Haya Sasa..!! Hili Nalo Ni Balaa Lingine La Wanawake..!!

Kutembea nako juani uso unaungua na jua banah.
We km huna gari bora ukaazime ndo unifate
 
Siku izi hata uwe na vits we weka ile kitu inaitwa crazy ..... ikipita inapiga kelele km mashine mbovu na sticker nyingiii za rallyArt,hot nk
Utaskia awwww baby ur car is soo mwaa yaani nikiskia muungurumo bas nalowa.

Hahaha mtatuua yaani wanajua aina za magari kama fundi garage
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23]
 
Hatar wadada Mungu anatuona
 
Thread kama ndizo zinawafanya hawa mabinti Wa siku hizi wawe "viazi"
 
"Dinner,unazuka
na Bajaj imeandikwa,
''Hata Maskini anastahili
kupendwa''..

We jamaa bwana. 🙂
 
Kama kwao yapo ntakuha nalo ikiwezekana siendi kabisa am a little busy

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
 
kiboko ya mademu lete fyoko fyoko ukutane na stunter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…