Haya Wazee wa connection mtuambie kuna habari gani huko Twitter Naona kuna raia kaliamsha tena dude

Haya Wazee wa connection mtuambie kuna habari gani huko Twitter Naona kuna raia kaliamsha tena dude

Sijatamani jamani naviappreciate tu au pia ni kosa mkuu[emoji3]? Nawewe usitamani lips za mke wa mwanaume mwenzio ni dhambi[emoji14]

Mke wa mtu anaingiaje hapa, cha kufanya nipigie pande kwa Chakorii ili nipate kukusimulia kama yaliyomo yamo!
 
Tunasubiri video ya wa twiter itufikie sisi wa Jf. Kweli tutaona mwaka ?
 
Back
Top Bottom