Hivi unaposema kiba hategemei mziki na diamond anategemea mziki maana yake nini. Diamond ana biashara kama radio, tv na matangazo kibao. Niamboe kiba anategemea niniKiba hajafeli mziki sema kiba hategemei mziki mondi anategemea mziki n.a. anapenda sifa mond ni mnafiki kweny media anajidai kondoo kumbe mbwa mwitu
Anaishi kwake, hajawahi kuomba hela ya kula wala ya mafuta ya gariHivi unaposema kiba hategemei mziki na diamond anategemea mziki maana yake nini. Diamond ana biashara kama radio, tv na matangazo kibao. Niamboe kiba anategemea nini
Acha ushabiki maandaziYou know nothing bro hujui kinachoendelea kati ya hao wawili so bro kwa kimya tu na ukiwa msanii usijenge urafiki na mond don't try that it'll cost you big time.
Zee zima lile unaliita kinda?Tabu Ley na Samagwana waliimba mpaka Vifo vimewachukua Kiba bado kinda kabisa kwenye game
Nasema siku zote huo ugonjwa wakuamini mambo ya kishirikina ni hatari mnoooo. Chagua Moja MwenyeziMungu ama Sheitwani.Kazi sana ukifatilia utakuta wanatuhumiana kurogana
Utasema ni wale wanawake wa uswahili wanaochamba, ikifika ijumaa utakuwa kwenye coaster wanakata mauno madirishani juma oili ndo wanarudi kwao.Kiba amezingua, mwanaume ana kijembe kikali namna ileee
Aliyekuambia wcb ndo walivujisha video ya nandy ni nani? Watu bhana...Mimi walivyovujisha video ya Nandy eti wanamkomoa Ruge ndio niliwaona takataka kabisa.
Unamuumiza Billnass na Nandy kwa kuwa una biff zako na Ruge !!
Halafu alivyo mnafiki walipokuwa Dubai akawa anajiweka karibu na Nandy kama vile ni mtu mwema saaana.
Jamaa ni mnafiki sana ndio maana hata mademu zake anawavuruga halafu anajifanya yeye ndo kakosewa.
Yaana yeye siku zote ni INNOCENT
Nimeshangaa sana kile kijembe!Utasema ni wale wanawake wa uswahili wanaochamba, ikifika ijumaa utakuwa kwenye coaster wanakata mauno madirishani juma oili ndo wanarudi kwao.
Takataka, hujui chochoteAliyekuambia wcb ndo walivujisha video ya nandy ni nani? Watu bhana...
Ally hata kama angekuwa amekunywa juisi ya bangi kamwe asingeandika hivyo.
Sam Mangwana amefariki lini? tafuta taarifa (research) kabla ya kuchapisha.Tabu Ley na Samagwana waliimba mpaka Vifo vimewachukua Kiba bado kinda kabisa kwenye game
Umekula?Kiba hajafeli mziki sema kiba hategemei mziki mondi anategemea mziki n.a. anapenda sifa mond ni mnafiki kweny media anajidai kondoo kumbe mbwa mwitu
Hii nchi imefikia kwenye ushirikina wa kutisha, na sijui kama wenye mamlaka wanaliona hili tishio.Nasema siku zote huo ugonjwa wakuamini mambo ya kishirikina ni hatari mnoooo. Chagua Moja MwenyeziMungu ama Sheitwani.
Na kafanya vile makusudi Kiba kupanic kampa kiki zaidi mond[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Mondi anaplay smart sanaa
100%Hii nchi imefikia kwenye ushirikina wa kutisha, na sijui kama wenye mamlaka wanaliona hili tishio.
Tumekuwa taifa lisilomuamini Mwenye enzi Mungu, kila kona ni ushirikina.