ikiumasema
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 923
- 1,299
Chuma tatu safiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2957] Asante studioMorocco piga stars bao 3.
Mungu ni mwema sheikh!Habari za Hapo casablanca
Ajsee kumbe kocha alisema hayo mambo....ah huyu hana kituKama kocha amesema hana kikosi cha ushindani, mimi ni nani nikione kikosi cha ushindani?
Utaliwa mbususu na kufilksiwa mala zako 🤣🤣🤣🤣Hawa marefa mbona ni kiza kinene hivi? Daah!!
Anyway
Kwa leo naitwa Debora Hakimi.
Ha ha[emoji2957] Asante studio
Utabiri wako umetimiaMorocco piga stars bao 3.
Kwangu mimi majina mengi ya hao walioko katika timu hii siyafahamu kabisa. Naambiwa hao ni wachezaji ambao wako katika vilabu kadhaa nje ya nchi. Uteuzi wa wachezaji kwa sasa hutegemea anachezea timu gani huko nje kwa madai kwamba wana uzoefu katika michezo ya timu kubwa na pia Ile ya kimataifa. Naungana na wewe kwamba hili kundi la watalii tulilonalo halitatupeleka kokote.Kwa taarifa yako hawa kichwa cha mwendawazimu, watashika mkia kwa mara nyingine tena kwenye hilo kundi lao.
Tanzania imepeleka kundi la watalii tu kwenye hayo mashindano. Hakuna timu pale.