Hayati Baba Magufuli najua hujalala mpaka yalio andikwa yatimie (Utabiri)

Hayati Baba Magufuli najua hujalala mpaka yalio andikwa yatimie (Utabiri)

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Najuwa umelala lakini roho yako haijalala. Yes najuwa roho yako haijalala. Najuwa Kuna watu walifurahia kifo chako mpaka wakasimama nakusema alidhani yeye ni Mungu lakini sasa wote wapo ktk vyumba wanalia kila wanapo juwa ukweli na sio kuujuwa ukweli ila kupewa full secret mission which while ye work on it you die.
Hukulala hukusinzia na pale uliambiwa ulale ulisema silali nitafika kwenye kiti nikiwatumikia watanzania.
Jambo kweli lilitokea ktk usiku mzito ukiwatumikia watanzania.

Nadharia nyingi zimesemwa ila kauli yako ya mwisho na Yale maneno kuwa walikuwekea sumu wakati fulani kwa unoko wako wakati fulani mahali fulani ukiwa waziri hii kauli itakitesa chama na kama tamaa na ulafi wakujilimbikizia mali hautowatoka jambo zito litalikumba Taifa.

Maneno yako ya mwisho yatakuwa mzimu mwingine kama wa Hayati Sokoine. Yes Wewe sasa utakuwa Sokoine ila kama Rais. Kumbukizi na masanamu yatapangwa na watu kukosa usingizi kila wakikumbuka maneno uliyasema.

Maneno yako yamekuwa zaidi ya siri zaidi ya vito vya thamani vilivyowekewa ulinzi mkali zaid duniani.
Hukufa ukitaka kujilimbikizia Mali ila ulikufa wakati ukitamani kila raia wa Taifa la Tz mwenye nguvu na afya afaidi national cake. Pamoja maneno ni mengi kuliko ukweli ila siku na miaka vitauweka huu ukweli wazi kwa kila Raia wa Tanzania.

Umeacha Cheche na miale nikali ya Moto ktk kila taasisi. Umeacha vijana na wazee ambao kwa nafasi zao na uwezo wao hawato lala mpaka mission ikamilike.

Umewaacha kila mmoja anasema lake akifikiri ndio maazimio kumbe mtego wa panya.

Umeacha Taasisi imara na idara zetu zakiusalama ktk ubora hakuna mtu anaweza juwa kesho itakavyo kuwa.

Baba hujalala ila umepumzika kama ilivyo kawaida ya kila mwanadam. Wapumbavu wachache ndio wanafikiri umekufa ila yajayo ya nafurahisha wapo wana amini kifo chako ndio mwisho wakazi uliikuta pale ikulu. Kumbe sivyo. Yani ndio kwanza kumekucha.

Kwanini uvishwe ubaya kwa kazi ilipangwa ktk usiri na wakamtafuta mtu wakuifanya wakakuona wewe leo wewe ndio mbaya?

Nahapa ndipo lile neno Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila mazuri. Maana baya yalikiwa ni operation ambazo hakuna mtu atakuja sema hapa basi ni Bora kufunga midomo.

Amen
 
Labda Magufuli mwingine,lakini yule yuliyemzika Chato hana sifa hizo unazomwagia.

Magufuli wa Chato aliharibu mifumo yote ya utawala.

Magufuli aliharibu uchaguzi
Magufuli aliharibu Bunge
Magufuli aliharibu TISS
Magufuli aliharibu Mahakama
Magufuli alidanganya waTZ kwamba maradi yote inaendeshwa na fedha zetu wenyewe.
Magufuli aliteka wale wote waliompinga
Magufuli aliipendelea Chato kuliko Tanzania.
 
Mwendakuzimu Jiwe Kwa Sasa yupo Motoni anatumikia adhabu yake ya Kudhulumu Roho za watu Bila Sababu za Msingi, kupora watu Mali, kubambikia watu kesi na Kunyanyasa watu.
Roho ya Jiwe iendelee kuteseka Motoni Kwa Matendo yake ya Kiiibilisi Duniani
 
Uko nauseated!

Nani alikudanganya wenye dhambi hulala baada ya mauti? Mwenzako anatapika moto tu huko aliko...

The best solution ilitakiwa nyie kupe wake wote muwe annihilated maana mmekuwa mazombie!! Kuna siku nilimwona aliyekua bodyguard wake amekua kama kichaa, hana amani na nastuka stuka hovyo! Akiona hata mtu ananyanyua simu anahisi anapigwa picha!

Naelewa hali alowaacha nayo mwendazake tiba pekee kwenu mlipaswa kuwa annihilated.
 
Wapo watu wanamkumbuka huko sirini, ila wanaona aibu kuandika hapa kwa sababu tutawanyooshea vidole.

Tuwaache tu ipo siku mmoja baada ya mwingine watakuja hapa kumkumbuka bila kujali tutawaonaje
 
Samia alipoutangazia Umma kuwa ana habari nzuli kutoka Hospitali ya Mzena.

rejoice.png
snoop-dogg-crip-walk.gif


Uongo mbaya nilisali kwanza halafu nikaagiza Bapa kisha nikaingia Jf.
 
Labda Magufuli mwingine,lakini yule yuliyemzika Chato hana sifa hizo unazomwagia.

Magufuli wa Chato aliharibu mifumo yote ya utawala.

Magufuli aliharibu uchaguzi
Magufuli aliharibu Bunge
Magufuli aliharibu TISS
Magufuli aliharibu Mahakama
Magufuli alidanganya waTZ kwamba maradi yote inaendeshwa na fedha zetu wenyewe.
Magufuli aliteka wale wote waliompinga
Magufuli aliipendelea Chato kuliko Tanzania.
Tunanshukuru Mwenyezi Mungu kutuondolea hili jinamizi
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-125637.png
    Screenshot_20220719-125637.png
    151.1 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220719-125655.png
    Screenshot_20220719-125655.png
    43.6 KB · Views: 15
Sikatai ulichoandika ila,umekua biased, shuleni tulijifunza kujadili jambo lazima ugusie Pisitive and negative. MAGUFULI ALIFANYA MENGI MAZURI ILA ALIFANYA MABAYA ZAIDI.Kwa mfano tu kuiba uchaguzi ule na watu kuokotwa kwenye viloba haya mtanzania mwenye akili timamu hata yasahau. PUMZIKA KWA AMANI KAMA ULITENDA MEMA ILA MABAYA YAkuUUNGuZe.
 
Back
Top Bottom