Haya sasa tujuane wewe kama mwanaume upo kundi gani hapa?

Haya sasa tujuane wewe kama mwanaume upo kundi gani hapa?

Ni jukumu la baba, kaka zake, wajomba na wengine wa familia na ukoo wake kumhudumia binti yao ambaye hajaolewa kutia ndani kumlipia kodi

Mwanamke pekee ambaye Mungu amekupa mwanaume jukumu la kumtunza ni mke wako wa ndoa tu

Nakazia hapa ni mke wa ndoa tu, hata kama mwanamke umezaa naye ila hamjafunga ndoa naye pia sio jukumu lako

Mwanaume kamili ambaye sio simp huwa hajipi umuhimu kwenye majukumu yasiyomhusu.

Na huwa yuko direct kumwambia mpenzi wake kuwa sio jukumu lake hapindishi akisema NO kamaanisha
Ahahahahahah we mwamba nina mashaka tulipita course moja na tukasoma module zile zile!!!!! Maana unapita mule mule ambapo na mimi hua napita😂😂😂😂
 
Sijawahi kumlipia demu kodi, sijui kama itakuja kutokea. Nalog out.
Kwangu haitakuja itokee hata siku 1. Na usipoangalia hata hela ya kuja na kurud lodge utajilipia mwenyewe.

Nilishawahi kuchapa manzi moja hiv, alipofika tu hotel akapilizia room sio restaurant, sasa kati kat ya kichapo njaa ikamshika 😂😂
 
Na huyu Dada ni lizard au maana real woman angesema baby Kodi imeisha, mimi Nina 80% niongezee laki 3 basi nilipe......
 
Kwa upande wangu kwakua sikai kwa mwanamke ila ni mpenzi au mchepuko wangu bas huwa nachangia kodi ila sitoi kodi yote
Kodi ni 1 million mi nachangia laki 5
 
Ni jukumu la baba, kaka zake, wajomba na wengine wa familia na ukoo wake kumhudumia binti yao ambaye hajaolewa kutia ndani kumlipia kodi

Mwanamke pekee ambaye Mungu amekupa mwanaume jukumu la kumtunza ni mke wako wa ndoa tu

Nakazia hapa ni mke wa ndoa tu, hata kama mwanamke umezaa naye ila hamjafunga ndoa naye pia sio jukumu lako

Mwanaume kamili ambaye sio simp huwa hajipi umuhimu kwenye majukumu yasiyomhusu.

Na huwa yuko direct kumwambia mpenzi wake kuwa sio jukumu lake hapindishi akisema NO kamaanisha
Laiti kama wanaume wote wangefanya namna hii vijana wasingekuwa na maisha magumu. Umetisha sana mkuu
 
Haya Sasa tujuane wewe kama mwanaume upo namba ngapi au Huwa una react vip I babe wako akikuomba pesa ya Kodi. Na we mwanamke mwanaume wako ulonaye yupo namba ngapi?
"Babe sijalipa Kodi"
1. REAL MEN: "Nitumie namba nilipe ya miezi mitatu
2. A COW: "Utalipa tu usijali"
3. A DOG: "kwani unalipaga kodi?"
4. A RAT: "Sasa utafanyaje"
5. A LIZARD: "wazazi umewaambia? Wamesemaje?"
Aisee
 
Back
Top Bottom