Hakuna lolote, wewe kama mlokole basi hao wasanii wanapiga tunguri balaa, usipende kusemea watu wewe baki na imani yako. kama anaonewa na ushahid anao alete kwa umma, sisi siyo wapumbavu tumuhukumu mtu bila ushahid eti tumuone mbaya kisa kiba kasema.Utabaki na hizo imanai zako, why Mondi anahangaika na Kiba? Si wapo kina Jux jamani?! khaaa! Mondi anajua kabisa alicho fanya na huenda alifanya kwa bahati mbaya au alishauriwa vibaya sasa anataka lipite, aombe radhi tu yaishe, kujizungusha zungusha hakuta maliza hili.
Sasa Kiba ndio kasema jamani KOMA, nimemalizana na wee huyo mwajuma ndala ndefu aweza kuwa hata dada ako kwani wewe umetoka wapi kama si uswahilini? Acha kujifanya wa juu kuleta dharau wewe , uswahilini ndio alikotoka hata huyu Diamond na yeye anawaheshimu haswa kina ndala ndefu ndio walio mfikisha hapo. Byebye wa ushuani...haaahaaahaaaa1Kauli zile zile za akina Mwajuma Ndala Ndefu... eti safisha kinywa!!
Kwamba eti ndo hivyo Kiba kasema, kwahiyo ndo inakuwa nini?! Hivi unaamini kabisa kwamba Diamond anamuhitaji sana Kiba?!
Anawasaidia kitu ambacho wewe haukijui ila bosi wako mondi anakijua na anataka media yake ikipate kutoka kwa ali na clouds wakikoseKwani Kiba anawasaidia nini clouds?
Achana na lugha za akina Mwajuma Ndala Ndefu!!!Sasa Kiba ndio kasema jamani KOMA, nimemalizana na wee huyo mwajuma ndala ndefu aweza kuwa hata dada ako kwani wewe umetoka wapi kama si uswahilini? Acha kujifanya wa juu kuleta dharau wewe , uswahilini ndio alikotoka hata huyu Diamond na yeye anawaheshimu haswa kina ndala ndefu ndio walio mfikisha hapo. Byebye wa ushuani...haaahaaahaaaa1
Newbie kawa Guru na mentor kageuka mentorbiementor kazidiwa unyoko na newbie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao ndo wale ambao waliambiwa na Mange kwamba Mond kapewa 2% ili kutumia jina lake!!!Hatamtoaje wakati ana umiliki ? ( shares)
Yeyote atakayekueleza kwa niaba ya Kiba, naomba uni-tag!!! Yaani leo ndo nimeamini kwamba kweli inawezekana Familia ya Kiba ilienda kufukisha matunguri na huko wakaambiwa mke wa Kiba anamroga mtoto wa Kiba aliyezaa na mama mwingine!!Kama anafanyiwa ubaya aseme na tuujue tofaut na hapo anaendaga kupiga tunguli, ndio maana hasemi kwakua maneno ya mganga hayana ushahidi.
Naaam hii ni akili kubwa sana.Hicho kitu kibaya ni kipi asichosema?! Sana sana kuna wakati alipoulizwa kuhusu bifu lao alitaja sababu za kijinga kabisa... suala la kufutiana sauti kwenye wimbo!!
Hakuna lolote zaidi ya mambo ya kipumbavu! Si ajabu hapo kaenda kwa mganda wa kienyeji kaambiwa nyota yako imechukuliwa na mpinzani wako! Sasa kama sio upumbavu tuite nini!
Muziki duniani kote umebadilika! Muziki duniani kote siku hizi watu wanatoa ngoma back to back kwa sababu ule upuuzi wa zamani kwamba eti ngoma mzuri inaishi, hivi sasa huo upuuzi hauna nafasi!!
Huo upuuzi hauna nafasi kwa sababu siku hizi media za kusikiliza ngoma zipo nyingi, na matokeo yake, ngoma ikitoka kwa siku unaweza kuisikia hata mara mia na ushee... ukipanda daladala utaisikia, ukipanda UBA utaisikia, kwa Dar kila uchochoro utakaopita, utaisikia kwa njia mbali mbali! Matokeo yake, ngoma hata ikiwa kali vipi, baada ya muda mfupi itachosha tu kutokana na kuisikia mara kwa mara!
Kutokana na hilo, ili watu wasipotee, ndo hapo linapokuja suala la back to back! Kiba na akili zake za kizamani anaamini akitoa ngoma moja, mwaka mzima ita-trend tu! Ikiwa tofauti, ndo pale wajinga hukimbilia kwa waganga wa kienyeji na kuambiwa wamerogwa kumbe mchawi wao ni ujinga wao wenyewe!!!
Unamaanisha kamati ya akina Sallam ambae Kiba huyo huyo aliwahi kumtuhumu kwamba eti alimchomolea waya kwenye show Mombasa ili asisikike, au?!Kuna muda inabidi mtu aache unafiki tu. Mondi huwa akiwa kwenye press huwa anajuwa kucheza na akili za watu kwa kujifanya innocent na asiyekuwa na tatizo na wenziwe.Ila yaliyoko moyoni kwake na kamati yake ya ufundi wanayoyafanya ni ushetani tu. Ila wote ni wasanii wetu tuwasapoti tu.
Diomaond aliulizwa na mwandishi kuhusu Kiba na Harmonize , mwana akafunguka , upande wa pili ukarudisha mipasho, naheshimu jitihada za Mond na namuombea mafanikio zaidi lakn nadharau uzembe wa Kiba , kuhusu ushirikina wote ni washirikinaDiamond usipomtaja Ali Kiba unapungukiwa na nini?
Ali kiba hakuwezi na hatokuja kukuweza.
Unahangaika nae WA nini?
Hahaha baada ya siku chache atasema hivyoo😀Mimi bado sijaamini kama Ali amejibu hivyo.
Naimani kuwa wamehack na sio yeye alieandika.
Namuheshimu sana Kiba na kama ikiwa ni yeye kweli, nitaanza kumdharau
Umdharau kwani umeshafaham anayofanyiwa na Mondi? Kiba ni mkimya sana lakini mpaka unaona amaongea ivo ujue kuna mambo Mondi anawafanyia wenzake sio. Huku nje anajifanya mwema kumbe ndani kwa ndani anayoyafanya sio.Mimi bado sijaamini kama Ali amejibu hivyo.
Naimani kuwa wamehack na sio yeye alieandika.
Namuheshimu sana Kiba na kama ikiwa ni yeye kweli, nitaanza kumdharau
Itamkosti eeh, wewe ukimdharau?Mimi bado sijaamini kama Ali amejibu hivyo.
Naimani kuwa wamehack na sio yeye alieandika.
Namuheshimu sana Kiba na kama ikiwa ni yeye kweli, nitaanza kumdharau
Kiboko ya diamond ni harmonize, kwa sababu wote ni wachawi wakubwa na harmonize kamzidi diamond, diamond kamzidi ali kiba, wote wanga hawa
Tv na radio sio za naseeb yeye kuna share tuu anayopata ila sio biashara yaake inamaana mwenye hio biashara akiaamua Leo hio kumuondoa anamtoa so usisifie vitu usivyovijua
Afu mtu anayeweza kumsema mwenzie kafeli maskini ya Mungu ukimjua utapaliwa mate ukohoe adi ufe Sky Eclat unalionaje hiliKiba ana uswahili uliopitiliza kufeli kwake kimziki anawarushia watu wengine si ndo huyu alisema amezimiwa mic alafu akasema yeye ni mkubwa kuliko Wizkid.
Maskini yeyote lazima aamini uchawi ktk kufanikiwa hilo halinaga ubishi......hawaamini ktk hustling anazozifanya mtuUMEJUAJE???
Huenda tu umechelewa kumfahamu huyo jamaaMimi bado sijaamini kama Ali amejibu hivyo.
Naimani kuwa wamehack na sio yeye alieandika.
Namuheshimu sana Kiba na kama ikiwa ni yeye kweli, nitaanza kumdharau
Kwani ni uongo kiba ajafeli kimziki?Afu mtu anayeweza kumsema mwenzie kafeli maskini ya Mungu ukimjua utapaliwa mate ukohoe adi ufe Sky Eclat unalionaje hili
Inawezekana jamaa amjui vizuri kiba?Huenda tu umechelewa kumfahamu huyo jamaa