Haya wana Chit-Chat,TUIMBE SOTE!!

Haya wana Chit-Chat,TUIMBE SOTE!!

Kiraka Kikuu

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,903
Reaction score
1,979
Wimbo:LIKO LANGO MOJA WAZI.

Verse 1:
Liko lango moja wazi,
Ni lango la Mbinguni;
Na wote waingiao
Watapata nafasi.

CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.

VERSE 2:
Yesu ndiye lango hili,
Hata sasa ni wazi,
Kwa wakubwa na wadogo,
Tajiri na maskini.

CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.

VERSE 3:
Hili ni lango la raha,
Ni lango la rehema;
Kila mtu apitaye,
Hana majonzi tena.

CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.

VERSE 4:

Tukipita lango hili, Tutatua mizigo,
Tuliochukua kwanza,
Tutavikwa uzima.


CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.

VERSE 5:

Hima ndugu tuingie,
Lango halijafungwa,
Likifungwa mara moja,
Halitafunguliwa.


CHORUS:
Lango ndiye yesu Bwana,
Wote waingie kwake,
Lango!Lango!Lango!
La mbinguni li wazi.

Mchana mwema kwenu wooote!!!
 
hivi unaonaje Mpenda Yesu tukiiweka hii thread kuwa ya Lyrics muhimu kama hizi?
 
Last edited by a moderator:
Ameen Mpenda Yesu.

Basi na tuendelee kupata barak za bwana katika uombaji

HAYA EE MOYO WANGU.

1.Haya ee moyo wangu, imba kwa furaha
Umwimbie muumbaji, mbingu na dunia
Atukuzwaye pote umsifu na wewe
Kwa nguvu zako zoote umri wako wote

2.Mungu wake Yakobo ndiye Mungu wetu.
Ukimchagua yeye, una fungu jema.
Unacho ktu chema, umepata mali.
Moyo utakung'aa, shida zitakwisha.

3.Ni mwenye nguvu nyingi, hana amshindaye.
Kwa hekima, aumba, vyote ni vya ajabu.
Misitu na mabonde, milima na mashamba.
Vilivyo baharini, wanyma porini

4.Ana mizungu mingi, kuponya wanawe,
Anawapa riziki, hata siku za njaa.
Wenye chakula haba, wanenepa miili
Hata waliofungwa, anawafungua.

5.Mashangilio yote, hayamtoshi yeye.
Ni mwema peke yake, nami ni vumbi tu
Ananihurumia, kwa kuwa ni wake.
Kwa hiyo nalikuza jina lake pote
 
Last edited by a moderator:
Ameen Mpenda Yesu.

Basi na tuendelee kupata barak za bwana katika uombaji

HAYA EE MOYO WANGU.

1.Haya ee moyo wangu, imba kwa furaha
Umwimbie muumbaji, mbingu na dunia
Atukuzwaye pote umsifu na wewe
Kwa nguvu zako zoote umri wako wote

2.Mungu wake Yakobo ndiye Mungu wetu.
Ukimchagua yeye, una fungu jema.
Unacho ktu chema, umepata mali.
Moyo utakung'aa, shida zitakwisha.

3.Ni mwenye nguvu nyingi, hana amshindaye.
Kwa hekima, aumba, vyote ni vya ajabu.
Misitu na mabonde, milima na mashamba.
Vilivyo baharini, wanyma porini

4.Ana mizungu mingi, kuponya wanawe,
Anawapa riziki, hata siku za njaa.
Wenye chakula haba, wanenepa miili
Hata waliofungwa, anawafungua.

5.Mashangilio yote, hayamtoshi yeye.
Ni mwema peke yake, nami ni vumbi tu
Ananihurumia, kwa kuwa ni wake.
Kwa hiyo nalikuza jina lake pote

Amen!
Barikiwa sana ndugu KOKUTONA.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom