BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 54
Unakutana na msichana club,library,church, siku hizi shopping malls Unamtongoza mnakuwa katika relation na mnafanya mapenzi ndio vijana wasiku hizi walivyo lazima wapime, miaka ya nyuma wanaume ndio tulikuwa na sauti unatongoza unachapa mzigo kama vijana wasasa wanavyosema alafu unaacha unatafuta mwingine. Sasa hivi mambo yamebadilika unamtongoza msichana mwisho wa siku unaachwa ww, why hajarizika na ww upo kishamba hauendani nae, ukweli ni kwamba sio upo kishamba au hauendani nae, ni kwamba hauna pesa za kumpela shopping au haumrizishi coz umeathirika na nyeto, wanawake wa sasa wanataka kati ya vitu hivi viwili shopping au good sex{i mean real gud sex sio aaaah then kwisha hapana} money and love are inseparable fahamu hilo ukishindwa kumpa kimoja mpe kingine ndio mtakwenda......sio kwamba wanadada wasasa wanatamaa hapana things have changed....na ww badilika nao.HAKUNA MAPENZI YA KIAFRIKA LOVE IS UNIVERSAL....:glasses-nerdy: