Haya wana Yanga SC kaandamaneni CAF kwani CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez 'aula' huko

Haya wana Yanga SC kaandamaneni CAF kwani CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez 'aula' huko

Big up Senzo Kwa pande muruuua Kwa Motsepe, kinachofuatia ni safari za mara Kwa mara za vikao vya Caf Tena inaweza kua nje ya Africa. Maana Senzo alicho mwambia mshakajiwake kuwa yule udhaifu wake anapenda Publicity Sasa tuanze na Chambo kikubwa.
Hongera Makamu Rais wa kamati ya mashindano ya Caf, CEO mkali Kwa sura na umbo. Unastahili kula mema ya nchi wewe ni mwanamke kijana, Nenda kale Bata.
 
Sasa nadhani Memelewa kwanini Simba inapostiwa sana huko interclub competition CEO wa simba ndio makamu mwenyekiti wa hiyo kamati kwa yanga mkipostiwa huko ni kejeli kwa kwenda mbele mjiandae kisaikolojia
 
Timu kubwa haina kocha
Mwambieni Haji Manara wenu kuwa anajisikiaje kuwa pamoja na Kumchafua Kutwa CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez ila bado wenye Akili Kubwa Watu wa CAF wamempa Cheo Kipya, Kikubwa na cha Heshima ndani ya CAF na Mpira wa Afrika

Mkiambiwa Simba SC ni Timu Kubwa na kamwe msijifananishe nayo muwe mnatuelewa sawa?

Injinia Hersi Said ( Rais wa Yanga SC ) ataishia tu kuwa Rais hapo Kwenu ila huku Kwingine ni Maji Mazito Kwake kwani huwa hakuna Uswahili, Wivu na Majungu aliyoyazoea na mnayoyazoea.
Timu kubwa inamakocha wa kuunga unga?
 
Hakuna uhusiano wowote wa barbara na eti simba kuwa ni timu kubwa

Ina ukubwa gani?
Labda ungesema jina kubwa
Ukubwa huo katika nini?juzi hapa chupuchupu kupoteza kwa Kmc bila juhudi za mwamuzi mlikua mmelala

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Ungekuwa na akili timamu ungeelewa ukubwa wa Simba kwa vile una za kwendea chooni tu huwezi kuelewa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mwambieni Haji Manara wenu kuwa anajisikiaje kuwa pamoja na Kumchafua Kutwa CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez ila bado wenye Akili Kubwa Watu wa CAF wamempa Cheo Kipya, Kikubwa na cha Heshima ndani ya CAF na Mpira wa Afrika

Mkiambiwa Simba SC ni Timu Kubwa na kamwe msijifananishe nayo muwe mnatuelewa sawa?
Injinia Hersi Said ( Rais wa Yanga SC ) ataishia tu kuwa Rais hapo Kwenu ila huku Kwingine ni Maji Mazito Kwake kwani huwa hakuna Uswahili, Wivu na Majungu aliyoyazoea na mnayoyazoea.
Itakuwa ni Karia tu kapitisha jina lake halafu akakata la CEO wetu 😂😂😂😂😂
 
hvi kweli unadhani manara ataweza chafua kitu kilichotakaswa labda akajichafue ngozi yake ile na pua kama nguruwe. nilishakaa karibu na manara sehemu fulani kwanza anakaharufu ka ngozi alaf ghafla hewa iliisha maana anavuta pumzi nyingi na pua lake kama rejeta[emoji23][emoji23]
 
Mwambieni Haji Manara wenu kuwa anajisikiaje kuwa pamoja na Kumchafua Kutwa CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez ila bado wenye Akili Kubwa Watu wa CAF wamempa Cheo Kipya, Kikubwa na cha Heshima ndani ya CAF na Mpira wa Afrika

Mkiambiwa Simba SC ni Timu Kubwa na kamwe msijifananishe nayo muwe mnatuelewa sawa?

Injinia Hersi Said ( Rais wa Yanga SC ) ataishia tu kuwa Rais hapo Kwenu ila huku Kwingine ni Maji Mazito Kwake kwani huwa hakuna Uswahili, Wivu na Majungu aliyoyazoea na mnayoyazoea.
Sasa kwani hersi ni c.e.o? Unamlinganishaje na babra?
 
Marshall Takadini toa neno wananchi waliamshe hadi CAF wamteme Barbara. Neno lako moja tu linatosha wananchi wanakuelewa sana
1660262109234.jpg
 
Mwambieni Haji Manara wenu kuwa anajisikiaje kuwa pamoja na Kumchafua Kutwa CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez ila bado wenye Akili Kubwa Watu wa CAF wamempa Cheo Kipya, Kikubwa na cha Heshima ndani ya CAF na Mpira wa Afrika

Mkiambiwa Simba SC ni Timu Kubwa na kamwe msijifananishe nayo muwe mnatuelewa sawa?

Injinia Hersi Said ( Rais wa Yanga SC ) ataishia tu kuwa Rais hapo Kwenu ila huku Kwingine ni Maji Mazito Kwake kwani huwa hakuna Uswahili, Wivu na Majungu aliyoyazoea na mnayoyazoea.
Wamatumbi na watu weusi kamwe hawataendelea mnachuki za ajabu, sasa kuteuliwa tu kwa mtu mmoja mwengine anahusikaje hizi vitu ndio zinaleta chuki. ebu acheni hizi vitu
 
CEO wa Simba SC Barabara Gonzalez aula CAF kwa Cheo Kikubwa kama Mwanamke wa Kwanza na pia kutokea Tanzania.

Ukiwa Simba SC Dunia itakutambua tu kwani ndiyo Timu pekee yenye Mashabiki Werevu na Wasomi Tanzania nzima.
Huna moral authority ya kuzungumzia hili suala. Wewe unaongoza katika orodha ya wanompinga na kumchafua Barbara hapa jukwaani. Kifupi Manara unayemtuhumu ni afadhali mara kumi.
 
Back
Top Bottom