Haya Sio Mapenzi Ya Kiafrika

Haya Sio Mapenzi Ya Kiafrika

BABA JUICE

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2010
Posts
426
Reaction score
54
Unakutana na msichana club,library,church, siku hizi shopping malls Unamtongoza mnakuwa katika relation na mnafanya mapenzi ndio vijana wasiku hizi walivyo lazima wapime, miaka ya nyuma wanaume ndio tulikuwa na sauti unatongoza unachapa mzigo kama vijana wasasa wanavyosema alafu unaacha unatafuta mwingine. Sasa hivi mambo yamebadilika unamtongoza msichana mwisho wa siku unaachwa ww, why hajarizika na ww upo kishamba hauendani nae, ukweli ni kwamba sio upo kishamba au hauendani nae, ni kwamba hauna pesa za kumpela shopping au haumrizishi coz umeathirika na nyeto, wanawake wa sasa wanataka kati ya vitu hivi viwili shopping au good sex{i mean real gud sex sio aaaah then kwisha hapana} money and love are inseparable fahamu hilo ukishindwa kumpa kimoja mpe kingine ndio mtakwenda......sio kwamba wanadada wasasa wanatamaa hapana things have changed....na ww badilika nao.HAKUNA MAPENZI YA KIAFRIKA LOVE IS UNIVERSAL....:glasses-nerdy:
 
Unakutana na msichana club,library,church, siku hizi shopping malls Unamtongoza mnakuwa katika relation na mnafanya mapenzi ndio vijana wasiku hizi walivyo lazima wapime, miaka ya nyuma wanaume ndio tulikuwa na sauti unatongoza unachapa mzigo kama vijana wasasa wanavyosema alafu unaacha unatafuta mwingine. Sasa hivi mambo yamebadilika unamtongoza msichana mwisho wa siku unaachwa ww, why hajarizika na ww upo kishamba hauendani nae, ukweli ni kwamba sio upo kishamba au hauendani nae, ni kwamba hauna pesa za kumpela shopping au haumrizishi coz umeathirika na nyeto, wanawake wa sasa wanataka kati ya vitu hivi viwili shopping au good sex{i mean real gud sex sio aaaah then kwisha hapana} money and love are inseparable fahamu hilo ukishindwa kumpa kimoja mpe kingine ndio mtakwenda......sio kwamba wanadada wasasa wanatamaa hapana things have changed....na ww badilika nao.HAKUNA MAPENZI YA KIAFRIKA LOVE IS UNIVERSAL....:glasses-nerdy:
Dah! we kijana we, hata katika nyumba ya BWANA (CHURCH) unaendeleza huo upuuzi? Aisee.
 
Unakutana na msichana club,library,church, siku hizi shopping malls Unamtongoza mnakuwa katika relation na mnafanya mapenzi ndio vijana wasiku hizi walivyo lazima wapime, miaka ya nyuma wanaume ndio tulikuwa na sauti unatongoza unachapa mzigo kama vijana wasasa wanavyosema alafu unaacha unatafuta mwingine. Sasa hivi mambo yamebadilika unamtongoza msichana mwisho wa siku unaachwa ww, why hajarizika na ww upo kishamba hauendani nae, ukweli ni kwamba sio upo kishamba au hauendani nae, ni kwamba hauna pesa za kumpela shopping au haumrizishi coz umeathirika na nyeto, wanawake wa sasa wanataka kati ya vitu hivi viwili shopping au good sex{i mean real gud sex sio aaaah then kwisha hapana} money and love are inseparable fahamu hilo ukishindwa kumpa kimoja mpe kingine ndio mtakwenda......sio kwamba wanadada wasasa wanatamaa hapana things have changed....na ww badilika nao.HAKUNA MAPENZI YA KIAFRIKA LOVE IS UNIVERSAL....:glasses-nerdy:

ujumbe wako hasa ni nini???
 
Unakutana na msichana club,library,church, siku hizi shopping malls Unamtongoza mnakuwa katika relation na mnafanya mapenzi ndio vijana wasiku hizi walivyo lazima wapime, miaka ya nyuma wanaume ndio tulikuwa na sauti unatongoza unachapa mzigo kama vijana wasasa wanavyosema alafu unaacha unatafuta mwingine. Sasa hivi mambo yamebadilika unamtongoza msichana mwisho wa siku unaachwa ww, why hajarizika na ww upo kishamba hauendani nae, ukweli ni kwamba sio upo kishamba au hauendani nae, ni kwamba hauna pesa za kumpela shopping au haumrizishi coz umeathirika na nyeto, wanawake wa sasa wanataka kati ya vitu hivi viwili shopping au good sex{i mean real gud sex sio aaaah then kwisha hapana} money and love are inseparable fahamu hilo ukishindwa kumpa kimoja mpe kingine ndio mtakwenda......sio kwamba wanadada wasasa wanatamaa hapana things have changed....na ww badilika nao.HAKUNA MAPENZI YA KIAFRIKA LOVE IS UNIVERSAL....:glasses-nerdy:
ulikuwa hujui mpendwa
 
Unakutana na msichana club,library,church, siku hizi shopping malls Unamtongoza mnakuwa katika relation na mnafanya mapenzi ndio vijana wasiku hizi walivyo lazima wapime, miaka ya nyuma wanaume ndio tulikuwa na sauti unatongoza unachapa mzigo kama vijana wasasa wanavyosema alafu unaacha unatafuta mwingine. Sasa hivi mambo yamebadilika unamtongoza msichana mwisho wa siku unaachwa ww, why hajarizika na ww upo kishamba hauendani nae, ukweli ni kwamba sio upo kishamba au hauendani nae, ni kwamba hauna pesa za kumpela shopping au haumrizishi coz umeathirika na nyeto, wanawake wa sasa wanataka kati ya vitu hivi viwili shopping au good sex{i mean real gud sex sio aaaah then kwisha hapana} money and love are inseparable fahamu hilo ukishindwa kumpa kimoja mpe kingine ndio mtakwenda......sio kwamba wanadada wasasa wanatamaa hapana things have changed....na ww badilika nao.HAKUNA MAPENZI YA KIAFRIKA LOVE IS UNIVERSAL....:glasses-nerdy:

sijaelewa vyote lkn nineona umetetea kinamama jambo ambalo si rahisi kwani siku zote sie ndo twatupiwa lawama.
 
Wewe ni mdada unalalamika au ni mkaka unatoa shule....??:A S confused:...
 
nimemwelewa. Vijana wengi wanashindwa kukamata madem shauri ya ukata .umaskini , Wanaishia masterbation. Na yeye ni shuhuda wa mambo haya.
 
shopping au good sex{i mean real gud sex sio aaaah then kwisha hapana} money and love are inseparable fahamu hilo ukishindwa kumpa kimoja mpe kingine ndio mtakwenda......sio kwamba wanadada wasasa wanatamaa hapana things have

Mie nadhani wanataka vyote bila upungufu. ukimpa kimojawapo ataendela kuwa na wewe ila lazima ata-supplement hiyo tofauti pande ingine! Not ready at all to compromise
 
Tuna macho makubwa kuliko akili zetu
Mukubwa naona unatoa ujumbe kwa 'picha', I mean 'picha yako'.

Nways, mapenzi ni yuniveso mwenyewe nakubali, msichana wa NY siti, Dhaka, Jeddah, au Tandale wote tu wana fikra zilezile , kinachofautiana ni complexity tu. Kwamba nyakati zimebadilika, nakubali. Nakubali kwamba mwenyewe ni shuhuda..hauwezi kupata partner ambayo hafaidiki lolote kwa kuwa na wewe..mambo ya filsofia za 'Dr. Mkwere' ..kule uliwe..hiyo ni fact whether we like it or not.

Ulimwengu haupo fea, au to be exact, binadamu hayuko fea, so are his/her love preferences..cha kuzingatia ni kuelewa tu undani wa inshu na kutopoteza muda ku-over-analyse haya mambo. Dunia ina vitu vingi vizuri sio lazima saaaaaaaana.
 
Love has no relationship at all with money..............You are confusing cash induced spousal co-operation to your instant sexual gratification with love...............If you have money you can buy sex; but assuredly I guarantee you, that is not a path to secure enduring love......................When you mingle money with love the end product is showers of hypocrisy.............................
 
mbona kama iko one way traffic, or simply iko ki sexist zaidi, mtakaa hata miaka million lakini siri ya mapenzi hamtoijua, hakuna change hela wala ngono, bt naweza suggest mapenzi ni uwepo wako pale unapohitajika.
 
Hizi post zinaishushia hadhi jf inaonekana ni sehemu ya wahuni na watu wasiojua. Ingekuwa vizuri tujadili mustakbali wa nchi yetu haya mambo ya mapenzi tuwaachie kina ngoswe.
 
Back
Top Bottom