Haya tumeshamalizana na Chato Dhahabu Nyota FC, hivyo Jumamosi 'anakufa' kati ya Goli 4 hadi 6 pale Sukuma City

Swali kuntu sana
Kuntu kwa vichwa vyepesi na wasioujua mpira wa bongo. Shabiki andazi ambao moo mpo tu.

Yanga haiwezi kupata ubingwa bila kuhakikisha Simba inafungwa. Huyu ndiye mshindani wake Mkuu. Ubora wa Yanga haina maana kupata ubingwa wakat Simba ikishinda mechi zake. Weka pesa/ bahasha wafungwe.

Simba ifungwe lkn Sisi tukaze buti tushinde. Pale penye ugumu weka hela pia.
 
Kuna haja gani ya kujisifu hapa JF kwa watu wasiokujua? Jenga mawasiliano mazuri na watu na achana na lugha za hovyo wewe ni mtu mzima sasa acha kujitoa ufahamu.
ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
 
Nasikitika unatumia Nguvu Kubwa kuielimisha hiyo Mipumbavu ya Jangwani iliyojazana hapa.
 
Nasikitika unatumia Nguvu Kubwa kuielimisha hiyo Mipumbavu ya Jangwani iliyojazana hapa.
 
Unateseka na Ushindi wa Simba SC wa jana kule Mkoani Mbeya na Kuongoza rasmi Ligi Kuu kwa Kukuzidi Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) ukiwa wapi?
 
ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
 
ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
 
Kwani kila anachosema popoma kina ukweli? Hayo mawazo yake achana nae.
Wataachana vipi na Mimi wakati kila Siku wakiongozwa na Rais wa Ujuha ( Foolishness ) hapa Jamvini CAPO DELGADO na Makamu wake LIKUD Wanahubiri Kunichukia GENTAMYCINE lakini cha Kushangaza ndiyo hao hao Wanaongoza kwa Kunifuatilia na Kunisoma hapa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Na kuna haja gani ya kutumia mamilioni/mabilioni kufanya usajili wa wachezaji mbalimbali, wakati timu za kwenye ligi zinaweza kununulika kirahisi..?? Kwanini hizo hela zisitumike kununulia mechi za ligi…???
Nikiitoa hapa hadharani Siri Kubwa niliyopewa na Mchezaji Mwandamizi wa Mtibwa Sugar FC na Kocha wao Fulani ( Kipa wa Zamani ) juu ya Yanga SC na Kampuni yao ya Kitapeli inayowadhamini juu ya Rushwa waliyowapa Mechi yao ya Manungu Msimu ulioisha akina TAKUKURU na TFF Wakiithibitisha leo hii hii Yanga SC yako inapokwa Ubingwa na hata Kufungiwa na CAF sawa?

Kaa mbali kabisa na hii ID yangu Ok?
 
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.

Mithali 26:4
 
Wekeni Hela mpate kundi rahisi CAF CL
 
Kesho kama yondani atakuwa mkoba,yanga anashinda nyingi...ila kama hataanza imekula kwao
 
Yaani unakaa kumjibu POPOMA? Hauko serious mkuu
 
Kujibu namba 3 hapo juu,mipesa ya wizi serikalini ndiyo inatumika.

Fuatilia vzr historia,ufisadi ukidhibitiwa huwa hawafanyi vzr maana wanakuwa hawana hela
 
Kuna watu humu ukiona thread zào wewe pita pembeni. Hata wao hawajui wameandika nini Kwa hiyo haya uliyouliza hutapata jibu sahihi.
 
Lutindi inakuhusu. Maana dishi linakaribia sasa kuanguka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…