Pre GE2025 Haya ndiyo makosa ambayo BASATA wanamtuhumu Nay wa Mitego kutokana na wimbo wake wa "Nitasema"

Pre GE2025 Haya ndiyo makosa ambayo BASATA wanamtuhumu Nay wa Mitego kutokana na wimbo wake wa "Nitasema"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nimesoma sana mashtaka hayo ila nimeshindwa kujua kusema kuwa Kongo Haina amani inaweza kusababisha mgogoro wa kidiplomasia?? Hilo Baraza liko na wasomi kweli???

Kila Aya mnaweka neno baadhi ya mashairi without evidence vividly mpo serious kweli nyie??
Hiyo ni hati ya mashitaka au kijarida Cha fema??
Nakuja hapo chini kujibu mashitaka yote kwaniaba ya Nay ngoja nije
 
Katika watu hawajui kuimba ni huyo Ney wa mitego alikosea kila kitu kwanzia kuchagua jina lake la sanaa mwanaume unajiitaje Ney alaf wa mitego!
Aachwe asifungiwe
Neh, ney,kihindi ni kukataa au kutokukubali Jambo.

Ney alikuaga na mpenzi wake muhindi Mara nyingi alimkatalia baadhi ya mambo mpaka yule akawa anasema usiseme NEH.

Hio Ndio ulikuaga mwanzo wa iyo nickname ya nei mengineyo naona nei yupo sawa sawa kuhusu kum tuhumu kutokujua kuimba naona inabakia kua SYNONYM.

Beauty is always biased 😀

Asylam alycum LUCHA.
 
ney ni mpumbavu wenzie wanatafuta hela yeye anaangaika uhanaharakati uchwara, kaingia kwenye kumi na nane za maria sarungi yule mwanamke ni nyoka
Mtoto wa kiume acha kufuatilia maisha ya mwanaume mwenzako, tatizo la Watanzania tunapenda sana unafiki, kutegemea hisani ya watu. Ameimba kile anachokiamini. Enzi za Magufuli mbona alitoa ngoma kali zaidi ya hii na hakufanywa kitu?
 
ney ni mpumbavu wenzie wanatafuta hela yeye anaangaika uhanaharakati uchwara, kaingia kwenye kumi na nane za maria sarungi yule mwanamke ni nyoka
Muziki ni kama CHAKULA Kaka!! Mpishi ndo anajua apike chakula Gani ili watu wafurahie.

Kwahiyo acha kumbeza!!
 
Back
Top Bottom