Hayati Baba Magufuli najua hujalala mpaka yalio andikwa yatimie (Utabiri)

Hayati Baba Magufuli najua hujalala mpaka yalio andikwa yatimie (Utabiri)

Najuwa umelala lakini roho yako haijalala. Yes najuwa roho yako haijalala. Najuwa Kuna watu walifurahia kifo chako mpaka wakasimama nakusema alidhani yeye ni Mungu lakini sasa wote wapo ktk vyumba wanalia kila wanapo juwa ukweli na sio kuujuwa ukweli ila kupewa full secret mission which while ye work on it you die.
Hukulala hukusinzia na pale uliambiwa ulale ulisema silali nitafika kwenye kiti nikiwatumikia watanzania.
Jambo kweli lilitokea ktk usiku mzito ukiwatumikia watanzania.

Nadharia nyingi zimesemwa ila kauli yako ya mwisho na Yale maneno kuwa walikuwekea sumu wakati fulani kwa unoko wako wakati fulani mahali fulani ukiwa waziri hii kauli itakitesa chama na kama tamaa na ulafi wakujilimbikizia mali hautowatoka jambo zito litalikumba Taifa.

Maneno yako ya mwisho yatakuwa mzimu mwingine kama wa Hayati Sokoine. Yes Wewe sasa utakuwa Sokoine ila kama Rais. Kumbukizi na masanamu yatapangwa na watu kukosa usingizi kila wakikumbuka maneno uliyasema.

Maneno yako yamekuwa zaidi ya siri zaidi ya vito vya thamani vilivyowekewa ulinzi mkali zaid duniani.
Hukufa ukitaka kujilimbikizia Mali ila ulikufa wakati ukitamani kila raia wa Taifa la Tz mwenye nguvu na afya afaidi national cake. Pamoja maneno ni mengi kuliko ukweli ila siku na miaka vitauweka huu ukweli wazi kwa kila Raia wa Tanzania.

Umeacha Cheche na miale nikali ya Moto ktk kila taasisi. Umeacha vijana na wazee ambao kwa nafasi zao na uwezo wao hawato lala mpaka mission ikamilike.

Umewaacha kila mmoja anasema lake akifikiri ndio maazimio kumbe mtego wa panya.

Umeacha Taasisi imara na idara zetu zakiusalama ktk ubora hakuna mtu anaweza juwa kesho itakavyo kuwa.

Baba hujalala ila umepumzika kama ilivyo kawaida ya kila mwanadam. Wapumbavu wachache ndio wanafikiri umekufa ila yajayo ya nafurahisha wapo wana amini kifo chako ndio mwisho wakazi uliikuta pale ikulu. Kumbe sivyo. Yani ndio kwanza kumekucha.

Kwanini uvishwe ubaya kwa kazi ilipangwa ktk usiri na wakamtafuta mtu wakuifanya wakakuona wewe leo wewe ndio mbaya?

Nahapa ndipo lile neno Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila mazuri. Maana baya yalikiwa ni operation ambazo hakuna mtu atakuja sema hapa basi ni Bora kufunga midomo.

Amen
Mkuu inabidi ukapimwe afya ya akili
 
Kuna unabii unasema:

Jiwe ndo kiongozi wa mwisho SECULAR, yaani wa kupigiwa kura.

Ngoja tusubiri ajaye ataingia Kwa Utaratibu upi!!!!
Ina Maana viongozi wajao wataingiaje Ikulu kama ni Hivyo!!?

Kama Trump kule USA!?

Sijaelelwa hapo!!
 
Najuwa umelala lakini roho yako haijalala. Yes najuwa roho yako haijalala. Najuwa Kuna watu walifurahia kifo chako mpaka wakasimama nakusema alidhani yeye ni Mungu lakini sasa wote wapo ktk vyumba wanalia kila wanapo juwa ukweli na sio kuujuwa ukweli ila kupewa full secret mission which while ye work on it you die.
Hukulala hukusinzia na pale uliambiwa ulale ulisema silali nitafika kwenye kiti nikiwatumikia watanzania.
Jambo kweli lilitokea ktk usiku mzito ukiwatumikia watanzania.

Nadharia nyingi zimesemwa ila kauli yako ya mwisho na Yale maneno kuwa walikuwekea sumu wakati fulani kwa unoko wako wakati fulani mahali fulani ukiwa waziri hii kauli itakitesa chama na kama tamaa na ulafi wakujilimbikizia mali hautowatoka jambo zito litalikumba Taifa.

Maneno yako ya mwisho yatakuwa mzimu mwingine kama wa Hayati Sokoine. Yes Wewe sasa utakuwa Sokoine ila kama Rais. Kumbukizi na masanamu yatapangwa na watu kukosa usingizi kila wakikumbuka maneno uliyasema.

Maneno yako yamekuwa zaidi ya siri zaidi ya vito vya thamani vilivyowekewa ulinzi mkali zaid duniani.
Hukufa ukitaka kujilimbikizia Mali ila ulikufa wakati ukitamani kila raia wa Taifa la Tz mwenye nguvu na afya afaidi national cake. Pamoja maneno ni mengi kuliko ukweli ila siku na miaka vitauweka huu ukweli wazi kwa kila Raia wa Tanzania.

Umeacha Cheche na miale nikali ya Moto ktk kila taasisi. Umeacha vijana na wazee ambao kwa nafasi zao na uwezo wao hawato lala mpaka mission ikamilike.

Umewaacha kila mmoja anasema lake akifikiri ndio maazimio kumbe mtego wa panya.

Umeacha Taasisi imara na idara zetu zakiusalama ktk ubora hakuna mtu anaweza juwa kesho itakavyo kuwa.

Baba hujalala ila umepumzika kama ilivyo kawaida ya kila mwanadam. Wapumbavu wachache ndio wanafikiri umekufa ila yajayo ya nafurahisha wapo wana amini kifo chako ndio mwisho wakazi uliikuta pale ikulu. Kumbe sivyo. Yani ndio kwanza kumekucha.

Kwanini uvishwe ubaya kwa kazi ilipangwa ktk usiri na wakamtafuta mtu wakuifanya wakakuona wewe leo wewe ndio mbaya?

Nahapa ndipo lile neno Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila mazuri. Maana baya yalikiwa ni operation ambazo hakuna mtu atakuja sema hapa basi ni Bora kufunga midomo.

Amen
Hapo kweny kutuachia taasis imara 🤣🤣 be serious mzee. Tanzania haijawah kua na taasis imara ✔️
 
Magu was a Conman... alifanikiwa tu kucheza na akili za walalahoi na wajinga ambao ndo wengi Tanzania.

Mimi mpaka sasa sielewi huo uzuri aliouleta Magu Tanzania ni upi.
 
Labda Magufuli mwingine,lakini yule yuliyemzika Chato hana sifa hizo unazomwagia.

Magufuli wa Chato aliharibu mifumo yote ya utawala.

Magufuli aliharibu uchaguzi
Magufuli aliharibu Bunge
Magufuli aliharibu TISS
Magufuli aliharibu Mahakama
Magufuli alidanganya waTZ kwamba maradi yote inaendeshwa na fedha zetu wenyewe.
Magufuli aliteka wale wote waliompinga
Magufuli aliipendelea Chato kuliko Tanzania.
Hahaha ni mwendawazimu tu ndio anayeweza kusema haya...najua unasema lakin moyoni mwako Mungu anajua unakusuta.. fanya hivi jaribu kupiga kura ya maoni ya mawazo yako hayo yaliyooza kwa watanzania.uone matokeo yake..Muulize hata Mangi Kimambwe akusaidie.. utaaibika buree. Jomba...mtumbuliwaji wa ufisadi na wizi wa Mali ya umma..pole jomba
 
Magu was a Conman... alifanikiwa tu kucheza na akili za walalahoi na wajinga ambao ndo wengi Tanzania.

Mimi mpaka sasa sielewi huo uzuri aliouleta Magu Tanzania ni upi.
Rais wetu mchapa kazi SSH ni moja ya matunda mazuri aliotuachia mzee..sijui unasemaje...utaumbuka jombaa
 
Labda Magufuli mwingine,lakini yule yuliyemzika Chato hana sifa hizo unazomwagia.

Magufuli wa Chato aliharibu mifumo yote ya utawala.

Magufuli aliharibu uchaguzi
Magufuli aliharibu Bunge
Magufuli aliharibu TISS
Magufuli aliharibu Mahakama
Magufuli alidanganya waTZ kwamba maradi yote inaendeshwa na fedha zetu wenyewe.
Magufuli aliteka wale wote waliompinga
Magufuli aliipendelea Chato kuliko Tanzania.
Ongezea magufuli aliharibu barabara,magufuli aliharibu nidhamu katika utumishi wa umma,magufuli aliharibu sekta ya usafiri wa anga...Magufuli aliharibu
 
Huyu ndiobmagufuli sema mpenda chongo uona kengeza....
Kipindi anafariki Kuna mtu mmoja na cheo chake alilia karibu yangu halafu akanitizima mi nikamtumbulia macho tu mara naona anafuta machozi anatabasamu nikajisemea moyoni unaleta sanaa jumba sanaa.
Walikua wanalia kinafiki
 
Labda Magufuli mwingine,lakini yule yuliyemzika Chato hana sifa hizo unazomwagia.

Magufuli wa Chato aliharibu mifumo yote ya utawala.

Magufuli aliharibu uchaguzi
Magufuli aliharibu Bunge
Magufuli aliharibu TISS
Magufuli aliharibu Mahakama
Magufuli alidanganya waTZ kwamba maradi yote inaendeshwa na fedha zetu wenyewe.
Magufuli aliteka wale wote waliompinga
Magufuli aliipendelea Chato kuliko Tanzania.
Na Kuna sifa kama mbili hapo umezisahau....
 
Ile kufuru aliyoifanya Magufuli uwanja wa Jamhuri ndio iliyomuondoa. Huwezi kufanya ule ujinga halafu ukaishi.
Na ile kufuru ya kulala na Mafaili kitandani badala ya first lady.

Kupiga chafya usiku kucha.
 
Back
Top Bottom