Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatudanganyi mrembo ni kweli tuna michongo kibao ya kuskilizia sema huwa haitiki tuNdo jibu lenu
Ahahahahahah we mwamba nina mashaka tulipita course moja na tukasoma module zile zile!!!!! Maana unapita mule mule ambapo na mimi hua napita😂😂😂😂Ni jukumu la baba, kaka zake, wajomba na wengine wa familia na ukoo wake kumhudumia binti yao ambaye hajaolewa kutia ndani kumlipia kodi
Mwanamke pekee ambaye Mungu amekupa mwanaume jukumu la kumtunza ni mke wako wa ndoa tu
Nakazia hapa ni mke wa ndoa tu, hata kama mwanamke umezaa naye ila hamjafunga ndoa naye pia sio jukumu lako
Mwanaume kamili ambaye sio simp huwa hajipi umuhimu kwenye majukumu yasiyomhusu.
Na huwa yuko direct kumwambia mpenzi wake kuwa sio jukumu lake hapindishi akisema NO kamaanisha
🤣🤣🥴🙌Hatudanganyi mrembo ni kweli tuna michongo kibao ya kuskilizia sema huwa haitiki tu
Kumpelekea moto kuna husiana vioi na kumtunza?Kama sio jukumu lako kumtunza mbona ulimtongoza na kumpelekea moto??
Kwangu haitakuja itokee hata siku 1. Na usipoangalia hata hela ya kuja na kurud lodge utajilipia mwenyewe.Sijawahi kumlipia demu kodi, sijui kama itakuja kutokea. Nalog out.
Laiti kama wanaume wote wangefanya namna hii vijana wasingekuwa na maisha magumu. Umetisha sana mkuuNi jukumu la baba, kaka zake, wajomba na wengine wa familia na ukoo wake kumhudumia binti yao ambaye hajaolewa kutia ndani kumlipia kodi
Mwanamke pekee ambaye Mungu amekupa mwanaume jukumu la kumtunza ni mke wako wa ndoa tu
Nakazia hapa ni mke wa ndoa tu, hata kama mwanamke umezaa naye ila hamjafunga ndoa naye pia sio jukumu lako
Mwanaume kamili ambaye sio simp huwa hajipi umuhimu kwenye majukumu yasiyomhusu.
Na huwa yuko direct kumwambia mpenzi wake kuwa sio jukumu lake hapindishi akisema NO kamaanisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kondoo "Tufumbe macho tuombe"
AiseeHaya Sasa tujuane wewe kama mwanaume upo namba ngapi au Huwa una react vip I babe wako akikuomba pesa ya Kodi. Na we mwanamke mwanaume wako ulonaye yupo namba ngapi?
"Babe sijalipa Kodi"
1. REAL MEN: "Nitumie namba nilipe ya miezi mitatu
2. A COW: "Utalipa tu usijali"
3. A DOG: "kwani unalipaga kodi?"
4. A RAT: "Sasa utafanyaje"
5. A LIZARD: "wazazi umewaambia? Wamesemaje?"