Pre GE2025 Haya ndiyo makosa ambayo BASATA wanamtuhumu Nay wa Mitego kutokana na wimbo wake wa "Nitasema"

Pre GE2025 Haya ndiyo makosa ambayo BASATA wanamtuhumu Nay wa Mitego kutokana na wimbo wake wa "Nitasema"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tunaposema Mwafrika ni mtu lakini si binadamu tunaomba muelewe.
Kwahiyo TAASISI zote za umma ikiwemo BASATA ziko kwaajili ya kulinda kiti cha Rais?
Very stupid yani aise yan woote hadi wa pumbavuu rais akikosea hakosoelewii wanabaki kucheka cheka kama nini ndio mana wengine wamebanduliwa na p diddy kenge kabisa hawa, nakasirikaga sana
 
Ahahahahh 🀣 🀣 🀣 🀣
Anatokea kichaa mmoja aliyepewa kofia za kijani wakati wa uchaguzi 2020 anasema "tulifanya mambo mengi na Didy hayapaswi hata kupostiwa"
Very stupid yani aise yan woote hadi wa pumbavuu rais akikosea hakosoelewii wanabaki kucheka cheka kama nini ndio mana wengine wamebanduliwa na p diddy kenge kabisa hawa, nakasirikaga sana
 
Kama huu wimbo ukifungiwa, kwakutumia kanuni hizi, wakilimsomi kibatala aingilie kati kwa kuibuluza basata mahakamani. Ilikukomesha uchawa wa basata.
 
Katika watu hawajui kuimba ni huyo Ney wa mitego alikosea kila kitu kwanzia kuchagua jina lake la sanaa mwanaume unajiitaje Ney alaf wa mitego!
Aachwe asifungiwe
We dogo hunaga akili, kila siku nakwambia JF haikufai jiunge tiktok ukatikise makalio huko patakufaa zaidi.
 
Wakuu,

Ndio walikuwa wanajitapa na uhuru wa kutoa maoni kuongezeka. Kauli za kichochezi inatakiwa kutolewa maana. Huku ni kutufanya mabubu wazi wazi.

======
HATI YA MAKOSA

KOSA LA KWANZA

Kutoa wimbo kwa walaji bila kibali, kinyume na Kanuni ya 25(1) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa, 2018.

MAELEZO YA KOSA

Msanii Emmanuel Elibariki Nay wa Mitego mnamo tarehe 24/09/2024, huku ukijua kwamba ni kinyume na Kanuni, ulitoa wimbo unaoitwa NITASEMA kwa walaji kabla ya kupewa kibali cha kuthibitisha kuwa maudhui yake yamezingatia maadili.

KOSA LA PILI

Kutoa wimbo ambao maudhui yake yanahamasisha uchochezi kinyume na Kanuni 25(6)(d) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa, 2018.

MAELEZO YA KOSA

Msanii Emmanuel Elibariki Nay wa Mitego mnamo tarehe 24/09/2024, huku ukijua kwamba ni kinyume na Kanuni, ulitoa wimbo unaoitwa NITASEMA ambao baadhi ya mashairi yake yanahamasisha vitendo vya uchochezi dhidi ya Serikali kwa madai kwamba Serikali inahusika katika kufanya vitendo vya utekaji na mauaji ya watu.

KOSA LA TATU

Kutoa wimbo ambao maudhui yake yanapotosha jamii, kinyume na Kanuni 25(6)(b) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa, 2018.

MAELEZO YA KOSA

Msanii Emmanuel Elibariki Nay wa Mitego mnamo tarehe 24/09/2024, huku ukijua kwamba ni kinyume na Kanuni ya 25(6)(b), ulitoa wimbo unaoitwa NITASEMA ambao baadhi ya mashairi yake yanapotosha jamii kwa kuiaminisha kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameshindwa kutekeleza majukumu yake hivyo nchi inazama, na kwamba miradi ya maendeleo ilioachwa na mtangulizi wake imetelekezwa.

KOSA LA NNE

Kutoa wimbo ambao maudhui yake ni kukashifu mataifa mengine kinyume na Kanuni 25(6)(h) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa, 2018.

MAELEZO YA KOSA

Msanii Emmanuel Elibariki Nay wa Mitego mnamo tarehe 24/09/2024, huku ukijua kwamba ni kinyume na Kanuni ya 25(6)(h), ulitoa wimbo unaoitwa NITASEMA ambao baadhi ya mashairi yake yanakashifu nchi ya Rwanda na nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa kudai kwamba nchi hizo hazina usalama, jambo ambalo linaweza kusababisha nchi ya Tanzania kuingia kwenye mgogoro wa kidiplomasia na nchi hizo.

E.E. Buganga
Kny: KATIBU MTENDAJI
27/09/2024​

Nakala: Katibu Mtendaji aione kwenye Jalada

Soma Pia:
~
Ney wa Mitego aitwa BASATA kujadili wimbo wake wa β€˜Nitasema’

Wasanii wengine waliowahi kufungiwa na BASATA soma;
~ Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara



Buganga kawa kugonga
 
Hapo sioni alicho kosea labda Kama kuongea ukweli Ni kosa Basi ata kuwa Ana kosa
 
Kuwahangaikia watanzania ni kujipotezea muda wako tu. Pole sana Ney, yo in the wrong nation.
 
Wakuu,

Ndio walikuwa wanajitapa na uhuru wa kutoa maoni kuongezeka. Kauli za kichochezi inatakiwa kutolewa maana. Huku ni kutufanya mabubu wazi wazi.

======
HATI YA MAKOSA

KOSA LA KWANZA

Kutoa wimbo kwa walaji bila kibali, kinyume na Kanuni ya 25(1) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa, 2018.

MAELEZO YA KOSA

Msanii Emmanuel Elibariki Nay wa Mitego mnamo tarehe 24/09/2024, huku ukijua kwamba ni kinyume na Kanuni, ulitoa wimbo unaoitwa NITASEMA kwa walaji kabla ya kupewa kibali cha kuthibitisha kuwa maudhui yake yamezingatia maadili.

KOSA LA PILI

Kutoa wimbo ambao maudhui yake yanahamasisha uchochezi kinyume na Kanuni 25(6)(d) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa, 2018.

MAELEZO YA KOSA

Msanii Emmanuel Elibariki Nay wa Mitego mnamo tarehe 24/09/2024, huku ukijua kwamba ni kinyume na Kanuni, ulitoa wimbo unaoitwa NITASEMA ambao baadhi ya mashairi yake yanahamasisha vitendo vya uchochezi dhidi ya Serikali kwa madai kwamba Serikali inahusika katika kufanya vitendo vya utekaji na mauaji ya watu.

KOSA LA TATU

Kutoa wimbo ambao maudhui yake yanapotosha jamii, kinyume na Kanuni 25(6)(b) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa, 2018.

MAELEZO YA KOSA

Msanii Emmanuel Elibariki Nay wa Mitego mnamo tarehe 24/09/2024, huku ukijua kwamba ni kinyume na Kanuni ya 25(6)(b), ulitoa wimbo unaoitwa NITASEMA ambao baadhi ya mashairi yake yanapotosha jamii kwa kuiaminisha kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameshindwa kutekeleza majukumu yake hivyo nchi inazama, na kwamba miradi ya maendeleo ilioachwa na mtangulizi wake imetelekezwa.

KOSA LA NNE

Kutoa wimbo ambao maudhui yake ni kukashifu mataifa mengine kinyume na Kanuni 25(6)(h) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa, 2018.

MAELEZO YA KOSA

Msanii Emmanuel Elibariki Nay wa Mitego mnamo tarehe 24/09/2024, huku ukijua kwamba ni kinyume na Kanuni ya 25(6)(h), ulitoa wimbo unaoitwa NITASEMA ambao baadhi ya mashairi yake yanakashifu nchi ya Rwanda na nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa kudai kwamba nchi hizo hazina usalama, jambo ambalo linaweza kusababisha nchi ya Tanzania kuingia kwenye mgogoro wa kidiplomasia na nchi hizo.

E.E. Buganga
Kny: KATIBU MTENDAJI
27/09/2024​

Nakala: Katibu Mtendaji aione kwenye Jalada

Soma Pia:
~
Ney wa Mitego aitwa BASATA kujadili wimbo wake wa β€˜Nitasema’
~ Kuelekea 2025 - Wasanii kujiingiza kwenye siasa na kuwa machawa ipi faida yao kama nao wanashiriki kuingiza wananchi shimoni?

Wasanii wengine waliowahi kufungiwa na BASATA soma;
~ Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

UPDATES
- BASATA waufungia wimbo wa Nay 'Nitasema'
Upuuzi mtupu
 
Ney angefanya kama Roma tu aombe hifadhi kwa mabeberu kwamba maisha yake Yako hatarini anawindwa na serikali ya Samia auwawe .
 
Hii taasisi meno yake huonekana wakati wa 'kufungia wanamuziki',hasa pale mabosi wake wanapoguswa.Maamuzi yake ni ya KINAFIKI,KUJIPENDEKEZA na KULINDA MKATE.Na katika sura za watawala madhalimu UKWELI huitwa UCHOCHEZI.
 
Back
Top Bottom