Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
- #21
Uzi umechangamka
UHAMIAIJI njooni 🤣🤣🤣
UHAMIAIJI njooni 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wachambuzi na wacha MBUZIMechi imeanza Mchambuzi wa TBC anakuambia "Nampongeza mama kwa kufanikisha Taifa stars wanapata support yote"😂
Kama Hakimi ni mumeo kagua kadi ya gari Ina jina lake au mama mkweHawa marefa mbona ni kiza kinene hivi? Daah!!
Anyway
Kwa leo naitwa Debora Hakimi.
Hainihusu 😄Kama Hakimi ni mumeo kagua kadi ya gari Ina jina lake au mama mkwe
We kaka acha kujifanya mzalendo uchwara, kila mtu ana uhuru wa kushabikia timu anayoona inamfaa, wewe ni nani mpaka uanze kuelekeza watu cha kushangilia, mbona wewe hakuna aliyekuchagulia kushangilia makolo.Umeniwahi...watu ni washamba sana..sasa kama unachukia watu wa Taifa lako hamieni Moroco kabisa....
Yani nawaza kocha anajisikiaje kufundisha timu ya nchi ambayo watu wake wamejaa ngenga namna hii...akiangalia comments through google transilator anaweza kulia..hawezi pata moyo...
Watu wanawakatisha vijana moyo...kama serikali mnaichukia ichukieni yenyewe acheni vijana wapambane...
HT MOROCO 1-0/0-0
Mkuu umepata kachukue hela yako kwa muhindi HT 1 0HT MOROCO 1-0/0-0
Mkuu ntaitwaa msaliti ngoja tumalize mpiraaaMkuu umepata kachukue hela yako kwa muhindi HT 1 0
Labda ashide makao yakiwa wazi.Stars anashinda leo
Kwa sauti ya Jenerali "Wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa "Mechi imeanza Mchambuzi wa TBC anakuambia "Nampongeza mama kwa kufanikisha Taifa stars wanapata support yote"😂
Bado 1Kwa sauti ya Jenerali "Wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa "
Habari za Hapo casablancaTupo hapa naitwa Mpaji bin Mungu Al Mahmoud ashraf, nimezaliwa Casablanca
Hawataongeza jingine mkuu?Utabiri wangu umetimia 3 kwa 0 mpaka sasa