Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna muda ukimwa wako watu wanaweza kukuchukulia advantage kama weak point. Hili unalizungumziaje?
Pia kujazia. Usiingilie ugomvi ambao huna maslahi nao au haujui chanzo chake. Kujifanya msuluhishi/mpatanishi/nice guy., kunaweza kukugharimu hadi uhai wako.
Tafuta hela coz ukiwa nazo hakuna wa kukuonea!Machawa na wapambe watakufanyia hiyo kazi vizuri tu! Kwa dunia ya sasa kama unapenda ugomvi wewe bado ni mshamba na limbukeni!ugomvi wangu huwa hauishi hasa ukinionea
Last time kupigana sikumbuk ni lini... mara nyingi Wauni, walevi, vibaka wa mitaani huwa nachapa makofi mawili matatu.. Ngumi situmii kbs ntaua.
Nakumbuka nilirusha ngumi jamaa akaikwepa kwa kubahatisha ikaenda ktk mpapai, ule mpapai uligawanyika katikati jamaa alikimbia mbio ambazo Usain bolt asingefata..
Tuhurumie kaka wiki hii tumedanganywa sana humu, usituongezee dozi.Last time kupigana sikumbuk ni lini... mara nyingi Wauni, walevi, vibaka wa mitaani huwa nachapa makofi mawili matatu.. Ngumi situmii kbs ntaua.
Nakumbuka nilirusha ngumi jamaa akaikwepa kwa kubahatisha ikaenda ktk mpapai, ule mpapai uligawanyika katikati jamaa alikimbia mbio ambazo Usain bolt asingefata..
Tafuta hela coz ukiwa nazo hakuna wa kukuonea!Machawa na wapambe watakufanyia hiyo kazi vizuri tu! Kwa dunia ya sasa kama unapenda ugomvi wewe bado ni mshamba na limbukeni!
Ulikuwa unajilinda dhidi ya shambulio la mwili. Ila kama hii ni ngumu unaweza acha uzime wewe yeye atafute cha kuwajibu polisi.Akizima hapo hapo, itakuwaje?
Ulikuwa unajilinda dhidi ya shambulio la mwili. Ila kama hii ni ngumu unaweza acha uzime wewe yeye atafute cha kuwajibu polisi.
hatari sana. Mi nilishuhudia jamaa kapigwa kisu cha shingo km utani vile. Jamaa alechomwa hata haamini amebaki amesimama. Kilichomshtua ni damu ikiruka kwa presha kama bomba. Then ikawa byebye.Mwaka 94 nilishuhudia jamaa akiuawa kwa kosa la kuamulia ugomvi.
Very sad
Ingekuwa wale wahuni wangesema Chai.Last time kupigana sikumbuk ni lini... mara nyingi Wauni, walevi, vibaka wa mitaani huwa nachapa makofi mawili matatu.. Ngumi situmii kbs ntaua.
Nakumbuka nilirusha ngumi jamaa akaikwepa kwa kubahatisha ikaenda ktk mpapai, ule mpapai uligawanyika katikati jamaa alikimbia mbio ambazo Usain bolt asingefata..
Kipi rahisi kwako mkuu, kuwa mikononi mwa polisi au kuwa marehemu na muuaji wako awe mikononi mwa polisi? Kile rahisi ndo option sahihi.Wee bado haujawahi kuwa mikononi mwa polisi, ndiyo maana unaongea hivyo.
Wacha we!Last time kupigana sikumbuk ni lini... mara nyingi Wauni, walevi, vibaka wa mitaani huwa nachapa makofi mawili matatu.. Ngumi situmii kbs ntaua.
Nakumbuka nilirusha ngumi jamaa akaikwepa kwa kubahatisha ikaenda ktk mpapai, ule mpapai uligawanyika katikati jamaa alikimbia mbio ambazo Usain bolt asingefata..
Sure"Nimependa uzi wako"
Ila kwakuwa sasa hivi watu wengi wanaumwa magonjwa MTAMBUKA ni vizuri kujiepusha na ugomvi hata Kama MTU una mmudu .
ChaiLast time kupigana sikumbuk ni lini... mara nyingi Wauni, walevi, vibaka wa mitaani huwa nachapa makofi mawili matatu.. Ngumi situmii kbs ntaua.
Nakumbuka nilirusha ngumi jamaa akaikwepa kwa kubahatisha ikaenda ktk mpapai, ule mpapai uligawanyika katikati jamaa alikimbia mbio ambazo Usain bolt asingefata..