Haya Wazee wa connection mtuambie kuna habari gani huko Twitter Naona kuna raia kaliamsha tena dude

Haya Wazee wa connection mtuambie kuna habari gani huko Twitter Naona kuna raia kaliamsha tena dude

Stori tu hizo hakuna video wala nini maana tangu waseme hayo wiki imekata na hakuna hiyo video.
 
Mwandiko upi tena dear?, ebu acha kunibania connection mi natumia ubuyu ujue😀😀, hazijambo lips zako amazing!
Mwandiko wako unakaa kiinosenti yani.
Huo ubuyu inaonekana unapilipili washa😅😅
Itakuwa unautumia lkni kwa mbali mno🤪🤪

Hazijambo kabisa zimetulia tu zikisubiria zipakwe lipgloss
 
Habari Wadau wa humu?

Nisiwachoshe wala kuchoshana humu?

Ipo hivi huko Twitter kuna connection zinatembea kwamba eti katika wale COVID19 kuna mmoja wao eti kaachia vitu vya dakika kadhaa akiwa anajirecord amepanda juu ya nini sijui? Nafikili ni mtu amepanda juu ya mtu,

Sasa basi na jina lake ni jina maarufu sana gumu gumu flani hivi sijui🤔 basi huko kuna fukuta Moto kila mtu anataka kuona video hiyo je ni kali kiasi gani je itaipita mpaka ya @diamondplatnum waah ama.

Najua humu kuna watu wa connection nami mnitupie kwa ka inbobo kangu😁 nami nimuone huyo COVID19 mmoja wapo.


🤒🤦🤪🏃
aiseh mambo sio mambo
 
Mwandiko wako unakaa kiinosenti yani.
Huo ubuyu inaonekana unapilipili washa😅😅
Itakuwa unautumia lkni kwa mbali mno🤪🤪

Hazijambo kabisa zimetulia tu zikisubiria zipakwe lipgloss
Hahaa! Ubuyu natumia sana tu tena wenye pilipili ndiyo hasaa! Afu mwandiko mbona huwa naandika kawaida tu🤫
 
Si mlisema kaolewa na mzee mdee?🍷🍾🍸🍹🥂🍺🍡🍿🍿
 
Tufanye maombi ya siku tatu hii connection isitupite
 
Back
Top Bottom