Haya ndo majibu ya Alikiba na Harmonize kwa Diamond Platinumz baada ya kupata mwaliko wake...

Haya ndo majibu ya Alikiba na Harmonize kwa Diamond Platinumz baada ya kupata mwaliko wake...

Utabaki na hizo imanai zako, why Mondi anahangaika na Kiba? Si wapo kina Jux jamani?! khaaa! Mondi anajua kabisa alicho fanya na huenda alifanya kwa bahati mbaya au alishauriwa vibaya sasa anataka lipite, aombe radhi tu yaishe, kujizungusha zungusha hakuta maliza hili.
Hakuna lolote, wewe kama mlokole basi hao wasanii wanapiga tunguri balaa, usipende kusemea watu wewe baki na imani yako. kama anaonewa na ushahid anao alete kwa umma, sisi siyo wapumbavu tumuhukumu mtu bila ushahid eti tumuone mbaya kisa kiba kasema.
 
Kauli zile zile za akina Mwajuma Ndala Ndefu... eti safisha kinywa!!

Kwamba eti ndo hivyo Kiba kasema, kwahiyo ndo inakuwa nini?! Hivi unaamini kabisa kwamba Diamond anamuhitaji sana Kiba?!
Sasa Kiba ndio kasema jamani KOMA, nimemalizana na wee huyo mwajuma ndala ndefu aweza kuwa hata dada ako kwani wewe umetoka wapi kama si uswahilini? Acha kujifanya wa juu kuleta dharau wewe , uswahilini ndio alikotoka hata huyu Diamond na yeye anawaheshimu haswa kina ndala ndefu ndio walio mfikisha hapo. Byebye wa ushuani...haaahaaahaaaa1
 
Sasa Kiba ndio kasema jamani KOMA, nimemalizana na wee huyo mwajuma ndala ndefu aweza kuwa hata dada ako kwani wewe umetoka wapi kama si uswahilini? Acha kujifanya wa juu kuleta dharau wewe , uswahilini ndio alikotoka hata huyu Diamond na yeye anawaheshimu haswa kina ndala ndefu ndio walio mfikisha hapo. Byebye wa ushuani...haaahaaahaaaa1
Achana na lugha za akina Mwajuma Ndala Ndefu!!!
 
Kama anafanyiwa ubaya aseme na tuujue tofaut na hapo anaendaga kupiga tunguli, ndio maana hasemi kwakua maneno ya mganga hayana ushahidi.
Yeyote atakayekueleza kwa niaba ya Kiba, naomba uni-tag!!! Yaani leo ndo nimeamini kwamba kweli inawezekana Familia ya Kiba ilienda kufukisha matunguri na huko wakaambiwa mke wa Kiba anamroga mtoto wa Kiba aliyezaa na mama mwingine!!

A loser will always be a loser! No wonder aliposaini Sony tuliambiwa ndani ya mwaka mmoja Kiba angetoa Album, lakini miaka 5 inakaribia kwisha lakini hata EP hana... sa sijui ndo karogwa asitoe album! Very stupid.
 
Hicho kitu kibaya ni kipi asichosema?! Sana sana kuna wakati alipoulizwa kuhusu bifu lao alitaja sababu za kijinga kabisa... suala la kufutiana sauti kwenye wimbo!!

Hakuna lolote zaidi ya mambo ya kipumbavu! Si ajabu hapo kaenda kwa mganda wa kienyeji kaambiwa nyota yako imechukuliwa na mpinzani wako! Sasa kama sio upumbavu tuite nini!

Muziki duniani kote umebadilika! Muziki duniani kote siku hizi watu wanatoa ngoma back to back kwa sababu ule upuuzi wa zamani kwamba eti ngoma mzuri inaishi, hivi sasa huo upuuzi hauna nafasi!!

Huo upuuzi hauna nafasi kwa sababu siku hizi media za kusikiliza ngoma zipo nyingi, na matokeo yake, ngoma ikitoka kwa siku unaweza kuisikia hata mara mia na ushee... ukipanda daladala utaisikia, ukipanda UBA utaisikia, kwa Dar kila uchochoro utakaopita, utaisikia kwa njia mbali mbali! Matokeo yake, ngoma hata ikiwa kali vipi, baada ya muda mfupi itachosha tu kutokana na kuisikia mara kwa mara!

Kutokana na hilo, ili watu wasipotee, ndo hapo linapokuja suala la back to back! Kiba na akili zake za kizamani anaamini akitoa ngoma moja, mwaka mzima ita-trend tu! Ikiwa tofauti, ndo pale wajinga hukimbilia kwa waganga wa kienyeji na kuambiwa wamerogwa kumbe mchawi wao ni ujinga wao wenyewe!!!
Naaam hii ni akili kubwa sana.
Umeongea point Sana hasa sababu za mziki kuchuja mapema.
 
Kuna muda inabidi mtu aache unafiki tu. Mondi huwa akiwa kwenye press huwa anajuwa kucheza na akili za watu kwa kujifanya innocent na asiyekuwa na tatizo na wenziwe.Ila yaliyoko moyoni kwake na kamati yake ya ufundi wanayoyafanya ni ushetani tu. Ila wote ni wasanii wetu tuwasapoti tu.
Unamaanisha kamati ya akina Sallam ambae Kiba huyo huyo aliwahi kumtuhumu kwamba eti alimchomolea waya kwenye show Mombasa ili asisikike, au?!
 
Diamond usipomtaja Ali Kiba unapungukiwa na nini?
Ali kiba hakuwezi na hatokuja kukuweza.
Unahangaika nae WA nini?
Diomaond aliulizwa na mwandishi kuhusu Kiba na Harmonize , mwana akafunguka , upande wa pili ukarudisha mipasho, naheshimu jitihada za Mond na namuombea mafanikio zaidi lakn nadharau uzembe wa Kiba , kuhusu ushirikina wote ni washirikina
 
Mimi bado sijaamini kama Ali amejibu hivyo.
Naimani kuwa wamehack na sio yeye alieandika.
Namuheshimu sana Kiba na kama ikiwa ni yeye kweli, nitaanza kumdharau
Umdharau kwani umeshafaham anayofanyiwa na Mondi? Kiba ni mkimya sana lakini mpaka unaona amaongea ivo ujue kuna mambo Mondi anawafanyia wenzake sio. Huku nje anajifanya mwema kumbe ndani kwa ndani anayoyafanya sio.
 
Tv na radio sio za naseeb yeye kuna share tuu anayopata ila sio biashara yaake inamaana mwenye hio biashara akiaamua Leo hio kumuondoa anamtoa so usisifie vitu usivyovijua

Kwenda zako ww ndoulie waandikisha iyo mikataba
 
Back
Top Bottom