Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi yuko vizuri mkuu😀dah! Sasa wewe ndo umemwambia aitoe?
Na hata kuja kutokea kwa karne nyingi sana!!Nyoka ni Marekani, anastahili auliwe kwa kupigwa kichwani.Sema bado hajatokea wa kumdhibiti.
Atapasuka liniHakuna vita vya dunia kutokea. Iran atapasuka na hakuna kitu atafanya
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kama wababe wapi?!nadeal na wanyonge, wababe wenzie hatusikii akithubutu kuwagusa
,
Kwa sasa hakuna mwarabu yoyote chini ya jua mwenye ubavu wa kupigana na mzungu yoyote duniani. Nyie waarabu wa kisemvule ndio mnamkuza hiyo mchumba Muiran.Kwa namna yoyote ile vita vibaya vya mashariki ya kati na vinavyoelekea kuwa vya dunia vinanukia sana.
Never say neverNa hata kuja kutokea kwa karne nyingi sana!!