econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
The END justifies the means.
Kama wakunga walizalisha ndugu zetu Kwa vitisho vya magu, acha iwe.
Democrasia ikizidi, mashoga pia watadai watambulike!!!!
Ok.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The END justifies the means.
Kama wakunga walizalisha ndugu zetu Kwa vitisho vya magu, acha iwe.
Democrasia ikizidi, mashoga pia watadai watambulike!!!!
RubbishWhich ever utasema hakuna kitu hakufanya nje ya mkakati wakiusalama. Nakama unabisha hakuna mwana usalama au mtu yeyote anaye msema
Aisee! Wewe unasema ukweli! Mungu wa mbinguni akubariki Sana! Yule muuaji!Labda Magufuli mwingine,lakini yule yuliyemzika Chato hana sifa hizo unazomwagia.
Magufuli wa Chato aliharibu mifumo yote ya utawala.
Magufuli aliharibu uchaguzi
Magufuli aliharibu Bunge
Magufuli aliharibu TISS
Magufuli aliharibu Mahakama
Magufuli alidanganya waTZ kwamba maradi yote inaendeshwa na fedha zetu wenyewe.
Magufuli aliteka wale wote waliompinga
Magufuli aliipendelea Chato kuliko Tanzania.
Huyo shetani wako alikuwa anaiba kupitia miradi na aliwatumia sana Kijazi na Mfugale!R.I.P Dr. Magufuli.
Mawazo yako bado yanaishi.
Tunasheherekea utendaji wako kwa Taifa hili kila siku tunapokutana na miradi uliyoipigania.
Opposer side The Sunk Cost FallacyNajuwa umelala lakini roho yako haijalala. Yes najuwa roho yako haijalala. Najuwa Kuna watu walifurahia kifo chako mpaka wakasimama nakusema alidhani yeye ni Mungu lakini sasa wote wapo ktk vyumba wanalia kila wanapo juwa ukweli na sio kuujuwa ukweli ila kupewa full secret mission which while ye work on it you die.
Hukulala hukusinzia na pale uliambiwa ulale ulisema silali nitafika kwenye kiti nikiwatumikia watanzania.
Jambo kweli lilitokea ktk usiku mzito ukiwatumikia watanzania.
Nadharia nyingi zimesemwa ila kauli yako ya mwisho na Yale maneno kuwa walikuwekea sumu wakati fulani kwa unoko wako wakati fulani mahali fulani ukiwa waziri hii kauli itakitesa chama na kama tamaa na ulafi wakujilimbikizia mali hautowatoka jambo zito litalikumba Taifa.
Maneno yako ya mwisho yatakuwa mzimu mwingine kama wa Hayati Sokoine. Yes Wewe sasa utakuwa Sokoine ila kama Rais. Kumbukizi na masanamu yatapangwa na watu kukosa usingizi kila wakikumbuka maneno uliyasema.
Maneno yako yamekuwa zaidi ya siri zaidi ya vito vya thamani vilivyowekewa ulinzi mkali zaid duniani.
Hukufa ukitaka kujilimbikizia Mali ila ulikufa wakati ukitamani kila raia wa Taifa la Tz mwenye nguvu na afya afaidi national cake. Pamoja maneno ni mengi kuliko ukweli ila siku na miaka vitauweka huu ukweli wazi kwa kila Raia wa Tanzania.
Umeacha Cheche na miale nikali ya Moto ktk kila taasisi. Umeacha vijana na wazee ambao kwa nafasi zao na uwezo wao hawato lala mpaka mission ikamilike.
Umewaacha kila mmoja anasema lake akifikiri ndio maazimio kumbe mtego wa panya.
Umeacha Taasisi imara na idara zetu zakiusalama ktk ubora hakuna mtu anaweza juwa kesho itakavyo kuwa.
Baba hujalala ila umepumzika kama ilivyo kawaida ya kila mwanadam. Wapumbavu wachache ndio wanafikiri umekufa ila yajayo ya nafurahisha wapo wana amini kifo chako ndio mwisho wakazi uliikuta pale ikulu. Kumbe sivyo. Yani ndio kwanza kumekucha.
Kwanini uvishwe ubaya kwa kazi ilipangwa ktk usiri na wakamtafuta mtu wakuifanya wakakuona wewe leo wewe ndio mbaya?
Nahapa ndipo lile neno Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila mazuri. Maana baya yalikiwa ni operation ambazo hakuna mtu atakuja sema hapa basi ni Bora kufunga midomo.
Amen
Hata mm nimeshangaaThread za kumkumbuka zimekuwa nyingi sana.
Yuaja DICTATOR mwingine aina ya maguu, mwenye maono, uthubutu, bt atakuwa na BUSARA, hatokurupuka .Thread za kumkumbuka zimekuwa nyingi sana.
Ni kweli aliwafunga akina Singasinga wa IPTL ila Sasa wapo huru na watarudi kupiga B za watanzania kwa sikuHuu mjadala wa jiwe ungefungwa tu maana ni mjadala unaochefua. Unawezaje kumkumbuka mtu aliyekuwa anawafunga watu wanaoendesha uchumi wa nchi na kuwakumbatia wamachinga? Tumheshimu tu kama mtu aliyewahi kuwa rais ila kuanza kujaza chumvi za kumsifia inakera sana.
Manjjii alistuka mapemaa akaamua kutorudi maana hakipo kilichobadilika.Ni kweli aliwafunga akina Singasinga wa IPTL ila Sasa wapo huru na watarudi kupiga B za watanzania kwa siku
1. We unaamini lissu alishinda uchaguzi ule kwa akili ya kawaida tu ya chekechekea?Sikatai ulichoandika ila,umekua biased, shuleni tulijifunza kujadili jambo lazima ugusie Pisitive and negative. MAGUFULI ALIFANYA MENGI MAZURI ILA ALIFANYA MABAYA ZAIDI.Kwa mfano tu kuiba uchaguzi ule na watu kuokotwa kwenye viloba haya mtanzania mwenye akili timamu hata yasahau. PUMZIKA KWA AMANI KAMA ULITENDA MEMA ILA MABAYA YAkuUUNGuZe.
Huyo aliyataka mwenyeweView attachment 2381841
Tanzania Nchi yangu ya Amani aliifikisha huku.
Huyu ndiobmagufuli sema mpenda chongo uona kengeza....Labda Magufuli mwingine,lakini yule yuliyemzika Chato hana sifa hizo unazomwagia.
Magufuli wa Chato aliharibu mifumo yote ya utawala.
Magufuli aliharibu uchaguzi
Magufuli aliharibu Bunge
Magufuli aliharibu TISS
Magufuli aliharibu Mahakama
Magufuli alidanganya waTZ kwamba maradi yote inaendeshwa na fedha zetu wenyewe.
Magufuli aliteka wale wote waliompinga
Magufuli aliipendelea Chato kuliko Tanzania.
Huyu mwamba hawawezi kumfunga wala kumwachia..! Wanamjua alivyo na nguvu kubwa.Wako ambao bado wanamlilia Shujaa wao.
View attachment 2381822
Kila mtu anasema la kwake ila wanao juwa ukweli watabaki nao.View attachment 2381841
Tanzania Nchi yangu ya Amani aliifikisha huku.
Kamfufue mkuuNajuwa umelala lakini roho yako haijalala. Yes najuwa roho yako haijalala. Najuwa Kuna watu walifurahia kifo chako mpaka wakasimama nakusema alidhani yeye ni Mungu lakini sasa wote wapo ktk vyumba wanalia kila wanapo juwa ukweli na sio kuujuwa ukweli ila kupewa full secret mission which while ye work on it you die.
Hukulala hukusinzia na pale uliambiwa ulale ulisema silali nitafika kwenye kiti nikiwatumikia watanzania.
Jambo kweli lilitokea ktk usiku mzito ukiwatumikia watanzania.
Nadharia nyingi zimesemwa ila kauli yako ya mwisho na Yale maneno kuwa walikuwekea sumu wakati fulani kwa unoko wako wakati fulani mahali fulani ukiwa waziri hii kauli itakitesa chama na kama tamaa na ulafi wakujilimbikizia mali hautowatoka jambo zito litalikumba Taifa.
Maneno yako ya mwisho yatakuwa mzimu mwingine kama wa Hayati Sokoine. Yes Wewe sasa utakuwa Sokoine ila kama Rais. Kumbukizi na masanamu yatapangwa na watu kukosa usingizi kila wakikumbuka maneno uliyasema.
Maneno yako yamekuwa zaidi ya siri zaidi ya vito vya thamani vilivyowekewa ulinzi mkali zaid duniani.
Hukufa ukitaka kujilimbikizia Mali ila ulikufa wakati ukitamani kila raia wa Taifa la Tz mwenye nguvu na afya afaidi national cake. Pamoja maneno ni mengi kuliko ukweli ila siku na miaka vitauweka huu ukweli wazi kwa kila Raia wa Tanzania.
Umeacha Cheche na miale nikali ya Moto ktk kila taasisi. Umeacha vijana na wazee ambao kwa nafasi zao na uwezo wao hawato lala mpaka mission ikamilike.
Umewaacha kila mmoja anasema lake akifikiri ndio maazimio kumbe mtego wa panya.
Umeacha Taasisi imara na idara zetu zakiusalama ktk ubora hakuna mtu anaweza juwa kesho itakavyo kuwa.
Baba hujalala ila umepumzika kama ilivyo kawaida ya kila mwanadam. Wapumbavu wachache ndio wanafikiri umekufa ila yajayo ya nafurahisha wapo wana amini kifo chako ndio mwisho wakazi uliikuta pale ikulu. Kumbe sivyo. Yani ndio kwanza kumekucha.
Kwanini uvishwe ubaya kwa kazi ilipangwa ktk usiri na wakamtafuta mtu wakuifanya wakakuona wewe leo wewe ndio mbaya?
Nahapa ndipo lile neno Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila mazuri. Maana baya yalikiwa ni operation ambazo hakuna mtu atakuja sema hapa basi ni Bora kufunga midomo.
Amen
Najuwa umelala lakini roho yako haijalala. Yes najuwa roho yako haijalala. Najuwa Kuna watu walifurahia kifo chako mpaka wakasimama nakusema alidhani yeye ni Mungu lakini sasa wote wapo ktk vyumba wanalia kila wanapo juwa ukweli na sio kuujuwa ukweli ila kupewa full secret mission which while ye work on it you die.
Hukulala hukusinzia na pale uliambiwa ulale ulisema silali nitafika kwenye kiti nikiwatumikia watanzania.
Jambo kweli lilitokea ktk usiku mzito ukiwatumikia watanzania.
Nadharia nyingi zimesemwa ila kauli yako ya mwisho na Yale maneno kuwa walikuwekea sumu wakati fulani kwa unoko wako wakati fulani mahali fulani ukiwa waziri hii kauli itakitesa chama na kama tamaa na ulafi wakujilimbikizia mali hautowatoka jambo zito litalikumba Taifa.
Maneno yako ya mwisho yatakuwa mzimu mwingine kama wa Hayati Sokoine. Yes Wewe sasa utakuwa Sokoine ila kama Rais. Kumbukizi na masanamu yatapangwa na watu kukosa usingizi kila wakikumbuka maneno uliyasema.
Maneno yako yamekuwa zaidi ya siri zaidi ya vito vya thamani vilivyowekewa ulinzi mkali zaid duniani.
Hukufa ukitaka kujilimbikizia Mali ila ulikufa wakati ukitamani kila raia wa Taifa la Tz mwenye nguvu na afya afaidi national cake. Pamoja maneno ni mengi kuliko ukweli ila siku na miaka vitauweka huu ukweli wazi kwa kila Raia wa Tanzania.
Umeacha Cheche na miale nikali ya Moto ktk kila taasisi. Umeacha vijana na wazee ambao kwa nafasi zao na uwezo wao hawato lala mpaka mission ikamilike.
Umewaacha kila mmoja anasema lake akifikiri ndio maazimio kumbe mtego wa panya.
Umeacha Taasisi imara na idara zetu zakiusalama ktk ubora hakuna mtu anaweza juwa kesho itakavyo kuwa.
Baba hujalala ila umepumzika kama ilivyo kawaida ya kila mwanadam. Wapumbavu wachache ndio wanafikiri umekufa ila yajayo ya nafurahisha wapo wana amini kifo chako ndio mwisho wakazi uliikuta pale ikulu. Kumbe sivyo. Yani ndio kwanza kumekucha.
Kwanini uvishwe ubaya kwa kazi ilipangwa ktk usiri na wakamtafuta mtu wakuifanya wakakuona wewe leo wewe ndio mbaya?
Nahapa ndipo lile neno Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila mazuri. Maana baya yalikiwa ni operation ambazo hakuna mtu atakuja sema hapa basi ni Bora kufunga midomo.
Amen
Samia alipoutangazia Umma kuwa ana habari kutoka Hospitali ya Mzena.
View attachment 2381813View attachment 2381815
Uongo mbaya nilisali kwanza halafu nikaagiza Bapa kisha nikaingia Jf.
Kwamba yajayo yanafurahisha.Najuwa umelala lakini roho yako haijalala. Yes najuwa roho yako haijalala. Najuwa Kuna watu walifurahia kifo chako mpaka wakasimama nakusema alidhani yeye ni Mungu lakini sasa wote wapo ktk vyumba wanalia kila wanapo juwa ukweli na sio kuujuwa ukweli ila kupewa full secret mission which while ye work on it you die.
Hukulala hukusinzia na pale uliambiwa ulale ulisema silali nitafika kwenye kiti nikiwatumikia watanzania.
Jambo kweli lilitokea ktk usiku mzito ukiwatumikia watanzania.
Nadharia nyingi zimesemwa ila kauli yako ya mwisho na Yale maneno kuwa walikuwekea sumu wakati fulani kwa unoko wako wakati fulani mahali fulani ukiwa waziri hii kauli itakitesa chama na kama tamaa na ulafi wakujilimbikizia mali hautowatoka jambo zito litalikumba Taifa.
Maneno yako ya mwisho yatakuwa mzimu mwingine kama wa Hayati Sokoine. Yes Wewe sasa utakuwa Sokoine ila kama Rais. Kumbukizi na masanamu yatapangwa na watu kukosa usingizi kila wakikumbuka maneno uliyasema.
Maneno yako yamekuwa zaidi ya siri zaidi ya vito vya thamani vilivyowekewa ulinzi mkali zaid duniani.
Hukufa ukitaka kujilimbikizia Mali ila ulikufa wakati ukitamani kila raia wa Taifa la Tz mwenye nguvu na afya afaidi national cake. Pamoja maneno ni mengi kuliko ukweli ila siku na miaka vitauweka huu ukweli wazi kwa kila Raia wa Tanzania.
Umeacha Cheche na miale nikali ya Moto ktk kila taasisi. Umeacha vijana na wazee ambao kwa nafasi zao na uwezo wao hawato lala mpaka mission ikamilike.
Umewaacha kila mmoja anasema lake akifikiri ndio maazimio kumbe mtego wa panya.
Umeacha Taasisi imara na idara zetu zakiusalama ktk ubora hakuna mtu anaweza juwa kesho itakavyo kuwa.
Baba hujalala ila umepumzika kama ilivyo kawaida ya kila mwanadam. Wapumbavu wachache ndio wanafikiri umekufa ila yajayo ya nafurahisha wapo wana amini kifo chako ndio mwisho wakazi uliikuta pale ikulu. Kumbe sivyo. Yani ndio kwanza kumekucha.
Kwanini uvishwe ubaya kwa kazi ilipangwa ktk usiri na wakamtafuta mtu wakuifanya wakakuona wewe leo wewe ndio mbaya?
Nahapa ndipo lile neno Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila mazuri. Maana baya yalikiwa ni operation ambazo hakuna mtu atakuja sema hapa basi ni Bora kufunga midomo.
Amen
The evils remains with you the good comes back to you !! Hiyo ndio Karma !! Tusubiri tuone. !!Sikatai ulichoandika ila,umekua biased, shuleni tulijifunza kujadili jambo lazima ugusie Pisitive and negative. MAGUFULI ALIFANYA MENGI MAZURI ILA ALIFANYA MABAYA ZAIDI.Kwa mfano tu kuiba uchaguzi ule na watu kuokotwa kwenye viloba haya mtanzania mwenye akili timamu hata yasahau. PUMZIKA KWA AMANI KAMA ULITENDA MEMA ILA MABAYA YAkuUUNGuZe.