Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Mmekosa cha kufanya njòn amana hospital mjitoleee kufagiaaaHaya Sasa tujuane wewe kama mwanaume upo namba ngapi au Huwa una react vip I babe wako akikuomba pesa ya Kodi. Na we mwanamke mwanaume wako ulonaye yupo namba ngapi?
"Babe sijalipa Kodi"
1. REAL MEN: "Nitumie namba nilipe ya miezi mitatu
2. A COW: "Utalipa tu usijali"
3. A DOG: "kwani unalipaga kodi?"
4. A RAT: "Sasa utafanyaje"
5. A LIZARD: "wazazi umewaambia? Wamesemaje?"