Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Have a trial of being a man with a gun within a holster of your own!There is no benefits of me having it in my home library…!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Have a trial of being a man with a gun within a holster of your own!There is no benefits of me having it in my home library…!
Endelea kujifariji kuhusu magufuli na uongozi wake! He was our 5th president..No one is going to change that! Huyo kabendera na wew hakuna watu watawakumbuka..!So what?
Tangu mwaka 2016 nilishaona dalili kuwa huyu bwana hakuwa mzima.He was a butcher. Ruthless butcher.
Endelea kujifariji kuhusu magufuli na uongozi wake! He was our 5th president..No one is going to change that! Huyo kabendera na wew hakuna watu watawakumbuka..!
If that's your decision, then there was no need to comment 'so what.' I understand you don’t see the value of having it in your home library because you're confident you'll simply rely on updates from those who have read itThere is no benefits of me having it in my home library…!
Kuna watu hapa kwangu hawaendi msalani,shuleni wala kujidai bila mimi.Wataanzaje kumkumbuka asiye na direct impacts kwao?Fikiria upya.Endelea kujifariji kuhusu magufuli na uongozi wake! He was our 5th president..No one is going to change that! Huyo kabendera na wew hakuna watu watawakumbuka..!
Ukifa watapata mrithi…Kuna watu hapa kwangu hawaendi msalani,shuleni wala kujidai bila mimi.Wataanzaje kumkumbuka asiye na direct impacts kwao?Fikiria upya.
Asiye na mfanano wala vinasaba kwao?Ukifa watapata mrithi…
Maana ya kuuwa wanafanana. Na wao wanauwaMwisho wa siku, mmeivuruga nchi, mmeuza maliasili za watanganyika na sasa HAMNA mtakachowaambia waumini wa sera za Magu ambao ndio wengi na wasio wanufaika wa MIKOPO ya nchi iendayo chizimkazi kwa gharama za vizazi vyao.
Hakikisheni mnawachanganya kweli kweli ili mfanikiwe hiyo October 2025.
1. Magufuli
2. Lisu vs Mbowe
3. Mapambio
4. Chawa
Ndo sera zenu kuhakikisha MITANO TENA inafanikiwa sio?
Bila hivyo, mtaulizwa, mwamba alifanya, nyie mmeshindwa nini?
He was then toppled silently..He was a butcher. Ruthless butcher.
Ndo maana Mungu akaona heri atuletee huyu wa DP world na AbduliAll in all, that man was a monster
Mbona story ya Mange hakuomba kujiuzulu? na ilikuwa mbaya kuliko hii ya kusahau kuvaa suti.👉🏽 ...Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.
Acha ujinga wako hapa dogo.Hizi ni salamu kwa Samia Suluhu Hassan ajue naye anajiandikia kitabu cha kwake na tayari wino unaotumika ni mwekundu,kazi kwake. Hawa panya wake kina Lucas Mwashambwa hawataonekana tena wakati kikianza kusomwa na kujadiliwa.
Kwa aliyepitia JKT hili si jambo la ajabu. Labda kama hujui msemo wa "Raia daraja la kwanza".....anajaribu kuikoki...