Hayati Dkt. Magufuli ndiye Rais aliyefaa kuiongoza Tanzania

Hiyo Malaria bora iendelee tu.
 

Vipi Kagame Alivyokuwa Anajibebea Tanzanite Bure;
 
Si kweli nchi inahitaji kiongozi anayefuata katiba,mtu mwenye roho mbaya ndiyo imesababisha Azory,ben,rwajabe,kanguye kupotea kwenye uso wa dunia.

Hata angekaa Piere liquid kuna mambo mazuri angeyanfanya kwahiyo hata Jiwe kuna vitu alivifanya vizuri na nilishaeleza hapo nyuma ambayo yaliguza maslahi mapana ya wananchi eg kuondoa service chaji ya tanesco ,kufuta road license ya kila mwaka maana vyote hivyo vilikuwa ni wizi.

Si kweli majengo mengi yapo kwenye hifadhi ya barabara lakini hayabomolewi ,ikulu nayo ipo kwenye hifadhi ya barabara.

Miradi ya ujenzi hiyo ilikuwa inatekelezwa kwasababu kuna 20% mule na kampuni zilizopewa tenda zina uhusioano wa moja kwa moja na "Msema kweri mpenzi wa Mungu".
 

Rubbish
 
kabisaaa, tunataka rais wa kutupeleka mpera mpera na sio wa kutubembelezabembeleza
 
Magufuli was a good manager but not a leader. He was a good infrastructure manager and not a good president, he believes in things, not in the welfare of his people. He was a bit inclined/believe his people from his tribe and area and marginalized the rest. If God could give him more time he could learn that he should not only embrace his people and be a president of the Country. He should lead the Country by considering all sectors. Other sectors are also very important than just building roads and bridges. He should have learned to work with others who think differently from him.
 
Wajinga huamini katika nguvu za watu kuongoza, welevu na wenye akili huamini katika mifumo na consistency ya sera katika kuongoza, wewe unaamini katika watu.
 
Amuongoze nani yule muhuni na muuaji kupitia akina sabaya na domokaya
 


KAMFUFUWE
 
Hakuifuata ndio maana kuna mambo mengine ukisema ufuate katiba unachelewa sana
Kinachoniuma roho wahindi wameanza kuibuka tena aloo,jamaa aliwapiga pin kwa kweli.

Sasa hivi wataanza tena kutuibia na kuweka mapesa wanayovuna kwenye acc zao nje ya nchi,sijui kama nssf watatupelekea tena hela zetu maweee twafwaa.
 
Kinachoniuma roho wahindi wameanza kuibuka tena aloo,jamaa aliwapiga pin kwa kweli.

Sasa hivi wataanza tena kutuibia na kuweka mapesa wanayovuna kwenye acc zao nje ya nchi,sijui kama nssf watatupelekea tena hela zetu maweee twafwaa.
Mama anavutia wawekezaji 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…