Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,979
Wimbo:LIKO LANGO MOJA WAZI.
Verse 1:
Liko lango moja wazi,
Ni lango la Mbinguni;
Na wote waingiao
Watapata nafasi.
CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.
VERSE 2:
Yesu ndiye lango hili,
Hata sasa ni wazi,
Kwa wakubwa na wadogo,
Tajiri na maskini.
CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.
VERSE 3:
Hili ni lango la raha,
Ni lango la rehema;
Kila mtu apitaye,
Hana majonzi tena.
CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.
VERSE 4:
Tukipita lango hili, Tutatua mizigo,
Tuliochukua kwanza,
Tutavikwa uzima.
CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.
VERSE 5:
Hima ndugu tuingie,
Lango halijafungwa,
Likifungwa mara moja,
Halitafunguliwa.
CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.
Mchana mwema kwenu wooote!!!
Verse 1:
Liko lango moja wazi,
Ni lango la Mbinguni;
Na wote waingiao
Watapata nafasi.
CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.
VERSE 2:
Yesu ndiye lango hili,
Hata sasa ni wazi,
Kwa wakubwa na wadogo,
Tajiri na maskini.
CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.
VERSE 3:
Hili ni lango la raha,
Ni lango la rehema;
Kila mtu apitaye,
Hana majonzi tena.
CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.
VERSE 4:
Tukipita lango hili, Tutatua mizigo,
Tuliochukua kwanza,
Tutavikwa uzima.
CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.
VERSE 5:
Hima ndugu tuingie,
Lango halijafungwa,
Likifungwa mara moja,
Halitafunguliwa.
CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.
Mchana mwema kwenu wooote!!!