Hayati Baba Magufuli najua hujalala mpaka yalio andikwa yatimie (Utabiri)

Hayati Baba Magufuli najua hujalala mpaka yalio andikwa yatimie (Utabiri)

Labda Magufuli mwingine,lakini yule yuliyemzika Chato hana sifa hizo unazomwagia.

Magufuli wa Chato aliharibu mifumo yote ya utawala.

Magufuli aliharibu uchaguzi
Magufuli aliharibu Bunge
Magufuli aliharibu TISS
Magufuli aliharibu Mahakama
Magufuli alidanganya waTZ kwamba maradi yote inaendeshwa na fedha zetu wenyewe.
Magufuli aliteka wale wote waliompinga
Magufuli aliipendelea Chato kuliko Tanzania.
Aisee! Wewe unasema ukweli! Mungu wa mbinguni akubariki Sana! Yule muuaji!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
R.I.P Dr. Magufuli.

Mawazo yako bado yanaishi.

Tunasheherekea utendaji wako kwa Taifa hili kila siku tunapokutana na miradi uliyoipigania.
Huyo shetani wako alikuwa anaiba kupitia miradi na aliwatumia sana Kijazi na Mfugale!
 
Najuwa umelala lakini roho yako haijalala. Yes najuwa roho yako haijalala. Najuwa Kuna watu walifurahia kifo chako mpaka wakasimama nakusema alidhani yeye ni Mungu lakini sasa wote wapo ktk vyumba wanalia kila wanapo juwa ukweli na sio kuujuwa ukweli ila kupewa full secret mission which while ye work on it you die.
Hukulala hukusinzia na pale uliambiwa ulale ulisema silali nitafika kwenye kiti nikiwatumikia watanzania.
Jambo kweli lilitokea ktk usiku mzito ukiwatumikia watanzania.

Nadharia nyingi zimesemwa ila kauli yako ya mwisho na Yale maneno kuwa walikuwekea sumu wakati fulani kwa unoko wako wakati fulani mahali fulani ukiwa waziri hii kauli itakitesa chama na kama tamaa na ulafi wakujilimbikizia mali hautowatoka jambo zito litalikumba Taifa.

Maneno yako ya mwisho yatakuwa mzimu mwingine kama wa Hayati Sokoine. Yes Wewe sasa utakuwa Sokoine ila kama Rais. Kumbukizi na masanamu yatapangwa na watu kukosa usingizi kila wakikumbuka maneno uliyasema.

Maneno yako yamekuwa zaidi ya siri zaidi ya vito vya thamani vilivyowekewa ulinzi mkali zaid duniani.
Hukufa ukitaka kujilimbikizia Mali ila ulikufa wakati ukitamani kila raia wa Taifa la Tz mwenye nguvu na afya afaidi national cake. Pamoja maneno ni mengi kuliko ukweli ila siku na miaka vitauweka huu ukweli wazi kwa kila Raia wa Tanzania.

Umeacha Cheche na miale nikali ya Moto ktk kila taasisi. Umeacha vijana na wazee ambao kwa nafasi zao na uwezo wao hawato lala mpaka mission ikamilike.

Umewaacha kila mmoja anasema lake akifikiri ndio maazimio kumbe mtego wa panya.

Umeacha Taasisi imara na idara zetu zakiusalama ktk ubora hakuna mtu anaweza juwa kesho itakavyo kuwa.

Baba hujalala ila umepumzika kama ilivyo kawaida ya kila mwanadam. Wapumbavu wachache ndio wanafikiri umekufa ila yajayo ya nafurahisha wapo wana amini kifo chako ndio mwisho wakazi uliikuta pale ikulu. Kumbe sivyo. Yani ndio kwanza kumekucha.

Kwanini uvishwe ubaya kwa kazi ilipangwa ktk usiri na wakamtafuta mtu wakuifanya wakakuona wewe leo wewe ndio mbaya?

Nahapa ndipo lile neno Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila mazuri. Maana baya yalikiwa ni operation ambazo hakuna mtu atakuja sema hapa basi ni Bora kufunga midomo.

Amen
Opposer side The Sunk Cost Fallacy
 
Thread za kumkumbuka zimekuwa nyingi sana.
Yuaja DICTATOR mwingine aina ya maguu, mwenye maono, uthubutu, bt atakuwa na BUSARA, hatokurupuka .

DEMOKRASIA Kwa watu wasiostaarabika, ELIMU duni ni mzigo Kwa TAIFA.

Yaani vijana waamue wenyewe KAZI kiaminio iwe BETTING Badala ya Kilimo uvuvi na ujasiriamali ndo uite DEMOKRASIA!!!!

By the way DEMOCRACY means DEMON CRACIE. Uhuru wa KIPEPO.

DEMOKRASIA yafaa sana ikiwa watu Watajitambua, wakiwa na Elimu Bora, wenye uhuru wa Kifikra, yaani wasio tegemezi kiuchumi.

tuwe na AKIBA ya maneno.

Ameeeen.
 
Huu mjadala wa jiwe ungefungwa tu maana ni mjadala unaochefua. Unawezaje kumkumbuka mtu aliyekuwa anawafunga watu wanaoendesha uchumi wa nchi na kuwakumbatia wamachinga? Tumheshimu tu kama mtu aliyewahi kuwa rais ila kuanza kujaza chumvi za kumsifia inakera sana.
Ni kweli aliwafunga akina Singasinga wa IPTL ila Sasa wapo huru na watarudi kupiga B za watanzania kwa siku
 
JPM ALIKUWA RAIS BORA SANA KUWAHI KUTOKEA , wengi mnaopinga mnatatzo la Afya ya Akili.
 
Ni kweli aliwafunga akina Singasinga wa IPTL ila Sasa wapo huru na watarudi kupiga B za watanzania kwa siku
Manjjii alistuka mapemaa akaamua kutorudi maana hakipo kilichobadilika.

Lisu naye sijui anasubiri uchaguzi ukaribie ndo arudi!!!
 
Sikatai ulichoandika ila,umekua biased, shuleni tulijifunza kujadili jambo lazima ugusie Pisitive and negative. MAGUFULI ALIFANYA MENGI MAZURI ILA ALIFANYA MABAYA ZAIDI.Kwa mfano tu kuiba uchaguzi ule na watu kuokotwa kwenye viloba haya mtanzania mwenye akili timamu hata yasahau. PUMZIKA KWA AMANI KAMA ULITENDA MEMA ILA MABAYA YAkuUUNGuZe.
1. We unaamini lissu alishinda uchaguzi ule kwa akili ya kawaida tu ya chekechekea?

2. Unasema viroba viliokotwa, ni sawa ila jiulize baada ya viriba kumalizika kuokotwa ulisikia tena magaidi wa kibiti, mkuranga, mwanza na kule tanga waliijificha maeneo ya Pangani?
Umejiuliza wale jamaa wasingemalizwa na ama wengine kukimbilia msumbiji ambapo wameuteka mkoa mzima wa cabo delgado je Dar salaam ingesalimika?

Kutokuwa na taarifa napo ni ujinga pia.
 
Sawa mtabili
Ila jua tu jiwe ni marehemu alishakufa akaoza na ata wakikufungulia jeneza lake ananuka na huwezi kaa nae krb japo unampenda mungu mtu wako huyo
Cha msingi jipangeni miaka50 ijayo ndo tutakuja kupara rais wa hovyo km yeye ila saiv CCM na watanzania wamejifunza atutachagua tena kichaa wala mpungufu wa akili
 
Labda Magufuli mwingine,lakini yule yuliyemzika Chato hana sifa hizo unazomwagia.

Magufuli wa Chato aliharibu mifumo yote ya utawala.

Magufuli aliharibu uchaguzi
Magufuli aliharibu Bunge
Magufuli aliharibu TISS
Magufuli aliharibu Mahakama
Magufuli alidanganya waTZ kwamba maradi yote inaendeshwa na fedha zetu wenyewe.
Magufuli aliteka wale wote waliompinga
Magufuli aliipendelea Chato kuliko Tanzania.
Huyu ndiobmagufuli sema mpenda chongo uona kengeza....
Kipindi anafariki Kuna mtu mmoja na cheo chake alilia karibu yangu halafu akanitizima mi nikamtumbulia macho tu mara naona anafuta machozi anatabasamu nikajisemea moyoni unaleta sanaa jumba sanaa.
 
Najuwa umelala lakini roho yako haijalala. Yes najuwa roho yako haijalala. Najuwa Kuna watu walifurahia kifo chako mpaka wakasimama nakusema alidhani yeye ni Mungu lakini sasa wote wapo ktk vyumba wanalia kila wanapo juwa ukweli na sio kuujuwa ukweli ila kupewa full secret mission which while ye work on it you die.
Hukulala hukusinzia na pale uliambiwa ulale ulisema silali nitafika kwenye kiti nikiwatumikia watanzania.
Jambo kweli lilitokea ktk usiku mzito ukiwatumikia watanzania.

Nadharia nyingi zimesemwa ila kauli yako ya mwisho na Yale maneno kuwa walikuwekea sumu wakati fulani kwa unoko wako wakati fulani mahali fulani ukiwa waziri hii kauli itakitesa chama na kama tamaa na ulafi wakujilimbikizia mali hautowatoka jambo zito litalikumba Taifa.

Maneno yako ya mwisho yatakuwa mzimu mwingine kama wa Hayati Sokoine. Yes Wewe sasa utakuwa Sokoine ila kama Rais. Kumbukizi na masanamu yatapangwa na watu kukosa usingizi kila wakikumbuka maneno uliyasema.

Maneno yako yamekuwa zaidi ya siri zaidi ya vito vya thamani vilivyowekewa ulinzi mkali zaid duniani.
Hukufa ukitaka kujilimbikizia Mali ila ulikufa wakati ukitamani kila raia wa Taifa la Tz mwenye nguvu na afya afaidi national cake. Pamoja maneno ni mengi kuliko ukweli ila siku na miaka vitauweka huu ukweli wazi kwa kila Raia wa Tanzania.

Umeacha Cheche na miale nikali ya Moto ktk kila taasisi. Umeacha vijana na wazee ambao kwa nafasi zao na uwezo wao hawato lala mpaka mission ikamilike.

Umewaacha kila mmoja anasema lake akifikiri ndio maazimio kumbe mtego wa panya.

Umeacha Taasisi imara na idara zetu zakiusalama ktk ubora hakuna mtu anaweza juwa kesho itakavyo kuwa.

Baba hujalala ila umepumzika kama ilivyo kawaida ya kila mwanadam. Wapumbavu wachache ndio wanafikiri umekufa ila yajayo ya nafurahisha wapo wana amini kifo chako ndio mwisho wakazi uliikuta pale ikulu. Kumbe sivyo. Yani ndio kwanza kumekucha.

Kwanini uvishwe ubaya kwa kazi ilipangwa ktk usiri na wakamtafuta mtu wakuifanya wakakuona wewe leo wewe ndio mbaya?

Nahapa ndipo lile neno Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila mazuri. Maana baya yalikiwa ni operation ambazo hakuna mtu atakuja sema hapa basi ni Bora kufunga midomo.

Amen
Kamfufue mkuu
 
Najuwa umelala lakini roho yako haijalala. Yes najuwa roho yako haijalala. Najuwa Kuna watu walifurahia kifo chako mpaka wakasimama nakusema alidhani yeye ni Mungu lakini sasa wote wapo ktk vyumba wanalia kila wanapo juwa ukweli na sio kuujuwa ukweli ila kupewa full secret mission which while ye work on it you die.
Hukulala hukusinzia na pale uliambiwa ulale ulisema silali nitafika kwenye kiti nikiwatumikia watanzania.
Jambo kweli lilitokea ktk usiku mzito ukiwatumikia watanzania.

Nadharia nyingi zimesemwa ila kauli yako ya mwisho na Yale maneno kuwa walikuwekea sumu wakati fulani kwa unoko wako wakati fulani mahali fulani ukiwa waziri hii kauli itakitesa chama na kama tamaa na ulafi wakujilimbikizia mali hautowatoka jambo zito litalikumba Taifa.

Maneno yako ya mwisho yatakuwa mzimu mwingine kama wa Hayati Sokoine. Yes Wewe sasa utakuwa Sokoine ila kama Rais. Kumbukizi na masanamu yatapangwa na watu kukosa usingizi kila wakikumbuka maneno uliyasema.

Maneno yako yamekuwa zaidi ya siri zaidi ya vito vya thamani vilivyowekewa ulinzi mkali zaid duniani.
Hukufa ukitaka kujilimbikizia Mali ila ulikufa wakati ukitamani kila raia wa Taifa la Tz mwenye nguvu na afya afaidi national cake. Pamoja maneno ni mengi kuliko ukweli ila siku na miaka vitauweka huu ukweli wazi kwa kila Raia wa Tanzania.

Umeacha Cheche na miale nikali ya Moto ktk kila taasisi. Umeacha vijana na wazee ambao kwa nafasi zao na uwezo wao hawato lala mpaka mission ikamilike.

Umewaacha kila mmoja anasema lake akifikiri ndio maazimio kumbe mtego wa panya.

Umeacha Taasisi imara na idara zetu zakiusalama ktk ubora hakuna mtu anaweza juwa kesho itakavyo kuwa.

Baba hujalala ila umepumzika kama ilivyo kawaida ya kila mwanadam. Wapumbavu wachache ndio wanafikiri umekufa ila yajayo ya nafurahisha wapo wana amini kifo chako ndio mwisho wakazi uliikuta pale ikulu. Kumbe sivyo. Yani ndio kwanza kumekucha.

Kwanini uvishwe ubaya kwa kazi ilipangwa ktk usiri na wakamtafuta mtu wakuifanya wakakuona wewe leo wewe ndio mbaya?

Nahapa ndipo lile neno Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila mazuri. Maana baya yalikiwa ni operation ambazo hakuna mtu atakuja sema hapa basi ni Bora kufunga midomo.

Amen
Samia alipoutangazia Umma kuwa ana habari kutoka Hospitali ya Mzena.

View attachment 2381813View attachment 2381815

Uongo mbaya nilisali kwanza halafu nikaagiza Bapa kisha nikaingia Jf.

Najuwa umelala lakini roho yako haijalala. Yes najuwa roho yako haijalala. Najuwa Kuna watu walifurahia kifo chako mpaka wakasimama nakusema alidhani yeye ni Mungu lakini sasa wote wapo ktk vyumba wanalia kila wanapo juwa ukweli na sio kuujuwa ukweli ila kupewa full secret mission which while ye work on it you die.
Hukulala hukusinzia na pale uliambiwa ulale ulisema silali nitafika kwenye kiti nikiwatumikia watanzania.
Jambo kweli lilitokea ktk usiku mzito ukiwatumikia watanzania.

Nadharia nyingi zimesemwa ila kauli yako ya mwisho na Yale maneno kuwa walikuwekea sumu wakati fulani kwa unoko wako wakati fulani mahali fulani ukiwa waziri hii kauli itakitesa chama na kama tamaa na ulafi wakujilimbikizia mali hautowatoka jambo zito litalikumba Taifa.

Maneno yako ya mwisho yatakuwa mzimu mwingine kama wa Hayati Sokoine. Yes Wewe sasa utakuwa Sokoine ila kama Rais. Kumbukizi na masanamu yatapangwa na watu kukosa usingizi kila wakikumbuka maneno uliyasema.

Maneno yako yamekuwa zaidi ya siri zaidi ya vito vya thamani vilivyowekewa ulinzi mkali zaid duniani.
Hukufa ukitaka kujilimbikizia Mali ila ulikufa wakati ukitamani kila raia wa Taifa la Tz mwenye nguvu na afya afaidi national cake. Pamoja maneno ni mengi kuliko ukweli ila siku na miaka vitauweka huu ukweli wazi kwa kila Raia wa Tanzania.

Umeacha Cheche na miale nikali ya Moto ktk kila taasisi. Umeacha vijana na wazee ambao kwa nafasi zao na uwezo wao hawato lala mpaka mission ikamilike.

Umewaacha kila mmoja anasema lake akifikiri ndio maazimio kumbe mtego wa panya.

Umeacha Taasisi imara na idara zetu zakiusalama ktk ubora hakuna mtu anaweza juwa kesho itakavyo kuwa.

Baba hujalala ila umepumzika kama ilivyo kawaida ya kila mwanadam. Wapumbavu wachache ndio wanafikiri umekufa ila yajayo ya nafurahisha wapo wana amini kifo chako ndio mwisho wakazi uliikuta pale ikulu. Kumbe sivyo. Yani ndio kwanza kumekucha.

Kwanini uvishwe ubaya kwa kazi ilipangwa ktk usiri na wakamtafuta mtu wakuifanya wakakuona wewe leo wewe ndio mbaya?

Nahapa ndipo lile neno Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila mazuri. Maana baya yalikiwa ni operation ambazo hakuna mtu atakuja sema hapa basi ni Bora kufunga midomo.

Amen
Kwamba yajayo yanafurahisha.

Nani atulete pamoja Kwa maridhiano ya kitaifa, Ili Tuombee TOBA Nchi ipone!!!!

Wazee tunaowategemea wanaosema hawatosahau siku walipokutana na RIHANNA na WACCO JACCO!!!
 
Sikatai ulichoandika ila,umekua biased, shuleni tulijifunza kujadili jambo lazima ugusie Pisitive and negative. MAGUFULI ALIFANYA MENGI MAZURI ILA ALIFANYA MABAYA ZAIDI.Kwa mfano tu kuiba uchaguzi ule na watu kuokotwa kwenye viloba haya mtanzania mwenye akili timamu hata yasahau. PUMZIKA KWA AMANI KAMA ULITENDA MEMA ILA MABAYA YAkuUUNGuZe.
The evils remains with you the good comes back to you !! Hiyo ndio Karma !! Tusubiri tuone. !!
 
Back
Top Bottom