Hayati Dkt. Magufuli anapohukumiwa kwa kifo chake

Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu aliyeko motoni bila damu kumwagika.
Na wewe umejifikiria lini utaondolewa, na unajua unao wanao kuchukia hapo ulipo! Nyani haoni kundule!
 
Mkuu jibu nani aloandika vile kwamba kifo ni mpango wa Mungu?

Na usiwakataze watu kufurahia kifo cha wakala wa shetani. Furaha siyo hukumu. Hukumu ataitoa Mungu.

Na pia watu wanaimani tofauti tofauti. Tambua kuna watu hawaamini kama Mungu yupo so please kaa kwa kutulia maana wewe mwenyewe huelewi unachoandika
 
Kwani mwenzetu wewe unasoma maandiko yapi! Si ndio hayo yanayosema auaye kwa upanga atakufa kwa upanga! Si ndio hayo yamesema ole wake amwagae damu zisizokuwa na hatia! Si ndio hayo yaliyosema yaliyofungwa hapa duniani na mbinguni pia! Be serious.
Wewe hauko serious! katika ukristo hakuna kuuwa kwa upanga. Petro alipomkata sikio kwa upanga wale askari waliotumwa kumkamata Yesu, Yesu alimkemea petro na kuchua sikio lilokatwa na kuliuunga kwa yule askari.
Mafundisho ya Kikristo yanasema samehe hata saba mara sabini! Hivyo tafakari unaongelea mafunzo yapi ya dini ipi! Na wapi imeandikwa upanga kwa upanga! Be serious
 
Sasa mbona wew ndiye mwenye chuki, unasema tusihukumu ili hali unasema jamaa atakufa kifo cha ajabu. Wasukuma bhan, hata mkizeeka bado mnakuwa vile, mkipewa madaraka mnakuwa kama Jiwe.
Hiyo si chuki nakupa ukweli, ndo maana nimesema usihukumu. Neno linasema ukihukumu nawe utaukumiwa. Jenga hoja si kuleta lugha za hovyo kwangu. Humu nadani mnadhani ukija kwa matusi utaogopwa. Unavyokuja nami nakuja kihivyo! Pia usiwadharau wasukuma. Ebu nawe weka wazi kabila lako uchambuliwe!
Ondoa chuki za kikabila, huo ni ushetwani!
 
Alikuwa na mamlaka ya kuunda tume ya kijaji kufuatilia matukio haya ambayo yalikuwa na public interest, he never did that, now will you tell us the motive behind! Makosa yapo ya kutenda na kutokutenda yote yaweza kuwa makosa.
Nimeongelea kuhukumu baada yakifo, hayo ungemwambia wakati yuko hai, hayani husu. Elewa mada!
 
Hivi ni wapi kwenye biblia imeandikwa Yusufu alikuwa Waziri Mkuu?
 
Ndugu yangu wanaofurahia kifo cha Magufuli ni wale wenye Ulemavu wa Teolojia. Wanadhania Mungu yuko kupambana na kuwashikia mijeledi Wakosefu. Mungu hatendi mambo katika Context kama hiyo. Waprotestanti wanadhania ukimuombea mtu mkosefu mabaya Mungu anapokea Sala kama hizo. Magufuli alikufa Kifo cha Kawaida kama wafu wengine na si kutokana na makosa yake. Hata Asingekuwa Raisi na kutenda hayo mabaya bado angekufa tu. Na hata angetanda Mazuri hiyo isingezuia kufa kwake
 
Magufuli sio wa kutetea popote pale, watu waliteseka na bado mengi hayajulikana.
 
Nimekwambia soma mada nzima, unataka mimi ndo nikusomee! watu wengine wa ajabu! Pia kutokuwa na dini sio utenda maovu. Zamani watu wengi hawakuwa na dini, lakini walikuwa na hofu ya kuhukumu. Tazama nchi za Ulaya ambazo haziamini hakuna Mungu, uwezi ukakuta mtu ana hukumu mwezie alokufa.
Kwa nature ya binadamu anahofu, hata kama haamini Mungu lakini kuna nguvu nyingine anayo amini.
Na hakuna sheria inayozuia mtu asiongelee kile anachokiamini, mimi naamini juu ya Mungu anaishi, na alie umba mbingu na dunia. Nitamwelezea popote pale, siogopi chochote! Naamini anaukuu wa kuonesha uwezo na nguvu zake!
Hivi unadhani mimi natishwa, au katika mada mtu kuokoteza sentensi na kuanza mashambulizi. Kajipange! Mtu ambae anauelewa usoma mada nzima, si unaokoteleza kaneno ujafikia mwisho unatoa maamuzi. Huo ni uvivu wa kufikiri.
Sijali umwamini Mungu usimwamini au mwingine yoyote, nakueleza kuwa hukumu hutoa Mungu na si binadamu!
 
Hivi ni wapi kwenye biblia imeandikwa Yusufu alikuwa Waziri Mkuu?
Hiyo ni tafsiri tuu kuelezea cheo, Maake yeye ndo alikuwa mtendaji mkuu baada ya mfalme, baada ya hasimu wake kuuwawa na Yusufu kupandishwa cheo kuwa ndo mtendaji Mkuu baada ya Mfalme. Hivyo tafsri, kuwezesha watu kujua cheo chake! Unachotakiwa ni kujiongeza! Si kila neno utafuniwe.
 
Magufuli sio wa kutetea popote pale, watu waliteseka na bado mengi hayajulikana.
Ok, sasa unavyo mhukumu umepata faida gani! Zaidi unamkosea Mungu alie sema usihukumu na we ukaja hukumiwa! Watu mnashindana na marehemu, sijawahi ona akili kama hii nchi yoyote!
Ni kujifariji kusiko na fikra!
 
Kwa hiyo Mungu ndiyo aliagiza mfanye dhuruma kwenye Taifa ikiwemo kupora uchaguzi, kuteka, kutesa na kuua!

Huyo Mungu wenu ni wa kipekee sana.
 
Kuna watu awafai kuwepo kwenye Jamii iliyostaarabika inatakiwa waondolewe vibaka,wezi, wachawi, waganga, dikteta. hili kundi ndo chanzo cha shida zote kwenye Jamii.
Wakala wa shetani anapokufa sisi ufurahi
 
Mwambieni Gwajima amfufuwe, yeye si Askofu wa Ufufuo na uzima?

Tumechoka makelele yenu, Dikteta is died and buried. Fullstop.
 
Ok, sasa unavyo mhukumu umepata faida gani! Zaidi unamkosea Mungu alie sema usihukumu na we ukaja hukumiwa! Watu mnashindana na marehemu, sijawahi ona akili kama hii nchi yoyote!
Ni kujifariji kusiko na fikra!
Tunataka tu iwe fundisho kwa viongozi wetu kwamba wao sio miungu na ipo siku watu watakuwa huru kuongea. Ukijua maovu ya bwana huyu hutamuonea huruma yoyote, aliharibu mno, hayo lazima tuyazungumze akiwa hai au mfu.
 
Sentensi ipi imeokotezwa mkuu? Wewe ulikuwa unamjibu mtu kuwa Mungu ndo hupanga kifo. Unajichanganya sana kwa maelezo yako.

Huyo shetani bora alivyokufa, kila mtu alifurahi including me. Sijali nitakufaje but atleast nimeshuhudia kafa, yeye hatashuhudia nikifa.
 
"Takeni sana kuwa na amani na watu wote na huo utakatifu ambao hakuna atayemuona baba asipokuwa nao" mkuu koleza kwa wino mweusi huo mstari wa kwanza, amani na watu wote. Ilmradi hukuthubutu kufungua mdomo wakati haya yanatendeka acha historia iwe mwalimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…