kutaka IDF isitishe operation yake

Muda utaongea mkuu
Wacha maneno mengi Israel wenyewe wanakiri Hamasi ni very strong afu we unakuja piga kelele hapa, eti Israel anaogopa kelele za mataifa toka lini Israel alisikiliza umoja wa mataifa Israel hana ubavu wa kuikalia Gaza ataondoka hapo Gaza atake asitake

We huoni mpaa Ambassador wao pale UN amekuwa kama kichaa 😄

Israel anakingiwa kifua tu na USA, angeisha potezwa zamani.

Unasema 80% ya Gaza iko chini ya Israel, hivi we unamini hizo propoganda.

Hakuna hata sehemu Israel pale Gaza wako salama, kila siku wanauliwa au jehuriwa wanajeshi zake.
 
Wacha maneno mengi Israel wenyewe wanakiri Hamasi ni very strong afu we unakuja piga kelele hapa, eti Israel anaogopa kelele za mataifa toka lini Israel alisikiliza umoja wa mataifa Israel hana ubavu wa kuikalia Gaza ataondoka hapo Gaza atake asitake

We huoni mpaa Ambassador wao pale UN amekuwa kama kichaa 😄

Israel anakingiwa kifua tu na USA, angeisha potezwa zamani.

Unasema 80% ya Gaza iko chini ya Israel, hivi we unamini hizo propoganda.

Hakuna hata sehemu Israel pale Gaza wako salama, kila siku wanauliwa au jehuriwa wanajeshi zake.
Muda utaongea mkuu
Tusubiri tuone
 
Ilimshinda nani hizo ni story za uwongo kama mnavyo danganywa sasa hivi eti anapigana na Hamasi, kumbe nyuma ya pazia yuko USA, Europe, India, South Korea na badhi ya nchi za kiarabu😄
Wewe juzi tu hapo, vita hii ya sasa na wewe itakupa picha halisi israel ni nani. Na wewe utasimulia wajukuu wako
 
Yaani uchukue mtu akiwa hai umrudushe akiwa maiti nikusamehe?

Wanaiotetea Hamas watakuwa hawana akili
 
Yaani uchukue mtu akiwa hai umrudushe akiwa maiti nikusamehe?

Wanaiotetea Hamas watakuwa hawana akili
Na Hamas nao watasema yaani unitoe nyumbani kwangu na shambani kwangu halafu ulale wewe.Lazima nikutoe tu nirudi mwenyewe.
 
Back
Top Bottom