Haya ni baadhi ya mambo mengine yaliyomo kwenye kitabu cha Erick Kabendera

Haya ni baadhi ya mambo mengine yaliyomo kwenye kitabu cha Erick Kabendera

Hizi ni salamu kwa Samia Suluhu Hassan ajue naye anajiandikia kitabu cha kwake na tayari wino unaotumika ni mwekundu,kazi kwake. Hawa panya wake kina Lucas Mwashambwa hawataonekana tena wakati kikianza kusomwa na kujadiliwa.
Acha mikwara huyo mama hana haja ya kutumia nguvu wala kufanya huo upuuzi kama wa magu na skendo kama hizo hata haziendani nae
 
Mwisho wa siku, mmeivuruga nchi, mmeuza maliasili za watanganyika na sasa HAMNA mtakachowaambia waumini wa sera za Magu ambao ndio wengi na wasio wanufaika wa MIKOPO ya nchi iendayo chizimkazi kwa gharama za vizazi vyao.

Hakikisheni mnawachanganya kweli kweli ili mfanikiwe hiyo October 2025.

1. Magufuli
2. Lisu vs Mbowe
3. Mapambio
4. Chawa

Ndo sera zenu kuhakikisha MITANO TENA inafanikiwa sio?

Bila hivyo, mtaulizwa, mwamba alifanya, nyie mmeshindwa nini?
Mwamba alifanya nini ambacho wengine Wameshindwa?

Mtoa mada amenukuu taarifa za kitabu zinazomhusu huyo Godfather wako Sasa mapovu ya nini?
 
Mkuu hizo sio za Kabendera hizo ni za mtu wangu wa Ndani
Huvi kwanini wote ushahidi wenu ni mtu wa ndani, mtu wa karibu, mtu wa ikulu ila hamtaji majina, kazi zao, rekodi zao, ni watu wa aina gani, mazingira, maandishi ya wakati huo, video, picha ushahidi usio na shaka, motive, content, context, all collaborative evidence to go with accusations of such serious nature? Watu waandika vitu
willy-nilly.

Kuna huyu Remigius Celestine Mjumbe wa Secretarieti CHADEMA Makao Makuu anamtuhumu Mbowe kwa mambo mengi huwa anaweka ushahidi usio na shaka, anataja majina, sehemu, motive, context and content ana ushahidi wa documents maandishi na wengine waliokuwepo anawataja na anawaomba mkawaulize. Unaweza kujiridhisha kama madai yake ni ya kweli au uongo. Na nyie mfanye hivyo.
 
Mwisho wa siku, mmeivuruga nchi, mmeuza maliasili za watanganyika na sasa HAMNA mtakachowaambia waumini wa sera za Magu ambao ndio wengi na wasio wanufaika wa MIKOPO ya nchi iendayo chizimkazi kwa gharama za vizazi vyao.

Hakikisheni mnawachanganya kweli kweli ili mfanikiwe hiyo October 2025.

1. Magufuli
2. Lisu vs Mbowe
3. Mapambio
4. Chawa

Ndo sera zenu kuhakikisha MITANO TENA inafanikiwa sio?

Bila hivyo, mtaulizwa, mwamba alifanya, nyie mmeshindwa nini?


Yaani na yeyote yule ambae amepinga ,anapinga sera za Hayati J.P. Magufuli. Asichaguliwe.

CHADEMA na Mamluki wenzao wote.

Hawachaguliki.
 
Acha mikwara huyo mama hana haja ya kutumia nguvu wala kufanya huo upuuzi kama wa magu na skendo kama hizo hata haziendani nae
JPM alibugi sana stepu kuendekeza siasa za ubabe haswa akipambana na uongozi wa juu wa CHADEMA unaotokea kaskazini.

Namuelewa Samia kumpelekea Makonda Arusha, anajenga siasa za kushirikisha watu na zilizojaa uungwana.
 
Erick Kabendera ndio habari ya mjini kwasasa!

Kwenye kitabu chake hiki kipya, licha ya kuzungumzia masuala ya mauaji ya Ben Saanane yaliyofanywa na Hayati Magufuli, pia amejadili mambo mengine yanayomuhusu Magufuli kama ifuatavyo;

👉🏽 Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.

👉🏽 Central polisi shimoni, Wanawake na wanaume wana share lockup, mambo ya ajabu kabisa haya.

👉🏽 Alihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane


👉🏽 Ernest Sungura (wa Media Council of Tanzania, kwa sasa) alihusika kwenye kikao na Dr Bashiru kumuhoji Kabendera, wakamwambia yuko Salama baadaye yakamkuta ya kumkuta, walikuwa wanajua nini kinaendelea.

Hayo ni machache juu ya mambo mazito aliyoyaandika Kabendera kwenye kitabu chake..
Hana lolote huyo.
Angeanza kwa kujisafisha juu ya kupokea pesa k,utoka nje ili kulipa watu wanaokosaoa na kutukana serikali. He is just another noise maker.
 
Makamu wa raisi wakati huo si yupo? Aulizwe kama kuna ukweli, kama haupo basi huyo mwandishi ana la kujibu.
 
halali alifukuzwa missionari kweli alienda kuomba utelezi kwa bibi au alipiga
 
Ernest Sungura (wa Media Council of Tanzania, kwa sasa) alihusika kwenye kikao na Dr Bashiru kumuhoji Kabendera, wakamwambia yuko Salama baadaye yakamkuta ya kumkuta, walikuwa wanajua nini kinaendelea.
Wakamatwe.
 
Kwamba mama yake(magufuli) alivoambiwa mwanao ameteuliwa kuwa mgombea urais kupitia sisiemu akacheka sana akawaambia atawaumiza sana hamumjui vizuri.
Hiyo inawezekana au siyo, maana mama yake ndiye alimjua kwa undani, lakini kuvamia kwa makamo wa Rais, hesabu zinakataa/zimegoma.
 
  • Thanks
Reactions: al1
Back
Top Bottom