Haya nyie mnaoiombea Tanzania ifungwe na Morocco uzi wenu huu

Haya nyie mnaoiombea Tanzania ifungwe na Morocco uzi wenu huu

Kuna vijana wa hovyo, pia kuna wananchi wa hovyo.

Sasa sijui hawa wananchi wa hovyo wamechukizwa na nini, lakini najua tu kuna vitu vimetendwa aidha na serikali yao au na baadhi ya viongozi wao ndivyo vimewajengea chuki dhidi ya taifa lao tukufu.

Haya haters toeni utabiri wenu hapa 😭😭😭😭
Vitatu vya mkwezi
 
Si nimekuazima akili lakini!!!! Haya,nikatie changu sasa. Mimi ndo nilikwambia toka jana kwamba itakuwa hivi hivi. Ona sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haaa haaa haaa kweli mkuu nimetumia akili yako kutabiri, taja namba nikufanyie muamala chap
 
Unaweza kutamani Tanzania ifungwe lakini si jambo rahisi kama baadhi ya watu wanavyo fikiri, huu ni mpira wa miguu hauitaji maneno mengi.
Kwa taarifa yako hawa kichwa cha mwendawazimu, watashika mkia kwa mara nyingine tena kwenye hilo kundi lao.

Tanzania imepeleka kundi la watalii tu kwenye hayo mashindano. Hakuna timu pale.
 
Siasa zimeingizwa, uongo uongo kibao, matumizi ya upigaji tu, kamati ya hamasa watanzania hawajaikubali, uswahili mwingi ,kocha haamini kama tutashinda hata mechi moja ...ndio maana WATANZANIA wengi wanaona bora ifungwe tu ..wengi hawafeel raha kushabikia timu ya Taifa na kujivunia ..wanaweza wakasema wanaiombea mema lakini ndani ya nafsi zao wanasema ifungwe tu.
 
Kuna vijana wa hovyo, pia kuna wananchi wa hovyo.

Sasa sijui hawa wananchi wa hovyo wamechukizwa na nini, lakini najua tu kuna vitu vimetendwa aidha na serikali yao au na baadhi ya viongozi wao ndivyo vimewajengea chuki dhidi ya taifa lao tukufu.

Haya haters toeni utabiri wenu hapa 😭😭😭😭
Laan mmeitaka wenyewe.....Mnachangia Team mabilioni wakati Hanang wanalia na njaa na mafuriko?
 
Back
Top Bottom