steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
- Thread starter
- #41
Siokweli, Mke wangu na Ndugu yangu wakike wote ni waajiriwa tena sehemu nzuri za kazi, Wote wawili wana digree 2 sasa lakini wanatumia Apple... Na wana kipato chakutosha tu.
Waangalie wanawake wasio ktk mfumo rasmi wa ajira wenye simu hizo halafu njoo tena utoe maelezo yako hapa mkuu