Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huelewekiNajuwa umelala lakini roho yako haijalala. Yes najuwa roho yako haijalala. Najuwa Kuna watu walifurahia kifo chako mpaka wakasimama nakusema alidhani yeye ni Mungu lakini sasa wote wapo ktk vyumba wanalia kila wanapo juwa ukweli na sio kuujuwa ukweli ila kupewa full secret mission which while ye work on it you die.
Hukulala hukusinzia na pale uliambiwa ulale ulisema silali nitafika kwenye kiti nikiwatumikia watanzania.
Jambo kweli lilitokea ktk usiku mzito ukiwatumikia watanzania.
Nadharia nyingi zimesemwa ila kauli yako ya mwisho na Yale maneno kuwa walikuwekea sumu wakati fulani kwa unoko wako wakati fulani mahali fulani ukiwa waziri hii kauli itakitesa chama na kama tamaa na ulafi wakujilimbikizia mali hautowatoka jambo zito litalikumba Taifa.
Maneno yako ya mwisho yatakuwa mzimu mwingine kama wa Hayati Sokoine. Yes Wewe sasa utakuwa Sokoine ila kama Rais. Kumbukizi na masanamu yatapangwa na watu kukosa usingizi kila wakikumbuka maneno uliyasema.
Maneno yako yamekuwa zaidi ya siri zaidi ya vito vya thamani vilivyowekewa ulinzi mkali zaid duniani.
Hukufa ukitaka kujilimbikizia Mali ila ulikufa wakati ukitamani kila raia wa Taifa la Tz mwenye nguvu na afya afaidi national cake. Pamoja maneno ni mengi kuliko ukweli ila siku na miaka vitauweka huu ukweli wazi kwa kila Raia wa Tanzania.
Umeacha Cheche na miale nikali ya Moto ktk kila taasisi. Umeacha vijana na wazee ambao kwa nafasi zao na uwezo wao hawato lala mpaka mission ikamilike.
Umewaacha kila mmoja anasema lake akifikiri ndio maazimio kumbe mtego wa panya.
Umeacha Taasisi imara na idara zetu zakiusalama ktk ubora hakuna mtu anaweza juwa kesho itakavyo kuwa.
Baba hujalala ila umepumzika kama ilivyo kawaida ya kila mwanadam. Wapumbavu wachache ndio wanafikiri umekufa ila yajayo ya nafurahisha wapo wana amini kifo chako ndio mwisho wakazi uliikuta pale ikulu. Kumbe sivyo. Yani ndio kwanza kumekucha.
Kwanini uvishwe ubaya kwa kazi ilipangwa ktk usiri na wakamtafuta mtu wakuifanya wakakuona wewe leo wewe ndio mbaya?
Nahapa ndipo lile neno Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila mazuri. Maana baya yalikiwa ni operation ambazo hakuna mtu atakuja sema hapa basi ni Bora kufunga midomo.
Amen
😅😅😅he is a Victor by Rev MwingiraView attachment 2381837
Hatujasahau.
Naunga mkono hoja.Huu mjadala wa jiwe ungefungwa tu maana ni mjadala unaochefua. Unawezaje kumkumbuka mtu aliyekuwa anawafunga watu wanaoendesha uchumi wa nchi na kuwakumbatia wamachinga? Tumheshimu tu kama mtu aliyewahi kuwa rais ila kuanza kujaza chumvi za kumsifia inakera sana.
May be wanaccm wenzake aliowanyima uteuzi.Waliokuwa wanachukia JPM sasa wanaona aibu. Pumzika mahali pema baba.
Ndio hawa wanajaza saver za JFs kila siku.Wako ambao bado wanamlilia Shujaa wao.
View attachment 2381822
Hivi jiulize zile pesa alizokuwa anawaambia watuhumiwa waungame kosa walipe pesa waachiwe mamilioni yalikusanywa. Je zilienda wapi hizo pesa?? Labda mheshimiwa Rais Kwa vile yupo na alikuweo anaweza kutueleza ziliko? Hatukuwa na sababu kuomba pesa njeNajuwa umelala lakini roho yako haijalala. Yes najuwa roho yako haijalala. Najuwa Kuna watu walifurahia kifo chako mpaka wakasimama nakusema alidhani yeye ni Mungu lakini sasa wote wapo ktk vyumba wanalia kila wanapo juwa ukweli na sio kuujuwa ukweli ila kupewa full secret mission which while ye work on it you die.
Hukulala hukusinzia na pale uliambiwa ulale ulisema silali nitafika kwenye kiti nikiwatumikia watanzania.
Jambo kweli lilitokea ktk usiku mzito ukiwatumikia watanzania.
Nadharia nyingi zimesemwa ila kauli yako ya mwisho na Yale maneno kuwa walikuwekea sumu wakati fulani kwa unoko wako wakati fulani mahali fulani ukiwa waziri hii kauli itakitesa chama na kama tamaa na ulafi wakujilimbikizia mali hautowatoka jambo zito litalikumba Taifa.
Maneno yako ya mwisho yatakuwa mzimu mwingine kama wa Hayati Sokoine. Yes Wewe sasa utakuwa Sokoine ila kama Rais. Kumbukizi na masanamu yatapangwa na watu kukosa usingizi kila wakikumbuka maneno uliyasema.
Maneno yako yamekuwa zaidi ya siri zaidi ya vito vya thamani vilivyowekewa ulinzi mkali zaid duniani.
Hukufa ukitaka kujilimbikizia Mali ila ulikufa wakati ukitamani kila raia wa Taifa la Tz mwenye nguvu na afya afaidi national cake. Pamoja maneno ni mengi kuliko ukweli ila siku na miaka vitauweka huu ukweli wazi kwa kila Raia wa Tanzania.
Umeacha Cheche na miale nikali ya Moto ktk kila taasisi. Umeacha vijana na wazee ambao kwa nafasi zao na uwezo wao hawato lala mpaka mission ikamilike.
Umewaacha kila mmoja anasema lake akifikiri ndio maazimio kumbe mtego wa panya.
Umeacha Taasisi imara na idara zetu zakiusalama ktk ubora hakuna mtu anaweza juwa kesho itakavyo kuwa.
Baba hujalala ila umepumzika kama ilivyo kawaida ya kila mwanadam. Wapumbavu wachache ndio wanafikiri umekufa ila yajayo ya nafurahisha wapo wana amini kifo chako ndio mwisho wakazi uliikuta pale ikulu. Kumbe sivyo. Yani ndio kwanza kumekucha.
Kwanini uvishwe ubaya kwa kazi ilipangwa ktk usiri na wakamtafuta mtu wakuifanya wakakuona wewe leo wewe ndio mbaya?
Nahapa ndipo lile neno Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila mazuri. Maana baya yalikiwa ni operation ambazo hakuna mtu atakuja sema hapa basi ni Bora kufunga midomo.
Amen
Waliokuwa wanachukia JPM sasa wanaona aibu. Pumzika mahali pema baba.
Najuwa umelala lakini roho yako haijalala. Yes najuwa roho yako haijalala. Najuwa Kuna watu walifurahia kifo chako mpaka wakasimama nakusema alidhani yeye ni Mungu lakini sasa wote wapo ktk vyumba wanalia kila wanapo juwa ukweli na sio kuujuwa ukweli ila kupewa full secret mission which while ye work on it you die.
Hukulala hukusinzia na pale uliambiwa ulale ulisema silali nitafika kwenye kiti nikiwatumikia watanzania.
Jambo kweli lilitokea ktk usiku mzito ukiwatumikia watanzania.
Nadharia nyingi zimesemwa ila kauli yako ya mwisho na Yale maneno kuwa walikuwekea sumu wakati fulani kwa unoko wako wakati fulani mahali fulani ukiwa waziri hii kauli itakitesa chama na kama tamaa na ulafi wakujilimbikizia mali hautowatoka jambo zito litalikumba Taifa.
Maneno yako ya mwisho yatakuwa mzimu mwingine kama wa Hayati Sokoine. Yes Wewe sasa utakuwa Sokoine ila kama Rais. Kumbukizi na masanamu yatapangwa na watu kukosa usingizi kila wakikumbuka maneno uliyasema.
Maneno yako yamekuwa zaidi ya siri zaidi ya vito vya thamani vilivyowekewa ulinzi mkali zaid duniani.
Hukufa ukitaka kujilimbikizia Mali ila ulikufa wakati ukitamani kila raia wa Taifa la Tz mwenye nguvu na afya afaidi national cake. Pamoja maneno ni mengi kuliko ukweli ila siku na miaka vitauweka huu ukweli wazi kwa kila Raia wa Tanzania.
Umeacha Cheche na miale nikali ya Moto ktk kila taasisi. Umeacha vijana na wazee ambao kwa nafasi zao na uwezo wao hawato lala mpaka mission ikamilike.
Umewaacha kila mmoja anasema lake akifikiri ndio maazimio kumbe mtego wa panya.
Umeacha Taasisi imara na idara zetu zakiusalama ktk ubora hakuna mtu anaweza juwa kesho itakavyo kuwa.
Baba hujalala ila umepumzika kama ilivyo kawaida ya kila mwanadam. Wapumbavu wachache ndio wanafikiri umekufa ila yajayo ya nafurahisha wapo wana amini kifo chako ndio mwisho wakazi uliikuta pale ikulu. Kumbe sivyo. Yani ndio kwanza kumekucha.
Kwanini uvishwe ubaya kwa kazi ilipangwa ktk usiri na wakamtafuta mtu wakuifanya wakakuona wewe leo wewe ndio mbaya?
Nahapa ndipo lile neno Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila mazuri. Maana baya yalikiwa ni operation ambazo hakuna mtu atakuja sema hapa basi ni Bora kufunga midomo.
Amen
Wapo watu wanamkumbuka huko sirini, ila wanaona aibu kuandika hapa kwa sababu tutawanyooshea vidole.
Tuwaache tu ipo siku mmoja baada ya mwingine watakuja hapa kumkumbuka bila kujali tutawaonaje
Waliokuwa wanachukia JPM sasa wanaona aibu. Pumzika mahali pema baba.
R.I.P Dr. Magufuli.
Mawazo yako bado yanaishi.
Tunasheherekea utendaji wako kwa Taifa hili kila siku tunapokutana na miradi uliyoipigania.
Safi sana!
Visaliti vyote fagia
Yule MWAMBA alileta heshima ktk utumishi wa Umma,
Huduma Kwa wananchi wasio na connection walihudumiwa vzr.
Mm namkumbuka Kwa mengi MAZURI.
Ameeeen.
Sikatai ulichoandika ila,umekua biased, shuleni tulijifunza kujadili jambo lazima ugusie Pisitive and negative. MAGUFULI ALIFANYA MENGI MAZURI ILA ALIFANYA MABAYA ZAIDI.Kwa mfano tu kuiba uchaguzi ule na watu kuokotwa kwenye viloba haya mtanzania mwenye akili timamu hata yasahau. PUMZIKA KWA AMANI KAMA ULITENDA MEMA ILA MABAYA YAkuUUNGuZe.
Asante.Mema aliyofanya alitimiza wajibu wake kama raia mwingine yeyote, na tulimlipa ujira aliostahili. Yale mabaya aliyotenda, au yalitendwa na waliokuwa chini yake akayafumbia macho lazima Mungu alipe kisasi.Sikatai ulichoandika ila,umekua biased, shuleni tulijifunza kujadili jambo lazima ugusie Pisitive and negative. MAGUFULI ALIFANYA MENGI MAZURI ILA ALIFANYA MABAYA ZAIDI.Kwa mfano tu kuiba uchaguzi ule na watu kuokotwa kwenye viloba haya mtanzania mwenye akili timamu hata yasahau. PUMZIKA KWA AMANI KAMA ULITENDA MEMA ILA MABAYA YAkuUUNGuZe.
The END justifies the means.Tofautisha heshima na uoga. Heshima ni natural hailetwi na Magufuli Bali malezi.