Uchaguzi 2020 Haya TAKUKURU nendeni Iringa mkazione bajaji walizopewa vijana wa Iringa ili wamng'oe Msigwa!

Uchaguzi 2020 Haya TAKUKURU nendeni Iringa mkazione bajaji walizopewa vijana wa Iringa ili wamng'oe Msigwa!

Sisi huku kwetu tuna tafsiri tofauti ya rushwa, otherwise utapoteza muda kama Nassari.
 
Bado wa Tz wanakumbatia chama cha kizamani huku waafrika wenzao wakienda na mabadiliko kwa kuachana na vyama vilivyo dai uhuru.
 
Ni kweli,zingine zipo pale Manispaa kwaajili ya kupewa vijana.Lakini tambua Takukuru haipo kwaajili ya kazi hiyo,kazi yao ni kukusanya Pesa kama TRA
Kama ni hivyo huko Chadema wanakusanyaje pesa, Gambo ameondoka na michango ya wanafunzi waliopata ajari Arusha, hosipitali sliyodai itajengwa hatuioni.
Ninaamini Iringa bado ofisi ya Takukuru ipo haijafungwa.
 
Hii ni wazi CCM kupitia Polepole wamegawa Bajaji kwa vijana wa mjini Iringa, Takukuru ni jukumu lenu kuangalia kama kuna uhusiano wa bajaji, Msigwa na uchaguzi.
Bajaji hizi si za kuzitafuta kwani zinarangi ya kijani na njano.
Na chadema wagawe bajaji na waziwekee rangi nyeupe bluu na nyekundu
 
Bado wa Tz wanakumbatia chama cha kizamani huku waafrika wenzao wakienda na mabadiliko kwa kuachana na vyama vilivyo dai uhuru.
Comment ya kijinga sana hii. Ila najua utabisha sababu hujui ujinga uliouandika...
 
Hii ni wazi CCM kupitia Polepole wamegawa Bajaji kwa vijana wa mjini Iringa, Takukuru ni jukumu lenu kuangalia kama kuna uhusiano wa bajaji, Msigwa na uchaguzi.
Bajaji hizi si za kuzitafuta kwani zinarangi ya kijani na njano.
Nani kakwambia TAKUKURU/TAKAKURU inahusika na Rushwa? Hii ipo kwa ajili ya CDM.
 
TAKUKURU SI wako kuhoji matumizi ya pesa huko CHADEMA sidhani kama watayaona ya Iringa.
 
Nani kakwambia TAKUKURU/TAKAKURU inahusika na Rushwa? Hii ipo kwa ajili ya CDM.
Hi ndio mfano sahihi wa namna tusipotumia majeshi yetu vizuri tunaweza kuyafanya yadharaulike Sasa imagine mkuu wa takukuru ni jenerali wa jwtz lakini ndio wakati ambao chombo hiki kimedharauliwa sana na wananchi.
 
Acha vijana wafaidi wapate mitaji, serikali haiwezi kumsaidia mtu mmoja mmoja, nawapa pongezi kwa wanao gawa saivi.

Ila ukimpa kura ww ndo wakuletea takukuru maana umetumia vibaya akili zako
 
Sidhani kama hiyo taasisi inaweza kushughulika na vigogo wa ccm
 
Comment ya kijinga sana hii. Ila najua utabisha sababu hujui ujinga uliouandika...
Anaweza kuwa sahihi, badala ya kumtukana ungemtaka akupe sababu, ila ukweli upo nchi nyingi zimebadilika. Tatizo la vyama hivyo yangu mwanzo vilijikita kwenye kutumia nguvu za vitisho na kutumia vyombo vya dola kujipatia ushindi.
 
Back
Top Bottom