Haya yananionesha kwamba Rais Samia anataka Demokrasia na Maridhiano

Haya yananionesha kwamba Rais Samia anataka Demokrasia na Maridhiano

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
Nafuatilia mijadala hasa kupiti Twitter. Watu wengi ambao wanaonekana ni experts wa vitu vya siasa wanaongelea sana kuhusu 'maridhiano' na demokrasia.

I think term 'maridhiano' inakuja kwa sababu ya mambo mengi yaliyotokea huko awamu ya tano.

Ila Rais Samia anaonesha wazi kwamba anataka sana hayo maridhiano kwa sababu:

1. Kufutwa kwa kesi ambazo zilipigiwa kelele hasa na watu wa Upinzani kwa miaka mingi au muda mfupi.
- Tundu Lissu alifutiwa kesi mwaka huu. Mude Nyangali aliachiwa huru na alipoachiwa akaenda hadharani kutoa maneno mabaya dhidi ya Rais na hajaguswa hadi leo.

- Viongozi wa CHADEMA walirudishiwa fedha zao walizolipa kama faini kwenye kesi ile ya maandamano ambayo that girl Akwelina alipoteza maisha.

- Sabaya ambaye alisemwa sana kwamba amekandamiza watu, kapata anachostahili (SAMIA ANGEKUWA MTU WA KUTAKA UKANDAMIZAJI UENDELEE ANGEMUACHA SABAYA KWENYE CHEO CHAKE ILI AONEE WATU, AU ASINGERUHUSU APELEKWE MAHAKAMANI KWA SABABU KUFANYA HIVYO INGEWATISHA OTHER LEADERS AMBAO STATE INGEWEZA KUWATUMIA KUKANDAMIZA WATU)

2. Mtandaoni naona picha za vyama vya upinzani wakiendelea na shughuli zao. Siku nyingi sijasikia Polisi wamevamia ofisi zao. CHADEMA wanaendelea na usajili wa wanachama wao kwa njia za Digital, they are no harassed as we used to hear.

- Yes kuna mambo mengi hayafanyiwa kazi towards the democracy we all wish to have, kama hiyo mikutano ya hadhara but OO YEAH, kuna nia inaonekana.

Mwisho, hapa kuna issue kubwa ya kesi ya Mbowe. It is only that one case ambayo kweli naona ndio jambo pekee linalowapa wengi sababu ya kuongea. The case ilifunguliwa na Rais aliyepita, walisema wanafanya uchunguzi hata kabla Samia hajaingia in power. Halafu iyo kesi naona kama Polisi ndio wanajua kinachoendelea and i want to believe wao ndiop walitoa taarifa kwa Rais. I dont know, but naamini that is the case.

Hata katika hii, siamini hata kidogo kwamba Rais Samia ana nia ya kumtendea ubaya Mbowe, why afanye hivyo?

ALL IN ALL, RAIS SAMIA NI MPENDA MARIDHIANO, SIO MUONEVU. Yapo mamboa yanayohitaji kufanyika kazi, bila shaka atayafanyia kazi.
 
Najaribu kukuelewa Mkuu,hata mm pia naamini hivyo kuwa Rais Samia ana nia njema kabisa tena ya dhati ya kuibadilisha Nchi yetu ili ipate maendeleo endelevu pia irudi ktk mstari tuliokuwa nao umoja upendo,mshikamano na utangamano wa taifa bila kusahau democrasia ya kweli isiyo na hila ndani yake.

Shida yangu ni moja tu kwa sasa CCM na serikali kwa ujumla INA makundi mawili ambayo juzi tu hapa Mama Mwenyewe amekiri kuwepo na yanajaribu kumdondoshea jumba bovu kitu ambacho amesema hatokubali.

Makundi hayo yana itikadi tofauti zisizoendana pia yanachukiana,na kila kundi linafanya juhudi kujiweka karibu ili kujijenga 2025,wakiamini Mama hatoendelea na Mama hataki kuchagua upande anayataka yote kwa faida yake, hapo ndipo kuchanika msamba ninapopaona kufuata njia mbili kwa wakati mmoja.
 
Nafuatilia mijadala hasa kupiti Twitter. Watu wengi ambao wanaonekana ni experts wa vitu vya siasa wanaongelea sana kuhusu 'maridhiano' na demokrasia.

I think term 'maridhiano' inakuja kwa sababu ya mambo mengi yaliyotokea huko awamu ya tano.

Ila Rais Samia anaonesha wazi kwamba anataka sana hayo maridhiano kwa sababu:

1. Kufutwa kwa kesi ambazo zilipigiwa kelele hasa na watu wa Upinzani kwa miaka mingi au muda mfupi.
- Tundu Lissu alifutiwa kesi mwaka huu. Mude Nyangali aliachiwa huru na alipoachiwa akaenda hadharani kutoa maneno mabaya dhidi ya Rais na hajaguswa hadi leo.

- Viongozi wa CHADEMA walirudishiwa fedha zao walizolipa kama faini kwenye kesi ile ya maandamano ambayo that girl Akwelina alipoteza maisha.

- Sabaya ambaye alisemwa sana kwamba amekandamiza watu, kapata anachostahili (SAMIA ANGEKUWA MTU WA KUTAKA UKANDAMIZAJI UENDELEE ANGEMUACHA SABAYA KWENYE CHEO CHAKE ILI AONEE WATU, AU ASINGERUHUSU APELEKWE MAHAKAMANI KWA SABABU KUFANYA HIVYO INGEWATISHA OTHER LEADERS AMBAO STATE INGEWEZA KUWATUMIA KUKANDAMIZA WATU)

2. Mtandaoni naona picha za vyama vya upinzani wakiendelea na shughuli zao. Siku nyingi sijasikia Polisi wamevamia ofisi zao. CHADEMA wanaendelea na usajili wa wanachama wao kwa njia za Digital, they are no harassed as we used to hear.

- Yes kuna mambo mengi hayafanyiwa kazi towards the democracy we all wish to have, kama hiyo mikutano ya hadhara but OO YEAH, kuna nia inaonekana.

Mwisho, hapa kuna issue kubwa ya kesi ya Mbowe. It is only that one case ambayo kweli naona ndio jambo pekee linalowapa wengi sababu ya kuongea. The case ilifunguliwa na Rais aliyepita, walisema wanafanya uchunguzi hata kabla Samia hajaingia in power. Halafu iyo kesi naona kama Polisi ndio wanajua kinachoendelea and i want to believe wao ndiop walitoa taarifa kwa Rais. I dont know, but naamini that is the case.

Hata katika hii, siamini hata kidogo kwamba Rais Samia ana nia ya kumtendea ubaya Mbowe, why afanye hivyo?

ALL IN ALL, RAIS SAMIA NI MPENDA MARIDHIANO, SIO MUONEVU. Yapo mamboa yanayohitaji kufanyika kazi, bila shaka atayafanyia kazi.
Mwanasiasa yafaa aaminike Kwa matendo aliyotenda na sii maneno aliyoongea🤔.
 
Shallow analysis, primitive one. Mwanadamu hataishi kwa mkate peke yake
 
1. Mdude aliachiwa na mahakama. Lakini waliombambikia kesi ya uongo, na kumtesa, hawajachukuliwa hatua.

2. Lissu amefutiwa kesi moja, na ni kwasababu alikuwa akishtakiwa pamoja na wahariri wa gazeti la mawio. Kesi ambazo Lissu anashtakiwa peke yake hazijafutwa.

3. Kuna mamia ya Mashehe wa Answar Sunna wako kizuizini kwa muda mrefu bila kufikishwa mahakamani.

4. CCM wanafanya mikutano ya hadhara huku vyama mbadala vikinyimwa haki hiyo.

5. Bado hakujafanyika uchunguzi wa matukio mabaya dhidi ya wapinzani, na wahusika kuchukuliwa hatua, na waathirika kufidiwa.

6. Hali ya uchumi ni mbaya. Gharama za maisha zinapanda kila kukicha. Vijana hawana ajira. Serikali ina matumizi makubwa yasiyo na manufaa kwa wananchi.
 
Back
Top Bottom