Haya ndo majibu ya Alikiba na Harmonize kwa Diamond Platinumz baada ya kupata mwaliko wake...

Haya ndo majibu ya Alikiba na Harmonize kwa Diamond Platinumz baada ya kupata mwaliko wake...

Hayo ya kuroga au kuibiana nyota umesema wewe, kwa nini Kiba huwa hana muda wa kumzungumzia Mondi lakini mondi anapenda kumzungumzia kiaba? Kama alitoa mkono ukakataliwa why asiendelee na namaisha yake? Kwa nini Kiba na sio Barnaba, Ben pol, kina Timbulo Ommya dimpoz, why anataka kufanya tamasha na Kiba? Sasa Kiba kasema amkome, na amkome kweli kama ana nyota na a shine kivyake amuache Kiba kasema KOMA.
Sasa si aliulizwa na mwandishi hao wengine hakuulizwa
 
Hivi unaposema kiba hategemei mziki na diamond anategemea mziki maana yake nini. Diamond ana biashara kama radio, tv na matangazo kibao. Niamboe kiba anategemea nini
We ndo hujui kabisaa hahahahaha alokwambia tv radio ni zake nan pole mkuu kumbe hata hujui nini kinaendelea pole sana hahaha angalia hata hisa anazomiliki pale ni kiduchu yy sio radio yake wala tv yake ila brand yake ndo umetumika ila yy sio owner umeelewa usirudie tena kusema hivo utachekwa sana...halaf kiba nilicho gundua sio mtu wa kuanika mambo mtandaoni kama huyo mondi...na nilisema hategemei mziki namaanisha ndomana anakaa hata mwaka hatoi ngoma kwasab anajua aaah ntakula tu pesa ipo
 
Umeelewa swali?
umeuliza kwanini WCB wasitumie njia wanazotumia kuwapata wasanii wengine sio kwenda kwa media kuongelea hilo.
Ndio maana nikasema kiba anajikuta King, anavimba, anajiona yeye the best, afu ana chuki na WCB...Kwa hiyo ni ngumu kumpata kwa njia hiyo km wengine wanavyopatikana. Lazima kuwe na plan B, Asa ujaelewa nini hapo?
 
Unajua kwanini kakataa? Unajua kinachoendelea katkati yao? Kwanini kiba tu kwani wasanii wengine hakuna? Kwanini sio ommy dimpoz? Barnanba? Maua sama? Kwanini kiba?
Lile ni tamasha watu wanataka ku-make money, wasanii wote uliowalist hakuna wa kumfikia Kiba kwa Fan-base, Ndio maana mond katoa mfano wa Davido na Wizkid, hata km kuna bifu likija suala la mkwanja lazima washikamane ili wasonge.Kiba analeta ego za kisengerema.[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ss mtu hatoi mziki hata mwaka mzima unasema anategemea mziki huyo Kula??
Wanashindwa kukuelewa maana tangu mwanzo hujawaeleza kwamba wewe ndiye Tanasha Donna mwenyewe. Na huyo Diamond wewe unamuelewa kinaga ubaga
 
Kipindi kile Kiba anarudi kwenye game,mtu ambaye alikuwa mdomoni kwake ni Diamond,katafuta kiki kwa Mondi ,kila akihojiwa mara hoo dogo aniheshimu,mara dogo amefuta verse yangu mara sijui nini,kila interview yake alikuwa akimponda Mondi alikaa kimya.Nakumbuka alijibu issue ya hiyo kufuta verse ya kiba ktk nyimbo ya lala salama,baada ya kiba kufuta verse yake ktk single boy(kwa sababu hii kwangu mimi beef lao naona ni la kitoto).Kaendelea kumwongelea mwenzake -ve kweli akafanikiwa kusimama tena kwenye game.

Zikaja kampeni za KILI MUSIC AWARDS baadhi ya media plus team, team Wema,Team Jokate na Team Kiba (Team ndipo zilipozalikwa kwenye mziki) zikaaungana ktk tuzo za KILI,kweli Diamond kuna baadhi ya tuzo wakambania,Mungu si Athuman mwaka huo huo MTV MAMA wakampa tuzo ya Best entertainer.

Jamaa baada zile team,chuki zilizosambazwa na Kiba na team za ma-ex wake ,Diamond akazomewa Fiesta.Mungu si Athumani akapambana we ,mwaka 2015 kwa mujibu wa EMC Kenya ,Mondi akaendeleza record ya kuwa msanii anayesikilizwa sana kwenye Radio na TV,hii ilimfanya apate zaidi ya mil 600.Mpaka sasa jama ana utitiri wa show,ubalozi kwenye kampuni mbalimbali na kila anachogusa kinakuwa almasi kama jina lake.

Ukiyaangalia haya matukio utakuja kugundua,alieanza maswala ya kumungelea mwenzie kwa kumpaka matope ni Kiba na hali kama hii iliyomkuta Mondi kama ingemkuta kiba nahisi angedata.

Zamani Mondi alikuwa akipayuka akiulizwa maswala ya kiba,ila siku hizi anavyo react kama hakuna kitu.Ila WCB wana kauli yao mbiu,kama ukijaribu kutengeza beef ,wao lile BEEF wanaligeuza linakuwa BIASHARA kwao.WCB hapa wanacheza mind game.
 
Kumgeuzia mkono alikuwa na hili ambalo kasema akisema itakuwa taabu sio kwamba aliogopa nyota kuibiwa, aliona ni unafiki kumpa mkono mbele za watu wakati nyuma ya pazia kuna bifu.
Kama anafanyiwa ubaya aseme na tuujue tofaut na hapo anaendaga kupiga tunguli, ndio maana hasemi kwakua maneno ya mganga hayana ushahidi.
 
Hivi Dayamondi hana picha nyingine ambayo mdomo umeonekana vizuri kuliko hiyo hapo juu mleta mada uliyoiweka?
 
Kama anafanyiwa ubaya aseme na tuujue tofaut na hapo anaendaga kupiga tunguli, ndio maana hasemi kwakua maneno ya mganga hayana ushahidi.
Utabaki na hizo imanai zako, why Mondi anahangaika na Kiba? Si wapo kina Jux jamani?! khaaa! Mondi anajua kabisa alicho fanya na huenda alifanya kwa bahati mbaya au alishauriwa vibaya sasa anataka lipite, aombe radhi tu yaishe, kujizungusha zungusha hakuta maliza hili.
 
Hayo ya kuroga au kuibiana nyota umesema wewe, kwa nini Kiba huwa hana muda wa kumzungumzia Mondi lakini mondi anapenda kumzungumzia kiaba? Kama alitoa mkono ukakataliwa why asiendelee na namaisha yake? Kwa nini Kiba na sio Barnaba, Ben pol, kina Timbulo Ommya dimpoz, why anataka kufanya tamasha na Kiba? Sasa Kiba kasema amkome, na amkome kweli kama ana nyota na a shine kivyake amuache Kiba kasema KOMA.
Huna lolote...wewe na wenzako hamna hoja ya maana hapo zaidi ya kuwaza ushirikina!!! Na kama sio imani za kipumbavu, mbona hasemi basi hicho alichofanywa?!

Tangia huu upuuzi uanze, siku moja tu Kiba kwa kuelezea chanzo cha bifu lao, akadai Diamond alifuta verse ya Kiba kwa sababu alimkatalia ku-feature kwenye Single Boy!

Sasa hiyo nayo ni sababu ya mwanaume mzima kukaa nayo moyoni miaka nenda rudi?!

Ulitaka awazungumzie akina Ben Pol wakati Mwandishi alimuuliza kuhusu Ali Kiba na Harmonize?!

Halafu bila aibu, eti Kiba kasema "amkome"! Si kauli za kike hizo, tena za wale akina Mwajuma Ndala Ndefu!! Hivi mwanaume mzima unaweza kusema "anikome!"
 
Huna lolote...wewe na wenzako hamna hoja ya maana hapo zaidi ya kuwaza ushirikina!!!

Ulitaka awazungumzie akina Ben Pol wakati Mwandishi alimuuliza kuhusu Ali Kiba na Harmonize?!

Halafu bila aibu, eti Kiba kasema "amkome"! Si kauli za kike hizo, tena za wale akina Mwajuma Ndala Ndefu!! Hivi mwanaume mzima unaweza kusema "anikome!"
Pole naona povu limekutoka,haya safisha kinywa kwa povu lako, ila ndio hivyo kiba kashasema, kama hutaki na unamuona ni ndala ndefu poa, wewe ndala fupi mbaona hushiriki hilo tamamasha?!
 
Diamond usipomtaja Ali Kiba unapungukiwa na nini?
Ali kiba hakuwezi na hatokuja kukuweza.
Unahangaika nae WA nini?
 
Pole naona povu limekutoka,haya safisha kinywa kwa povu lako, ila ndio hivyo kiba kashasema, kama hutaki na unamuona ni ndala ndefu poa, wewe ndala fupi mbaona hushiriki hilo tamamasha?!
Kauli zile zile za akina Mwajuma Ndala Ndefu... eti safisha kinywa!!

Kwamba eti ndo hivyo Kiba kasema, kwahiyo ndo inakuwa nini?! Hivi unaamini kabisa kwamba Diamond anamuhitaji sana Kiba?!
 
Back
Top Bottom