ushamba unawasumbua sana aise wachafu aise wanakula hao balaa mimi hapa wapo kama 3 hiv wenyewe wanatembeaga pamoja hahaha dahBalaa sana hilo mkuu,mi mwenyewe nilishindwa kushangaa kuna kabinti fulani kalikuja job kwangu akijitolea, ana bonge la Iphone,nikabaki kutoa mimacho tu,akilitoa hilo tambo lake kama katoa nini vile anavyojisikia,sasa nilivyoona utafiti huu wa hawa jamaa ndio nikamkumbuka huyo binti.
hahahaha aah me nshawachoka bhanaHahaaaaaaa,mkuu ujue wanakusikiaaaa
yan huo utafiti umelenga mule mule aise wala haujakosea kudadekiHahahaaaaaaa,ila utafiti unauonaje mkuu?
tulia ww umeelewekanataman iphone zile zingetiwa android pie kudadadekiii sijui kama kuna mtu amenielewa apo
Nenda kwanzaNgoja niingie kwenye hiyo akaunti nidadavue vizuri,kabla sijaingia wewe unaonaje kwani mkuu?
Kuna kadada mtaani hakana Kaz ya kueleweka kana miliki iPhone juzi kaliniomba vocha nikamwambie mshenz mkubwa Kama uliweza kumiliki ya 800k kwann ushindwe kununua vocha ya buku alikaa kimyA hana hamu na mm kabisaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tafiti: Watu wanaopendelea simu za iPhone ni wanawake wasio na wapenzi kati ya umri wa miaka 18-34 ambao mapato yao ni chini na huwa na elimu ya kiwango cha chini ikilinganishwa na watumiaji wa aina nyingine za simu.
Chanzo: teknokona #Fahamuzaidi
Wakuu, nimeitoa huko utwitani, je kuna ukweli hapo wandugu?
Mwana kulitafuta, mwana kulipata. π€£ π€£ π€£ π€£ π€£Hatari sana mkuu,huku PM nakomaje
Kuna kadada mtaani hakana Kaz ya kueleweka kana miliki iPhone juzi kaliniomba vocha nikamwambie mshenz mkubwa Kama uliweza kumiliki ya 800k kwann ushindwe kununua vocha ya buku alikaa kimyA hana hamu na mm kabisaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ acha upate tiba.Inanibidi nitulie tu