Kiazi weweHizo siyo sifa... Huo ni ujinga wa baadhi ya wananchi kujidhania kuwa wao ni wanyonge... Na yupo mmoja pekee ambaye atawapambania! Sifa za kijinga hizi kutoka kwa wajinga kwenda kwa wajinga!
Tunahitaji mind liberations!
Tunahitaji stronger organizations.
Hatuhitaji stronger people!
People come and go!
Strong institutions will stay to be improved!
#Shame!
Kuandika kwenyewe tu hujuwi, utaelewa kilichoandikwa kweli wewe?1. Alikuwa katili, mbabe na hasiyeshaurika.
Ofcourse. Hasa kama ulikuwa na vyeti feki, au Mkwepa kodi. Lazima cha moto utakuwa ulikiona.1. Alikuwa katili, mbabe na hasiyeshaurika.
Bora upimbi kuliko uchawa!Zisizo za kijinga ni zipi we pimbi
Ukiwa mkubwa ndo utaelewa...Kiazi wewe
We mwenyewe unaandika kijinga😂😂 njaa hizii🤣Sifa za kijinga! Ukiona unazo au unazitoa fahamu tu kuwa wewe ni mjinga!
mungu mnyonge ni wa kwako tu!! sisi tunakataa/kumkana kwa nguvu zote! tena waiz wazi nenda kamwambie! to hell na huyo mungu wako!!! Mungu wetu ana hela na nguvu zisizo za kawaida yeye aliumba Mbingu na nchi!!!Yote uliyoandika yametokea na kufanywa na viongozi mbalimbali duniani, ni MUNGU wako pekee mwenye upumbavu wa kumtumia JPM kufundisha uyasemayo, wakati si mapya hapa duniani we
Sisi tunayeamini ktk MUNGU mwema tunajua MUNGU amemtumia JPM kufundisha uzalendo wa kweli na uongozi wa kutetea wanyonge
Siku zote MUNGU yupo upande wa wanyonge
Ndiyo sasa hivi ni full bataIlikuwakuwaje wewe hukuuliwa ili hali kila kona kulitapakaa mauwaji yake??
Hao wanafunzi wa vyou kwa sasa wameondokana na khali hiyo?
Lissu alikuwa na vyeti feki au mkwepa Kodi kwa yaliyomkuta?Ofcourse. Hasa kama ulikuwa na vyeti feki, au Mkwepa kodi. Lazima cha moto utakuwa ulikiona.
Hujuwi-hujui. Ndugu wewe kweli unajuwa.Kuandika kwenyewe tu hujuwi, utaelewa kilichoandikwa kweli wewe?
Sidhani kama mtoa mada kaweka madhaifu ya Jiwe! Tunajifunza nini? Wekeni mafundisho! kwa mfano, watu kuchapa kazi wasibweteke.Mbona sasa wewe umeyaona mabaya tu mazuri hata moja hujaona?View attachment 1936728View attachment 1936730
Kwa hiyo funzo ni nini hapo?1. Alikuwa katili, mbabe na hasiyeshaurika.