Uchaguzi 2020 Haya ni mambo 10 niliyoona kwa CCM Vs CHADEMA mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi

Uchaguzi 2020 Haya ni mambo 10 niliyoona kwa CCM Vs CHADEMA mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi

..TL anatakiwa ajielekeze ktk kuwaelimisha wapiga kura jinsi gani ataboresha hali zao za kiuchumi.

..kwa mfano, kama ni bodaboda basi aeleweshwe mabadiliko yatakayomgusa na kumuwezesha kutoka kuwa na bodaboda moja kwenda mbili.

..kama ni kijana aliyemaliza masomo, basi anatakiwa aeleweshwe mabadiliko yatakayotokea ambayo yatamuwezesha siyo kupata ajira tu, bali kupata ajira anayoipenda au kuitamani.

..kama ni mzazi ana mtoto shuleni ahakikishiwe kwamba elimu itakayoipata mwanawe itamuwezesha kujitegemea na kuwa msaada kwa wazazi wanaomsomesha as long as anajituma. Na kwamba elimu na maarifa atakayoyapata yatamuwezesha kufanikiwa ktk soko la ajira za kazi ndani na nje ya Tanzania.

..WAKULIMA nao waelimishwe jinsi gani wataweza kukua. Wakulima wadogo waelewezwe mipango itakayowawezesha kuwa wakulima wa kati. Wakulima wa kati waeleweshwe mipango itakayowawezesha kupanda daraja na kuwa wakulima wakubwa.

..Kwa maoni yangu, kufanikiwa au kutokufanikiwa kwa Tundu Lissu kutatokana na aina ya ILANI ya uchaguzi waliyoiandaa CDM na wasaidizi wake wa kampeni wanamuandaa vipi. Pamoja na umahiri wa TL ktk kujenga hoja na kulitawala jukwaa CDM wawe makini kumuongoza ktk kuzungumza yale yanayowagusa wananchi.

Nimependa sana hiyo sentesi ya mwisho. Ila wasi wasi wangu ni jinsi gani Lisu ataongea zaidi hayo mapendekezo yako, na sio hali au mazingira yaliyopelekea shambulio lake. Kama cdm ina watu wa saikolojia ni vyema wakakae naye ili kumuweka kwenye mazingira ya kuongelea wananchi zaidi, kisha haya yakwake yakajazia hesabu.
 
tatizo nyie mnadhan lissu ndo upinzani peke yake, vyama viko vingi aisee usidhan kura za ukawa ni zenu! sasahv mnatakiwa mjibebe kwahio mtegemeee kura kama kipindi cha mbowe anagombea kama sio 20% ya kura zote haiwezi zidi apo:

suala la uchumi linaeleweka kabisa na hakuna mtu duniani hajui tumeingia uchumi wa kati,NB: haiwezekani wote kutoka kimaisha na haitakaa iwezekane na ndo maaana ya capitalism means uchumi unashikwa na watu wachache

kama uko kwenye ajira saaahv mshukuru sana magufuli na umuombee kama unataka kujua unemployment angalia USA after corona! ukishamaliza kufuatilia uje tena apa kutoa takwimu

2015 magufuli alishinda ingawa vyama vya upinzani viliungana , je saaahv mtaweza na kila mtu yuko kivyake NB: vyama vingine vimeungana na ccm, mf MREMA, kwa kifupi nyie ni wa kuonea huruma
Hahahaha kwenye suala la ajira tumshukuru Magufuli???? Amka usingizini ndugu


Nend kakae na mwana CCM mwenzako Jakaya Kikwete akuelezee huo uchumi wa kati. Tuondolee ujinga wako hapa.

Subiri uone October 2020 huyo Magufuli wako anavoenda kupigwa mchana kweupe na Lissu
 
tukiwaambia hamkubaliki mtaani hua mnaona tunaongea sana, mmeona sasa kwa macho?

Mtaa upi labda ili tuende kuchunguza? Maana ungesema APPT MAENDELEO wangalau ningekuelewa lakini sio cdm.
 
Wakuu,

Haya ni mambo 10 niliyoona mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi.

1) What a match!, Mpaka sasa CCM inabebwa na watu wenye experience ambao kipindi kama hiki ndio unajua uwezo wao. Wao kelele nyingi ziko kwenye mipango (strategies) kuliko kelele na matamko ya majukwaani.

2) Tundu Lissu is impressive as usual lakini seems Chadema hawakumuandaa, experience yake ya uanaharakati ndio unaofanya aonekane active uwanjani lakini bado hajawa na madhara kihoja ingawa bado mapema. Mambo ya kusema atamshtaki JPM kwa rushwa ya kununua jogoo laki moja ni uanaharakati si level zake tena kama mgombea Urais.

3) John Pombe Magufuli yuko composed sababu ya records zake awamu hii ya kwanza. Lakini pia kwasasa nguvu kubwa ipo kwenye kupanga vyema mabeki majimboni na udiwani.Hapo ndio unapoona timu kubwa na yenye watu wazoefu inavyohandle mchezo. Ni kama wameamua kuacha wapinzani wacheze huku wao wakikamilisha ramani ya ushindi.

4) Kimbinu Chadema wanahitaji timu bora kumzunguka Lissu wakiwemo waandamizi wa serikali zilizopita akiwemo Nyarandu ili kumshape Lissu kama mgombea Urais lakini pia mipango ya kusaidia kampeni majimboni ambako hali si nzuri

5) Kimbinu CCM wana kazi kubwa ya kumaliza mchakato wa wagombea ubunge na udiwani bila mpasuko lakini maeneo mengi kimbinu wamejipanga kushinda.

6) JPM takwimu zinambeba na wananchi wanajua matokeo yake wakimchagua tofauti na Lissu ambaye anapaswa kujikita kwenye hoja zenye matarajio ya wananchi hasa wanyonge walio wengi. Je ataweza kuaminisha wananchi ili wamchague?

7) Financially CCM wako stable kuhandle kampeni kuliko Chadema ambayo imepanga pia kusimamisha wagombea majimbo yote.

8) JPM amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na makatibu tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri.

9) Angalizo, Lissu usihangaike na wimbo wa katiba mpya hauna mashiko kwa wananchi wanyonge na hautampa kura. JPM pia awekeze hoja kwenye mipango mipya hasa mapinduzi kwenye kilimo na uwekezaji.

10) Wapinzani bila kusimamisha mgombea mmoja huu utakuwa uchaguzi mgumu hadi majimboni kuliko wakati wowote.

Mizania pima mwenyewe, hayo ni maoni yangu binafsi [emoji41]
Ishu sio kujipanga.Kwa miaka hii mitano kila mtz ni mhanga wa kuumizwa na awamu hii ya hovyo kuliko zote tangu ukoloni,watu watapiga kura za hasira kura za kisasi,maana wanajua kama mgombea wa ccm akirudi tena atawaumiza sana again miaka 5 kwa maumivu na mateso makali walilimia meno watalimia kucha sababu ya uzoefu wa mateso waliyopata.Ugumu wa maisha uliotokana na kuwasosmesha watu namba ili wawe masikini ili waweze kutawaliwa umelata chuki kubwa sana watu kuichukia awamu hii.
Hayo makubwa wanayojidaia ayajasaidia kuboresha maisha yao zaidi ya ngojera na propaganda makubwa yamefanyika Dar,Dodoma NA Chato pekee na hayagusi maisha ya watu bali ni kuleta sifa na lengo kuacha legacy tu ya kukumbukwa kawamba jengo hili lilijengwa na fulani lakini hayajaangazia kuinua maisha ya watz.Maendeleo ya vitu pasipo watu uleta umasikin mkubwa sana ktk nchi na umasikini uleta kuchukiwa kwa serikali iliyopo.Ukiachilia DAR,CHATO na DODOMA ni mikoa gani mingine ya nchi wanaweza simama kifua mbele wametendewa haki na awamu hii?
Makundi yote kijamii yameumizwa na hii ni kampeni tosha kwa upinzani mfano wasiojulikana,wafanyafakazi kunyimwa haki zao,wakulima kuzulumiwa mazao yao,wahitimu kukosa ajira sababu ya sera mbovu za kuwakomaoa matajiri eti wawe masikini utadhani wao ndo wagawa riziki.
Tegemeo la ccm in vitu vitatu tu SGR,bwawa ambavyo havina matumaini ya kukamilika lini,na ndege ambavo bado havijagusa maisha ya mtu watu watu shibe kwanza hivo vingine ni ziada hapa ccm hawana hoja.
 
Wakuu,

Haya ni mambo 10 niliyoona mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi.

1) What a match!, Mpaka sasa CCM inabebwa na watu wenye experience ambao kipindi kama hiki ndio unajua uwezo wao. Wao kelele nyingi ziko kwenye mipango (strategies) kuliko kelele na matamko ya majukwaani.

2) Tundu Lissu is impressive as usual lakini seems Chadema hawakumuandaa, experience yake ya uanaharakati ndio unaofanya aonekane active uwanjani lakini bado hajawa na madhara kihoja ingawa bado mapema. Mambo ya kusema atamshtaki JPM kwa rushwa ya kununua jogoo laki moja ni uanaharakati si level zake tena kama mgombea Urais.

3) John Pombe Magufuli yuko composed sababu ya records zake awamu hii ya kwanza. Lakini pia kwasasa nguvu kubwa ipo kwenye kupanga vyema mabeki majimboni na udiwani.Hapo ndio unapoona timu kubwa na yenye watu wazoefu inavyohandle mchezo. Ni kama wameamua kuacha wapinzani wacheze huku wao wakikamilisha ramani ya ushindi.

4) Kimbinu Chadema wanahitaji timu bora kumzunguka Lissu wakiwemo waandamizi wa serikali zilizopita akiwemo Nyarandu ili kumshape Lissu kama mgombea Urais lakini pia mipango ya kusaidia kampeni majimboni ambako hali si nzuri

5) Kimbinu CCM wana kazi kubwa ya kumaliza mchakato wa wagombea ubunge na udiwani bila mpasuko lakini maeneo mengi kimbinu wamejipanga kushinda.

6) JPM takwimu zinambeba na wananchi wanajua matokeo yake wakimchagua tofauti na Lissu ambaye anapaswa kujikita kwenye hoja zenye matarajio ya wananchi hasa wanyonge walio wengi. Je ataweza kuaminisha wananchi ili wamchague?

7) Financially CCM wako stable kuhandle kampeni kuliko Chadema ambayo imepanga pia kusimamisha wagombea majimbo yote.

8) JPM amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na makatibu tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri.

9) Angalizo, Lissu usihangaike na wimbo wa katiba mpya hauna mashiko kwa wananchi wanyonge na hautampa kura. JPM pia awekeze hoja kwenye mipango mipya hasa mapinduzi kwenye kilimo na uwekezaji.

10) Wapinzani bila kusimamisha mgombea mmoja huu utakuwa uchaguzi mgumu hadi majimboni kuliko wakati wowote.

Mizania pima mwenyewe, hayo ni maoni yangu binafsi [emoji41]
Haa tundulisi hajulikani kokote ...yaa tundulisu akibata kura hata 3% na Hama nchi

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Takwimu gani za maana zinambeba Magufuli??

Za kuteka, kutesa wapinzani??

Magufuli for 5yrs consecutively hajapandisha mishahara ya watumishi wala madaraja vitu ambavyo vipo kisheria..je hizo ni takwimu za kumbeba hizo??

Amekamata na kubambikia kesi watu wangapi huyu mtu?? Wangapi wanasota mahabusu na magerezani sababu ya mkono wa chuma wa Magufuli??

Utawala ambao haueshimu Katiba na Haki za Binadamu hata kama umefanya mazuri gani ni bure..yupo wapi Ben Saanane, Azory, Kanguye na wengine?? Si ni Utawala huu ndio umewapoteza..?? Unafikiri watu hawayajui haya??

Hata ukija kwenye infrastructure, Rais gani hakujenga miundombinu kwenye Utawala wake katika Awamu zilizopita??

Eti Magufuli yupo composed...yupo composed kwenye nini?? Huyu mtu anaongea ovyo na kukashifu watu hasa wanawake kila siku halafu unasema yupo composed?? Acha mzaha wewe.. Unakumbuka alivyowakashifu watu Bukoba baada ya lile tetemeko..so he was very composed that day..mtu anaongea ovyo utafikiri sio Mkuu wa Nchi..unasema yupo composed..kila mahali akiongea ni kubaribu..

Analojivunia ni moja, anao uwezo wa kuuvuruga uchaguzi na akatangazwa ameshinda kama alivyofanya kwenye ule wa Serikali za Mitaa sababu NEC sio huru kabisa, lakini kwamba atashinda kwasababu ya takwimu ulizoziweka..hakuna kabisa.
Utawala ambao haueshimu Katiba na Haki za Binadamu hata kama umefanya mazuri gani ni bure

Noted well
 
Kuna think tank zimeondoka CHADEMA ndio maana hawatakuwa na strategy zozote za kueleweka.
Subirini tuone
 
Kuna think tank zimeondoka CHADEMA ndio maana hawatakuwa na strategy zozote za kueleweka.
Subirini tuone
Mtu kama Prof Baregu sifahamu aliko kwasasa au ameachana na siasa.
 
Hahahaha kwenye suala la ajira tumshukuru Magufuli???? Amka usingizini ndugu


Nend kakae na mwana CCM mwenzako Jakaya Kikwete akuelezee huo uchumi wa kati. Tuondolee ujinga wako hapa.

Subiri uone October 2020 huyo Magufuli wako anavoenda kupigwa mchana kweupe na Lissu

😂 😂 😂 😂 😂 😂


alafu baada uchaguzi kuisha urudi apa cdm watakua na 19% ya kura usiseme nna uchawi we rudi apa baada ya uchaguzi
 
Wakuu,

1) What a match!, Mpaka sasa CCM inabebwa na watu wenye experience ambao kipindi kama hiki ndio unajua uwezo wao. Wao kelele nyingi ziko kwenye mipango (strategies) kuliko kelele na matamko ya majukwaani.

2) Tundu Lissu is impressive as usual lakini seems Chadema hawakumuandaa, experience yake ya uanaharakati ndio unaofanya aonekane active uwanjani lakini bado hajawa na madhara kihoja ingawa bado mapema. Mambo ya kusema atamshtaki JPM kwa rushwa ya kununua jogoo laki moja ni uanaharakati si level zake tena kama mgombea Urais.

3) John Pombe Magufuli yuko composed sababu ya records zake awamu hii ya kwanza. Lakini pia kwasasa nguvu kubwa ipo kwenye kupanga vyema mabeki Majimboni na Udiwani. Hapo ndio unapoona timu kubwa na yenye watu wazoefu inavyohandle mchezo. Ni kama wameamua kuacha wapinzani wacheze huku wao wakikamilisha ramani ya ushindi.

4) Kimbinu Chadema wanahitaji timu bora kumzunguka Lissu wakiwemo waandamizi wa serikali zilizopita akiwemo Nyalandu ili kumshape Lissu kama Mgombea Urais lakini pia mipango ya kusaidia kampeni Majimboni ambako hali si nzuri

5) Kimbinu CCM wana kazi kubwa ya kumaliza mchakato wa wagombea Ubunge na Udiwani bila mpasuko lakini maeneo mengi kimbinu wamejipanga kushinda.

6) John Pombe Magufuli takwimu zinambeba na wananchi wanajua matokeo yake wakimchagua tofauti na Lissu ambaye anapaswa kujikita kwenye hoja zenye matarajio ya wananchi hasa wanyonge walio wengi. Je ataweza kuaminisha wananchi ili wamchague?

7) Financially CCM wako stable kuhandle kampeni kuliko CHADEMA ambayo imepanga pia kusimamisha wagombea majimbo yote.

8) John Pombe Magufuli amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na Makatibu Tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri.

9) Angalizo, Lissu usihangaike na wimbo wa katiba mpya hauna mashiko kwa wananchi wanyonge na hautampa kura. John Pombe Magufuli pia awekeze hoja kwenye mipango mipya hasa mapinduzi kwenye kilimo na uwekezaji.

10) Wapinzani bila kusimamisha mgombea mmoja huu utakuwa uchaguzi mgumu hadi majimboni kuliko wakati wowote.

Mizania pima mwenyewe, hayo ni maoni yangu binafsi [emoji41]
The rate-determining step is a free and fair election, short of this all this is rubbish!
 
Wakuu,

1) What a match!, Mpaka sasa CCM inabebwa na watu wenye experience ambao kipindi kama hiki ndio unajua uwezo wao. Wao kelele nyingi ziko kwenye mipango (strategies) kuliko kelele na matamko ya majukwaani.

2) Tundu Lissu is impressive as usual lakini seems Chadema hawakumuandaa, experience yake ya uanaharakati ndio unaofanya aonekane active uwanjani lakini bado hajawa na madhara kihoja ingawa bado mapema. Mambo ya kusema atamshtaki JPM kwa rushwa ya kununua jogoo laki moja ni uanaharakati si level zake tena kama mgombea Urais.

3) John Pombe Magufuli yuko composed sababu ya records zake awamu hii ya kwanza. Lakini pia kwasasa nguvu kubwa ipo kwenye kupanga vyema mabeki Majimboni na Udiwani. Hapo ndio unapoona timu kubwa na yenye watu wazoefu inavyohandle mchezo. Ni kama wameamua kuacha wapinzani wacheze huku wao wakikamilisha ramani ya ushindi.

4) Kimbinu Chadema wanahitaji timu bora kumzunguka Lissu wakiwemo waandamizi wa serikali zilizopita akiwemo Nyalandu ili kumshape Lissu kama Mgombea Urais lakini pia mipango ya kusaidia kampeni Majimboni ambako hali si nzuri

5) Kimbinu CCM wana kazi kubwa ya kumaliza mchakato wa wagombea Ubunge na Udiwani bila mpasuko lakini maeneo mengi kimbinu wamejipanga kushinda.

6) John Pombe Magufuli takwimu zinambeba na wananchi wanajua matokeo yake wakimchagua tofauti na Lissu ambaye anapaswa kujikita kwenye hoja zenye matarajio ya wananchi hasa wanyonge walio wengi. Je ataweza kuaminisha wananchi ili wamchague?

7) Financially CCM wako stable kuhandle kampeni kuliko CHADEMA ambayo imepanga pia kusimamisha wagombea majimbo yote.

8) John Pombe Magufuli amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na Makatibu Tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri.

9) Angalizo, Lissu usihangaike na wimbo wa katiba mpya hauna mashiko kwa wananchi wanyonge na hautampa kura. John Pombe Magufuli pia awekeze hoja kwenye mipango mipya hasa mapinduzi kwenye kilimo na uwekezaji.

10) Wapinzani bila kusimamisha mgombea mmoja huu utakuwa uchaguzi mgumu hadi majimboni kuliko wakati wowote.

Mizania pima mwenyewe, hayo ni maoni yangu binafsi [emoji41]
Ni uchambuzi mzuri as at TODAY ila yote tusubiri hiyo MANIFESTO YA CCM ya Uchaguzi na Mwelekeo wao hadi 2030! Hiyo ndiyo kiboko yao na yote unayo tamani kuyaona au/na kuyasikia yamo humo. We subiri uone WANAHARAKATI watakavyo hangaika. Halafu hoja ya upinzani kusimamisha mgombea mmoja wa kwenye nafasi ya Urais, mie nasema FORGET THAT! Hawana ubavu huo hawa WALAFI wa madaraka na RUZUKU. Kwa wengi hivi vyama vya siasa ni NGO ZAO. Hawawezi KU-COMMIT SUICIDE hawa.
 
Bongo kila mtu mjuaji kuna wajuaji wa siasa wajuaji wa Corona wajuaji wa misiba wajuaji wa mpira wajuaji wa mambo ya wasanii kwa lugha ya kishule wanaita wachambuzi uchwara
 
Back
Top Bottom