Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
π€£πππ ππππDah! Tayari umeshakuwa milionea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π€£πππ ππππDah! Tayari umeshakuwa milionea.
SiOβHabari za asubuhi ndugu na marafiki wa Jamiiforums. Nimeletewa aina hii ya mawe na mdogo wangu lakini kati yetu hakuna aliyeweza kuyatambua.
Kwasababu JF ni mkusanyiko wa watu wenye maarifa mbalimbali, nikaona si mbaya nikiuliza ili tuweze kuyatambua. HAYA NI MADINI AINA GANI na thamani yake ikoje?
Bufa
Mpwayungu Village
new gal
Financial Analyst
National Anthem
financial services
Intelligent businessman Arushaone
Niwe chawa wako kakaHabari za asubuhi ndugu na marafiki wa Jamiiforums. Nimeletewa aina hii ya mawe na mdogo wangu lakini kati yetu hakuna aliyeweza kuyatambua.
Kwasababu JF ni mkusanyiko wa watu wenye maarifa mbalimbali, nikaona si mbaya nikiuliza ili tuweze kuyatambua. HAYA NI MADINI AINA GANI na thamani yake ikoje?
Bufa
Mpwayungu Village
new gal
Financial Analyst
National Anthem
financial services
Intelligent businessman Arushaone
Ngoja tupige mahela bro, nitakutafuta nasi tutambe na watoto wetu kina new gal na financial services ππNiwe chawa wako kaka
hapo umeongea sasa π π π .. maisha ndio hayaa sasaNgoja tupige mahela bro, nitakutafuta nasi tutambe na watoto wetu kina new gal na financial services ππ
aione financial services na new gal π πYaani yakiwa mahela mengi mengi lazima tutengeneze kitu kinachoitwa mutual friendship with benefit.ππ
Sio tunasikia wengine tu ndio wanaishi alafu sisi tunabaki kama wasindikizaji wakati dunia ni mali yetu woteππaione financial services na new gal π π
hapo hela zitakuwa nyingi sana, hatujaja kukaa duniani kushangaaa .. lazima na sie tuishi aisee
Mikoa mingi ina ofisi za Madini nenda kuna maabara wakupimieHabari za asubuhi ndugu na marafiki wa Jamiiforums. Nimeletewa aina hii ya mawe na mdogo wangu lakini kati yetu hakuna aliyeweza kuyatambua.
Kwasababu JF ni mkusanyiko wa watu wenye maarifa mbalimbali, nikaona si mbaya nikiuliza ili tuweze kuyatambua. HAYA NI MADINI AINA GANI na thamani yake ikoje?
Bufa
Mpwayungu Village
new gal
Financial Analyst
National Anthem
financial services
Intelligent businessman Arushaone
rodelight hiyoπ€£πππ ππππ
Ungenijia mkoa ningekuungalisha na mdao mmoja wapoAsante sana mkuu, umetoa wazo ambalo ni la kipekee kabisa. Kesho natimba ofisi za madini mkoa na nitarudisha mrejesho hapa π€
Gauda hili.Habari za asubuhi ndugu na marafiki wa Jamiiforums. Nimeletewa aina hii ya mawe na mdogo wangu lakini kati yetu hakuna aliyeweza kuyatambua.
Kwasababu JF ni mkusanyiko wa watu wenye maarifa mbalimbali, nikaona si mbaya nikiuliza ili tuweze kuyatambua. HAYA NI MADINI AINA GANI na thamani yake ikoje?
Bufa
Mpwayungu Village
new gal
Financial Analyst
National Anthem
financial services
Intelligent businessman Arushaone