Twende mwisho wa mwaka π€¨Saaaafiiii
Ahsantee sana. Mi Bado niliulizia nikaambiwa bajeti nzuri uwe na m3 hivihongera, me nimejipa challenge ya mount kilimanjaro before March 2025,
Mpaka hatuoni anachotuoneshaπCartoon kibao
Nyanza βWalikuwa wanaita 'nyanza'
Mara ya kwanza kinyemera ya pili tulimpa 5000 tu mlinzi wa pale tulikuwa 7 πUlipanda kinyemela?
Safi sana mkuu
Kaka Nikifa MkeWangu Asiolewe kama Mlima una 3400m unapanda na kurudi siku iyo iyo mbona Kilimanjaro 5800m mtu anatumia wiki au kujiendekeza tu.
Sijawahi kupanda iyo milima mirefu, nishawahi panda Uluguru ndio najionaga mwamba.
Sijui lakni hata huu Hanang niwa7 wadau wamesema Mimi nilijua wa3 siku zote.Mlima Rungwe ni wa ngapi Mkuu?
Eeee siku hiyo hiyo ukiamua ila uwe mwanaume haswaa hivihivi hutoboi.Unapanda na kushuka siku iyo iyo?
Mzungu aliyeona kuwa ameliona hilo ziwa NYANZA akiwa ni mwingereza wa Kwanza kuliona ndiye alilitunuku jina la malkia wa nchi yake wakati huo " VICTORIA".
Ahsantee sana mkuuSafi sana, umeeleza vizuri mno!
Good and nice postπ
Rudia vitabu vyako vya historiaAliyegundua Hilo Ziwa kama sio malikia basi ni mwanamke aliyeitwa jina Hilo. Fuatilia
Madem wengi wa huko miguu yao ni drum stick π€£Mkuu tumeishi nazo sana asee. Itoshe kusema Mungu ni fundi sanaππ
Cartoon kibao
Yote IPO Arusha/ManyaraHanang wa saba bana
Ina maana huu mwaka 2025???Nilipita na basi Katesh Dec 24.
Sawasawa, mkirudi next time unishtue ntakuja na msuba, tukichanganya na mirungi itakuwa full mzikiSina hakika sikuwaona. Wenyeji wanasema Kuna wanyama wadogo wadogo tu kama digidigi.