Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
bahati mbaya ni kwamba, ukweli hatuna timu. tuna safari ndefu ya kwenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi ni 3-0. Bado dakika 3 za nyongeza.Bado 1
Bahati mbaya miujiza siyo mingi siku hizi. Bila juhudi utavuna mabua.Hakuna anaeiombea ,in fact tunatamani miujiza itokee , kujiheshimu na kumheshimu mpinzani ni kujua limit ya uwezo wako .. Taifa Stars Oyee
Kwishatumejitahidi sana kufungwa matatu. huu ndio ukweli.
Ubarikiwe Mtani wa TaifaUtabiri wangu umetimia 3 kwa 0 mpaka sasa
Vitatu vya mkweziKuna vijana wa hovyo, pia kuna wananchi wa hovyo.
Sasa sijui hawa wananchi wa hovyo wamechukizwa na nini, lakini najua tu kuna vitu vimetendwa aidha na serikali yao au na baadhi ya viongozi wao ndivyo vimewajengea chuki dhidi ya taifa lao tukufu.
Haya haters toeni utabiri wenu hapa 😭😭😭😭
Si nimekuazima akili lakini!!!! Haya,nikatie changu sasa. Mimi ndo nilikwambia toka jana kwamba itakuwa hivi hivi. Ona sasa🤣🤣🤣🤣🤣Utabiri wangu umetimia 3 kwa 0 mpaka sasa
Haaa haaa haaa kweli mkuu nimetumia akili yako kutabiri, taja namba nikufanyie muamala chapSi nimekuazima akili lakini!!!! Haya,nikatie changu sasa. Mimi ndo nilikwambia toka jana kwamba itakuwa hivi hivi. Ona sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa taarifa yako hawa kichwa cha mwendawazimu, watashika mkia kwa mara nyingine tena kwenye hilo kundi lao.Unaweza kutamani Tanzania ifungwe lakini si jambo rahisi kama baadhi ya watu wanavyo fikiri, huu ni mpira wa miguu hauitaji maneno mengi.
Asante mkuuUbarikiwe Mtani wa Taifa
Mkuu heshima kwakoMkuu ntaitwaa msaliti ngoja tumalize mpiraaa
FT 2_1/2_0/3_0
Atakayepinga ni mjinga tu.tumejitahidi sana kufungwa matatu. huu ndio ukweli.
PamojamkuuuMkuu heshima kwako
Namba ninayo basi. Mi natumia tu king'amuzi hapa. We kunywa ntalewa tuHaaa haaa haaa kweli mkuu nimetumia akili yako kutabiri, taja namba nikufanyie muamala chap
Laan mmeitaka wenyewe.....Mnachangia Team mabilioni wakati Hanang wanalia na njaa na mafuriko?Kuna vijana wa hovyo, pia kuna wananchi wa hovyo.
Sasa sijui hawa wananchi wa hovyo wamechukizwa na nini, lakini najua tu kuna vitu vimetendwa aidha na serikali yao au na baadhi ya viongozi wao ndivyo vimewajengea chuki dhidi ya taifa lao tukufu.
Haya haters toeni utabiri wenu hapa 😭😭😭😭
Mechi imeanza Mchambuzi wa TBC anakuambia "Nampongeza mama kwa kufanikisha Taifa stars wanapata support yote