Mmekosa cha kufanya njòn amana hospital mjitoleee kufagiaaaHaya Sasa tujuane wewe kama mwanaume upo namba ngapi au Huwa una react vip I babe wako akikuomba pesa ya Kodi. Na we mwanamke mwanaume wako ulonaye yupo namba ngapi?
"Babe sijalipa Kodi"
1. REAL MEN: "Nitumie namba nilipe ya miezi mitatu
2. A COW: "Utalipa tu usijali"
3. A DOG: "kwani unalipaga kodi?"
4. A RAT: "Sasa utafanyaje"
5. A LIZARD: "wazazi umewaambia? Wamesemaje?"
Ni moja ya huduma kwenye mahusianoSio jukumu Hilo. Zingatia maana ya jukumu/majukumu
😂😂Tuangalie na makundi ya wanawake kwanza
REAL WOMEN: Baby nilikuwa na akiba nimeshalipa kodi miezi 6.
SACCOS: Sijalipa kodi sijui nafanyaje
KIKOBA: Kesho nalipa kodi, naomba hela
KAUSHA DAMU: We mwanaume hiyo pesa unatuma hutumi?
Nilikua namba 5.Haya Sasa tujuane wewe kama mwanaume upo namba ngapi au Huwa una react vip I babe wako akikuomba pesa ya Kodi. Na we mwanamke mwanaume wako ulonaye yupo namba ngapi?
"Babe sijalipa Kodi"
1. REAL MEN: "Nitumie namba nilipe ya miezi mitatu
2. A COW: "Utalipa tu usijali"
3. A DOG: "kwani unalipaga kodi?"
4. A RAT: "Sasa utafanyaje"
5. A LIZARD: "wazazi umewaambia? Wamesemaje?"
Nimeoa siko katika namba zozote hapo.Sasa hivi uko namba ngapi?
Sina pesa kwenye simu, na maduka yote ya mpesa wanasema mtandao unasumbua sana.Naijua hii😁
Mimi wanawake ninaokuwaa kwenye mahusiano nao sitaki wanipangie matumizi ya pesa zanguOh mahi
Kama sio jukumu lako kumtunza mbona ulimtongoza na kumpelekea moto??
Ndo jibu lenuFisi: Kuna mchongo nausikilizia.
Hustler: Unasubirije Kodi iishe nawwHaya Sasa tujuane wewe kama mwanaume upo namba ngapi au Huwa una react vip I babe wako akikuomba pesa ya Kodi. Na we mwanamke mwanaume wako ulonaye yupo namba ngapi?
"Babe sijalipa Kodi"
1. REAL MEN: "Nitumie namba nilipe ya miezi mitatu
2. A COW: "Utalipa tu usijali"
3. A DOG: "kwani unalipaga kodi?"
4. A RAT: "Sasa utafanyaje"
5. A LIZARD: "wazazi umewaambia? Wamesemaje?"