Haya yakifanyika uhalifu utaisha, panya road watakwisha na raia watakuwa wanalala milango wazi hadi asubuhi

Haya yakifanyika uhalifu utaisha, panya road watakwisha na raia watakuwa wanalala milango wazi hadi asubuhi

Kuveta anamjua huyo mwamba.
Ni mmoja ya members wa Yosso kundi la fire.
Umri umeenda hio ni flashback yake
Hapo sawa mkuu, inawezekana hata mimi namfahamu ila ndo hivyo umri umeenda kwahiyo ni ngumu sura yake kutambulika vizuri.
 
"Utadanganya baadhi ya Watu kwa muda mfupi, lakini si wakati wote wa maisha yao yote, popote duniani"

The Late JPM's legacy existence in TZ is still upgrading itself there, due to these roads mouses motions. Hence it was never ever heared, even present at everywhere in his overall presidency [emoji6].
Duuuu! Muda wote wewe unawaza JPM tu. Move on ndugu yangu, hii ni dunia tu, watu huja na kupita.
 
Mama amrudishe Mrema walinzi wa mambo ya ndani akomeshe uhalifu
Kwa sasa Mrema umri umekwenda sana, labda apewe cheo cha ushauri kwa waziri wa mambo ya ndani hata kama cheo hicho hakipo kikatiba. Yani afanye kama alivyofanya kwa kina Kabudi. Nina imani uwepo wa Mrema wizarani kutaleta tija nchini.
 
JPM alijaribu kwa wale wahuni wa Amboni na Rufiji, wapuuzi akina Zitto na Lissu hadi leo ni kumlaumu
Dah umenikumbusha enzi za wale wahuni wa rufiji. Sasa hivi wilaya imekuwa na amani kabisa.
 
Hahaha 😂🤣🤣 mkuu huyo Kuveta hakuwa wa kufanyiwa masihara hata sekunde 1. Iwe jela, makundini au mtaani, watu wote walifyata mbele yake. Nina hakika mkuu Mshana Jr , Pascal Mayalla na wengineo wengi wa miaka hiyo itakuwa aidha kama hawakuwahi kumuona kwa macho basi walikuwa wanamsikia mitaani.
Kama mrangi hamjui kuveta basi kuveta alikufa akiwa underground mkuu mrangi kuveta ni certified jambaz?
 
Nimeguswa!. Very touching story.
Sijapenda jinsi starring alivyo uwawa bila kosa lolote!.
Wale wote walio husika kumuua kamanda huyu bila kosa lolote, karma inawahusu.

RIP Kuveta, Kamanda wa Commando Yosso.
 P
Hiyo Karma uliyoisema ndio liyoondoka naye.
Ilikuwa ukisikia huu wimbo kwenye mnanda .Dk 2 mnanda haupo
"Kimhia kimbia Mrema anakuja"×2
 
Kumbuka jela zetu hapa ni mara chache sana kumrekebisha mtu maana mara nyingi watu wanafungwa kwa kukomoana!
Ukiona mtu kamaliza kifungo chake na akarudi mtaani akatulia jua sana sana huyo alibambikiwa kesi! Mqenye tabia yake ya wizi na ujambazi hawezi kurekebishwa na mageteza zetu!
Mageteza zetu ni sehemu ya kwenda kuumia sio kunifunza!
Jela ni pazuri kwa wale wasiokuwa na kazi pamoja na makazi. Maana wakiwa kule wanakula bure na wanalala bure.
 
Acha huruma kwa wahun. Kimsing kilichompata ni hyo KARMA . Maana wao ndicho walichokuwa wanakifanya kuvamia watu wasio na hatia, kuwaibia/kuwapora, kuwajeruhi na hata kuwaua, auaye kwa upanga hufa kwa upanga.
Yes, ni kama ulivyosema ni alikuwa!. Mtu ametoka jela juzi, hajafanya uhalifu wowote, yuko kwa demu wake, watu unamwingilia usiku kumvamia, kumkatakata mapanga, kumuua na kumjeruhi demu wake!. Wahusika wote karma itawahusu.
P
 
Hivi mrema ataweza kweli mikiki mikiki ya kukimbinzana na vibaka usiku, mbona anaonekana hajiwezi kwa lolote?
Hahaha 😂😂😂 mikiki mikiki hatoweza mkuu, lakini ushauri wake utaweza kuleta faida nchini.
 
"Utadanganya baadhi ya Watu kwa muda mfupi, lakini si wakati wote wa maisha yao yote, popote duniani"

The Late JPM's legacy existence in TZ is still upgrading itself there, due to these roads mouses motions. Hence it was never ever heared, even present at everywhere in his overall presidency [emoji6].
Another upumbafuu at its best
 
Tatizo wenye mamlaka wamekaa kimya hawana mkakati wowote na ndio ambao wangeweza kuchukua hatua matako yao.
 
Serikali ituachie tu tuwaue hawa watu kwa sababu wao wameshindwa kulinda amani ya raia wake
Muwaue saangapi wakati wanafunga mtaa wanawageuza geuza kama nguo za mtumba mnadani na hakamatwi hata mmoja, saa1:30- saa 3 wanaume wamejificha duu!
 
Hahaha.. unamkuta panya road hana hata kilo 25 za uzito, mlo wake kwa siku ni bagia mbili na jagi zima la maji, mfukoni ana bisibisi au kisu cha mkunjo afu usiku anafunga mtaa mzima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23].
[emoji23][emoji23][emoji23] halafu mibaba 30yrs- 50yrs mnatimua mbio mpaka mnagongana wenyewe kwa wenyewe [emoji3][emoji3][emoji3] Mungu wangu jamani inatisha..
 
Nimeguswa!. Very touching story.
Sijapenda jinsi starring alivyo uwawa bila kosa lolote!.
Wale wote walio husika kumuua kamanda huyu bila kosa lolote, karma inawahusu.

RIP Kuveta, Kamanda wa Commando Yosso.
 P
Angekuwa alishakupitia na kapita na mkono wako mmoja na kufagia nyumba yako usingema haya
 
Back
Top Bottom