Hayati Dkt. John Magufuli alikuwa na Unique Style of Leadership

Hayati Dkt. John Magufuli alikuwa na Unique Style of Leadership

muzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2016
Posts
1,041
Reaction score
1,457
Legacy ya JPM itadumu sana, so far tangu kuzaliwa Tanganyika Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere ndo na Hayati John Pombe Joseph Magufuli ndo maraisi pekee ambao watakumbukwa sana katika historia ya nchi hii. Pamoja na sababu nyingi ikiwemo kutetea wanyonge na kuataka Tanzania isonge mbele kimaendeleo kwa kuhakikisha rasilimali inanufaisha watu wote. Ni mtu ambaye amekuwa akijichanganya na watu wa kila aina.

Pamoja kuwa Rais bado yeye na familia yake wamekuwa wakiishi maisha ya kawaida sana pasipo kujiinua, pamoja na mapungufu machanche ya kujiiinua kama personality badala ya kuimarisha taasisi kwa kipindi kifupi amekuwa taaa na mwanga kwa alipotufikisha. Aliweza kutoa majibu ya hapo kwa hapo kulingana na shida za wananchi. Kwake mabo ya machakato na process haikuwa na nafasi katika utawala wake.

Rest in peace Hard Rock, chuma imara, Mungu akulaze mahala pema panapostahili peponi kulingana na matendo yako.
 
Alichofanikiwa zaidi ni kutengeneza mfumo wa kusiwa yeye tu! Magazeti, redio na TV vilipigwa pini ili kumsifu yeye! Angeruhusu na madhaifu yake yatangazwe na yabainishwe kwa raia sidhani kama ungetuandikia pambio kama hili! R.I.P JPM ulifanya yako kama walivyofanya watangulizi wako
 
20210328_090429.jpg
 
Legacy ya JPM itadumu sana, so far tangu kuzaliwa Tanganyika Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere ndo na Hayati John Pombe Joseph Magufuli ndo maraisi pekee ambao watakumbukwa sana katika historia ya nchi hii. Pamoja na sababu nyingi ikiwemo kutetea wanyonge na kuataka Tanzania isonge mbele kimaendeleo kwa kuhakikisha rasilimali inanufaisha watu wote. Ni mtu ambaye amekuwa akijichanganya na watu wa kila aina.

Pamoja kuwa Rais bado yeye na familia yake wamekuwa wakiishi maisha ya kawaida sana pasipo kujiinua, pamoja na mapungufu machanche ya kujiiinua kama personality badala ya kuimarisha taasisi kwa kipindi kifupi amekuwa taaa na mwanga kwa alipotufikisha. Aliweza kutoa majibu ya hapo kwa hapo kulingana na shida za wananchi. Kwake mabo ya machakato na process haikuwa na nafasi katika utawala wake.

Rest in peace Hard Rock, chuma imara, Mungu akulaze mahala pema panapostahili peponi kulingana na matendo yako.
JamiiForums-1564345080.jpg
 
Alichofanikiwa zaidi ni kutengeneza mfumo wa kusiwa yeye tu! Magazeti, redio na TV vilipigwa pini ili kumsifu yeye! Angeruhusu na madhaifu yake yatangazwe na yabainishwe kwa raia sidhani kama ungetuandikia pambio kama hili! R.I.P JPM ulifanya yako kama walivyofanya watangulizi wako
We jamaa una roho mbaya sana na ubaya wa roho yako utakutesa wewe mwenyewe.
 
Legacy ya JPM itadumu sana, so far tangu kuzaliwa Tanganyika Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere ndo na Hayati John Pombe Joseph Magufuli ndo maraisi pekee ambao watakumbukwa sana katika historia ya nchi hii. Pamoja na sababu nyingi ikiwemo kutetea wanyonge na kuataka Tanzania isonge mbele kimaendeleo kwa kuhakikisha rasilimali inanufaisha watu wote. Ni mtu ambaye amekuwa akijichanganya na watu wa kila aina.

Pamoja kuwa Rais bado yeye na familia yake wamekuwa wakiishi maisha ya kawaida sana pasipo kujiinua, pamoja na mapungufu machanche ya kujiiinua kama personality badala ya kuimarisha taasisi kwa kipindi kifupi amekuwa taaa na mwanga kwa alipotufikisha. Aliweza kutoa majibu ya hapo kwa hapo kulingana na shida za wananchi. Kwake mabo ya machakato na process haikuwa na nafasi katika utawala wake.

Rest in peace Hard Rock, chuma imara, Mungu akulaze mahala pema panapostahili peponi kulingana na matendo yako.
Kwa hiyo tufanyaje sasa?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Magufuli ana mengi mazuri aliyotuachia ikiwemo:
  • Mapambano ya rushwa na ufisadi,
  • Ulinzi wa rasilimali,
  • Nidhamu serikalini na
  • Dhana ya Kujitegemea ambavyo ni lazima vienziwe
Pia kuna mengine mapungufu lakini hayo hapo juu imetuweka kwenye mstari mnyoofu
 
Legacy ya JPM itadumu sana, so far tangu kuzaliwa Tanganyika Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere ndo na Hayati John Pombe Joseph Magufuli ndo maraisi pekee ambao watakumbukwa sana katika historia ya nchi hii. Pamoja na sababu nyingi ikiwemo kutetea wanyonge na kuataka Tanzania isonge mbele kimaendeleo kwa kuhakikisha rasilimali inanufaisha watu wote. Ni mtu ambaye amekuwa akijichanganya na watu wa kila aina.

Pamoja kuwa Rais bado yeye na familia yake wamekuwa wakiishi maisha ya kawaida sana pasipo kujiinua, pamoja na mapungufu machanche ya kujiiinua kama personality badala ya kuimarisha taasisi kwa kipindi kifupi amekuwa taaa na mwanga kwa alipotufikisha. Aliweza kutoa majibu ya hapo kwa hapo kulingana na shida za wananchi. Kwake mabo ya machakato na process haikuwa na nafasi katika utawala wake.

Rest in peace Hard Rock, chuma imara, Mungu akulaze mahala pema panapostahili peponi kulingana na matendo yako.
Atakumbukwa kwa jinsi alivyokuwa mjuaji na kuonea watu waliokuwa hawakubaliani na mawazo yake hasa wapinzani
 
Back
Top Bottom