Hayati Dkt. Magufuli anapohukumiwa kwa kifo chake

Pote
Potelea mbali sijaiba Cha mtu sijauwa mtu sijateka mtu sijafunga watu kwa kesi za uongo sijaikufuru Wala kuinajisi altare ya Mungu naamini mungu muumba wangu atanipa kifo Cha amani na cha heshima.
Hongera kwa kuwa mkamilifu.
 
Sasa kama hukumu anatoa Mungu wew hizi hukumu za Wananchi zinakuuma nini? Kwanini usiangalie hiyo hukumu ya Mungu ambayo bado sana na kufanya mambo yako kuliko kuonekana hayawani hapa.

tunaagizwa kuondoana ujinga kwa kufundishana.

ujinga sio kilema,mtu unamtoka akipewa elimu.
 

yeye katika mada alifanya visasi kwa nani!!!

mbona uzushi haumpendezi mtu mzima kama wewe mkuu??
 
Jamaa bonge la hayawani, anasema msihukumu huku yeye anahukumu, yale yale ya msemakweli ni mpenzi wa Mungu, lakini alikuwa akiambiwa ukweli anapiga mtu shaba
Kakimbia uzi wake, me leo ningehakikisha anamtaja aliyemtuma kuja kumsafisha huyo marehemu huku.
 
yeye katika mada alifanya visasi kwa nani!!!

mbona uzushi haumpendezi mtu mzima kama wewe mkuu??
Sasa na wewe tukufundishe kusoma aeiou! Soma uelewe ndio uje hapa acha kuruka ruka kama pop corn. Nani amesema mleta uzi ana visasi!
 
Mwendazake alitesa sana watu. Bora alienda zake
 
tunaagizwa kuondoana ujinga kwa kufundishana.

ujinga sio kilema,mtu unamtoka akipewa elimu.
Kwakweli aliyoyafanya Jiwe ilibidi achomwe moto akiwa hai. Basi tu. Huwezi kufanya uovu duniani kwa kuua, kuteka, kutesa, kusema uongo then unataka watu waseme/wasubirie hukumu ya Mungu! Lazima uvune ulichopanda. Panda mema utavuna mema ila ukipanda uovu lazima uvune uovu.
 
Ndo haya nisemayo, kufa kwa mtu ni mpango wa Mungu, hata asingekuwa Rais angekufa. Nawe utakufa!
Wewe hasa umekazana kutetea Nini? Usikumbushe watu na kuwaudhi kuhusu utawala huo MBOVU ulioacha makovu. Tuongee mengine tu tusikumbushane inaleta hasira.
 
Anzisheni movement ya kujitenga muwe na nchi yenu muiite Chato
 
Reformist Dr, John Mugufuli’s shoes will be quite difficult to fill.


They say hypocrisy is the homage that vice pays to virtue. Translation — even Lucifer will genuflect before Jesus. But don’t mistake the serpent’s ministrations with affection for his antagonist. He’s simply playing possum. That’s why President John Pombe Joseph Magufuli — should revel in the applause, but not believe it. Many who bid him adieu were only too happy to see him depart from this World. That’s because they want to return the Executive to the status quo ante. They didn’t choose him to be Predident. No — the forces of anti National resources for people centered gave him the hallowed office against the wishes of state apparatchiks. But Dr Mugufuli’s legacy will never die.


Today, I write to memorialise the meaning of the President John Pombe Joseph Magufuli Era for our nation. First, let’s not make the mistake of intellectual simpletons. We need to bow to the basic fact that Dr Magufuli is a rare breed.


But Dr Magufuli stands out in his humility and self-deprecation. He shuns wealth, and fame. In a country where thieves are celebrated, and murderers elevated — Dr Magufuli is the one public servant who forsook worldly possessions. Mark 8:38 asks: “For what shall it profit a man, if he shall gain the whole world and lose his own soul?” Methinks the author in the good book must have had Dr Magufuli in mind.


The simplicity of this Societal and moral giant is the one thing that remains an enigma to me and many. He always roots for the little guy. He abhors hierarchy and disdains flamboyance,he’s ruthlessly self-critical, and accepts the harshest critiques of himself. He always puts himself last. He’s a rare breed.


Second, folks should know that Dr Magufuli didn’t want to become President. He laughed off the idea when it was first suggested to him. He was dead serious. And even after he was convinced to put his name to apply for the job, he almost backed out. That’s because he’s uncomfortable with state power. I’ve never told him this — but I believe he thinks that state power atrophies the hearts of men and women, and turns them into predators. It’s possible that he was afraid he would become ogre in that office. That’s why he worked so hard to demystify the Executive, and bring the temple of Execuyive service delivery closer to common folk. This cultural transformation may be his most important legacy.


Third, Dr Magufuli lanced the boil in the Government. I know our Senior Public Servants chafe at the use of such language. But they – and we – know the Executive has traditionally been aloof and marked by impropriety and illegality.

It’s that boil that Dr Magufuli will be remembered for lancing. But as I remarked to him recently, one or two things can happen when you lance a boil – you can either cure or kill the patient. The septic shock can be fatal. The body can also be cleansed and nursed to health. He brought service delivery closer to the people in the remotest reaches of the republic.He revolutionised the way the public service work, and brought technology and empiricism to tame corruption, incompetence, and laziness.


He brought Goverment service and closer to the people in the remotest reaches of the republic.He revolutionised the way the Government work, and brought technology and empiricism to tame corruption, incompetence, and laziness.


Finally, I believe there will never be another JPM. President Samia as you have succeeded him hence bound by the energies that he unleashed. Those who believe that we can go back to the pre-John Pombe Joseph Magufuli Executive are sadly mistaken.


You can’t un-ring a bell that’s been rang. The concept doesn’t exist in science. The poor soul who succeeds Dr Magufuli shouldn’t try to fill his shoes. Those are too large. She needs to cure the patient. Rest in internal peace John Pombe Joseph Magufuli.


I never knew i could feel so much pain for his death and probably time will never heal this.
 
Sasa na wewe tukufundishe kusoma aeiou! Soma uelewe ndio uje hapa acha kuruka ruka kama pop corn. Nani amesema mleta uzi ana visasi!

nimeandika "yeye katika mada"

shida ni pombe bila kula au matumizi ya dundi kunusa kijana!!!!
 

sasa ni Mungu alimuua au wafuasi wa mateka!!!!

jiwe keshapumzika mkuu,kama alitekwa enzi zake nyanyua pua tena,this time wanaondoka na kichwa kabisa wala hawarembi.
 
Too long I didn't read it.
 
sasa ni Mungu alimuua au wafuasi wa mateka!!!!

jiwe keshapumzika mkuu,kama alitekwa enzi zake nyanyua pua tena,this time wanaondoka na kichwa kabisa wala hawarembi.
Mungu aliamua kuikomboa nchi, huwezi kuwa vile ukadumu. Hata kama tuliwahi kumkosea Mungu na kutuadhibu kwa kutupa jiwe lakini aliona it was too much, akatusamehe na kuliondoa jiwe.
 
Hahahahaha mtaongea mpaka Lugha ya Malkia kujaribu kumsafisha jiwe ila yule hasafishiki Kwa dodoki lolote
Kwa watu Kama sisi atabaki kua
The Mwendawazimu president ever seen under the sun of Tz
Yaani vilaza na wanyonge Ndio atabaki kua best kwenu

Mimi ni jiwe kweli kweli!
 
Mungu aliamua kuikomboa nchi, huwezi kuwa vile ukadumu. Hata kama tuliwahi kumkosea Mungu na kutuadhibu kwa kutupa jiwe lakini aliona it was too much, akatusamehe na kuliondoa jiwe.

uzuri maandishi haya hayafi.

usijimalize sana ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…