xi maha
Member
- Dec 26, 2022
- 22
- 28
Sijaelewa hapqAlihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane🥺🥺🤔🙇🏿♂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa hapqAlihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane🥺🥺🤔🙇🏿♂
Acha mikwara huyo mama hana haja ya kutumia nguvu wala kufanya huo upuuzi kama wa magu na skendo kama hizo hata haziendani naeHizi ni salamu kwa Samia Suluhu Hassan ajue naye anajiandikia kitabu cha kwake na tayari wino unaotumika ni mwekundu,kazi kwake. Hawa panya wake kina Lucas Mwashambwa hawataonekana tena wakati kikianza kusomwa na kujadiliwa.
Mwamba alifanya nini ambacho wengine Wameshindwa?Mwisho wa siku, mmeivuruga nchi, mmeuza maliasili za watanganyika na sasa HAMNA mtakachowaambia waumini wa sera za Magu ambao ndio wengi na wasio wanufaika wa MIKOPO ya nchi iendayo chizimkazi kwa gharama za vizazi vyao.
Hakikisheni mnawachanganya kweli kweli ili mfanikiwe hiyo October 2025.
1. Magufuli
2. Lisu vs Mbowe
3. Mapambio
4. Chawa
Ndo sera zenu kuhakikisha MITANO TENA inafanikiwa sio?
Bila hivyo, mtaulizwa, mwamba alifanya, nyie mmeshindwa nini?
Mkuu hizo sio za Kabendera hizo ni za mtu wangu wa NdaniHahaha, hizo ni habari za udaku, umbeyaumbeya. Naona anachanganya udaku na tuhuma nzito zisizo na ushahidi.
Mkapa anaweza kufanya huu utoto?
Halafu anapita mulemule anawataja marehemu sababu hawawezi kumjibu awataje pia walio hai.
Tumekupata vyema.N
Noma sana mwamba!! Mpaka U......me. Teacher naye ilikuwa MBUNYYE ya Mwamba....🙏🙏🙏
Huvi kwanini wote ushahidi wenu ni mtu wa ndani, mtu wa karibu, mtu wa ikulu ila hamtaji majina, kazi zao, rekodi zao, ni watu wa aina gani, mazingira, maandishi ya wakati huo, video, picha ushahidi usio na shaka, motive, content, context, all collaborative evidence to go with accusations of such serious nature? Watu waandika vituMkuu hizo sio za Kabendera hizo ni za mtu wangu wa Ndani
😄Mwamba alifanya nini ambacho wengine Wameshindwa?
Mtoa mada amenukuu taarifa za kitabu zinazomhusu huyo Godfather wako Sasa mapovu ya nini?
Mwisho wa siku, mmeivuruga nchi, mmeuza maliasili za watanganyika na sasa HAMNA mtakachowaambia waumini wa sera za Magu ambao ndio wengi na wasio wanufaika wa MIKOPO ya nchi iendayo chizimkazi kwa gharama za vizazi vyao.
Hakikisheni mnawachanganya kweli kweli ili mfanikiwe hiyo October 2025.
1. Magufuli
2. Lisu vs Mbowe
3. Mapambio
4. Chawa
Ndo sera zenu kuhakikisha MITANO TENA inafanikiwa sio?
Bila hivyo, mtaulizwa, mwamba alifanya, nyie mmeshindwa nini?
Mjinga ni wewe unayemshsbikia mtu anayekuona wewe ni kinyesi tu.Acha ujinga wako hapa dogo.
JPM alibugi sana stepu kuendekeza siasa za ubabe haswa akipambana na uongozi wa juu wa CHADEMA unaotokea kaskazini.Acha mikwara huyo mama hana haja ya kutumia nguvu wala kufanya huo upuuzi kama wa magu na skendo kama hizo hata haziendani nae
Hana lolote huyo.Erick Kabendera ndio habari ya mjini kwasasa!
Kwenye kitabu chake hiki kipya, licha ya kuzungumzia masuala ya mauaji ya Ben Saanane yaliyofanywa na Hayati Magufuli, pia amejadili mambo mengine yanayomuhusu Magufuli kama ifuatavyo;
👉🏽 Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu.
👉🏽 Central polisi shimoni, Wanawake na wanaume wana share lockup, mambo ya ajabu kabisa haya.
👉🏽 Alihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane
👉🏽 Ernest Sungura (wa Media Council of Tanzania, kwa sasa) alihusika kwenye kikao na Dr Bashiru kumuhoji Kabendera, wakamwambia yuko Salama baadaye yakamkuta ya kumkuta, walikuwa wanajua nini kinaendelea.
Hayo ni machache juu ya mambo mazito aliyoyaandika Kabendera kwenye kitabu chake..
Jamani, naona tuhuma zingine zinatosha na kuchefua. Wanawake wote nchini, wa rangi, mataifa, Kabila zote ashindwe hadi kwa mwanae wa kuzaa !!!!!!!!!!!Ile Ishu ya Jiwe kula mbususu ya bintiye aliyejiua kutokana na kitendo hicho ni kweli?
Wakamatwe.Ernest Sungura (wa Media Council of Tanzania, kwa sasa) alihusika kwenye kikao na Dr Bashiru kumuhoji Kabendera, wakamwambia yuko Salama baadaye yakamkuta ya kumkuta, walikuwa wanajua nini kinaendelea.
Tuliwaambiaga yule Mwamba Hachafuki ! 😅🙌👍So what?!
Hiyo inawezekana au siyo, maana mama yake ndiye alimjua kwa undani, lakini kuvamia kwa makamo wa Rais, hesabu zinakataa/zimegoma.Kwamba mama yake(magufuli) alivoambiwa mwanao ameteuliwa kuwa mgombea urais kupitia sisiemu akacheka sana akawaambia atawaumiza sana hamumjui vizuri.